Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Iran na Uturuki kuanzisha mfumo wao wa kifedha ili kuimarisha biashara

    Iran na Uturuki kuanzisha mfumo wao wa kifedha ili kuimarisha biashara

    Jun 02, 2019 03:33

    Serikali za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki zimekusudia kuanzisha mfumo wao mpya wa kifedha kwa ajili ya kuimarisha biashara kati ya pande mbili.

  • Uturuki: Hatujaakhirisha uamuzi wa kununua ngao ya S 400 ya Russia

    Uturuki: Hatujaakhirisha uamuzi wa kununua ngao ya S 400 ya Russia

    Jun 01, 2019 03:04

    Serikli ya Uturuki imekadhibisha habari zilizoenezwa kwamba imesimamisha kwa muda mchakato wa ununuzi wa ngao ya makombora ya S 400 ya Russia kwa pendekezo la Marekani.

  • Mshauri wa Erdogan amuonya Mfalme wa Saudia dhidi ya kuwanyonga wanazuoni

    Mshauri wa Erdogan amuonya Mfalme wa Saudia dhidi ya kuwanyonga wanazuoni

    May 29, 2019 03:40

    Mshauri wa Rais Recep Tayip Erdogan wa Uturuki amemuandikia barua Mfalme Salman Bin Abdulaziz Aal-Saud wa Saudi Arabia, akimtahadharisha juu ya matokeo mabaya ya mpango wa utawala wake wa kuwanyonga wanazuoni watatu mashuhuri nchini humo baada ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Jumatatu, Mei 27, 2019

    Jumatatu, Mei 27, 2019

    May 26, 2019 21:49

    Leo ni Jumatatu tarehe 21 ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka 1440 Hijria sawa na tarehe 27 Mei mwaka 2019 Miladia.

  • Uturuki: Lazima tutanunua ngao ya S 400 na tunapinga urefushaji muda wa Marekani

    Uturuki: Lazima tutanunua ngao ya S 400 na tunapinga urefushaji muda wa Marekani

    May 24, 2019 07:49

    Serikali ya Uturuki kupitia Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo, imepinga suala la kurefushwa muda kwa lengo la kuifanya ilegeze msimamo wake wa kununua ngao ya makombora ya S 400 kutoka Russia.

  • Khalifa Haftar atishia kuziangamiza meli za Uturuki

    Khalifa Haftar atishia kuziangamiza meli za Uturuki

    May 21, 2019 22:51

    Kamanda wa vikosi vinavyojiiita Jeshi la Kitaifa la Libya amewaamuru wapiganaji wake kuishambulia meli yoyote ya Uturuki ambayo itakaribia katika eneo la pwani ya Libya.

  • Serikali ya Libya kuanzisha operesheni mpya kwa kutumia silaha za Uturuki

    Serikali ya Libya kuanzisha operesheni mpya kwa kutumia silaha za Uturuki

    May 19, 2019 20:51

    Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya inayoongozwa na Waziri Mkuu Fayez al-Sarraj imetangaza habari ya kupokea zana mpya za kivita, vifaru na magari ya deraya kwa ajili ya kuyatumia katika operesheni zake dhidi ya wapiganaji wa jenerali muasi Khalifa Haftar.

  • Erdogan: Uturuki kuunda na Russia mifumo ya makombora ya S-500

    Erdogan: Uturuki kuunda na Russia mifumo ya makombora ya S-500

    May 19, 2019 08:19

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema kuwa nchi yake na Russia kwa pamoja zitaunda mifumo ya makombora ya S-500 baada ya mpango wake wa awali wa kunununua mfumo wa makombora wa S-400 kutoka Moscow kuzusha mivutano.

  • Mchumba wa Khashoggi akosoa kimya cha Marekani kwa mauaji ya mwanahabari huyo wa Saudia

    Mchumba wa Khashoggi akosoa kimya cha Marekani kwa mauaji ya mwanahabari huyo wa Saudia

    May 17, 2019 02:56

    Mchumba wa Jamal Khashoggi, mwandishi habari mkosoaji wa utawala wa Aal-Saud aliyeuawa ndani ya ubalozi mdogo wa Saudi Arabia mjini Istanbul, Uturuki mwaka jana ameitaka Marekani kuanzisha uchunguzi wa mauaji ya kutisha ya mpenzi wake huyo ambaye alikuwa amepanga kufunga naye ndoa kabla ya kuuawa.

  • Uturuki: Tawi la shirika letu la habari Gaza limehujumiwa kwa kufichua maovu ya Israel

    Uturuki: Tawi la shirika letu la habari Gaza limehujumiwa kwa kufichua maovu ya Israel

    May 12, 2019 02:24

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema ofisi ya shirika la habari la nchi hiyo la Anadolu katika Ukanda wa Gaza huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu imeshambuliwa na jeshi la utawala haramu wa Israel kwa kufichua 'kazi chafu' na maovu ya utawala huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS