Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Iran na Uturiki zahimizwa kukabiliana na ugaidi na propaganda chafu dhidi ya Uislamu

    Iran na Uturiki zahimizwa kukabiliana na ugaidi na propaganda chafu dhidi ya Uislamu

    Dec 05, 2018 04:39

    Mkuu wa Jumuiya ya Masuala ya Dini nchini Uturuki amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki ambazo ni nchi kubwa zaidi katika eneo la Mashariki ya Kati zinapaswa kuzidisha ushirikiano kwa ajili ya kupambana na ugaidi na njama zinazoeneza propaganda za kuchafua sura safi ya Uislamu.

  • Iran na Uturuki zahimiza kufanikishwa biashara ya dola bilioni 30 baina yao

    Iran na Uturuki zahimiza kufanikishwa biashara ya dola bilioni 30 baina yao

    Nov 30, 2018 01:03

    Maspika wa mabunge ya Iran na Uturuki wamesisitizia haja ya kufanikishwa biashara ya dola bilioni 30 baina ya nchi zao.

  • Sisitizo la Umoja wa Ulaya na Uturuki la kuendelea kushirikiana na Iran

    Sisitizo la Umoja wa Ulaya na Uturuki la kuendelea kushirikiana na Iran

    Nov 24, 2018 08:18

    Hatua ya rais wa Marekani, Donald Trump ya kuiondoa nchi hiyo katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kuiwekea tena Iran vikwazo imepingwa vikali na nchi nyingine wanachama wa makubaliano hayo ya JCPOA yaani kundi la 4+1.

  • Uturuki: Maelezo ya Mwanasheria Mkuu wa Saudia kuhusu mauaji ya Khashoggi, hayatoshi

    Uturuki: Maelezo ya Mwanasheria Mkuu wa Saudia kuhusu mauaji ya Khashoggi, hayatoshi

    Nov 16, 2018 01:05

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Mevlüt Çavuşoğlu amekosoa maelezo ya Mwanasheria Mkuu wa Saudi Arabia kuhusiana na mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari mkosoaji wa utawala wa Aal-Saud mjini Istanbul na kuongeza kwamba maelezo hayo hayatoshi kabisa.

  • "Saudia ilitumia programu ya udukuzi ya Israel kumfuatilia Kashoggi"

    Nov 08, 2018 11:49

    Edward Snowden, afisa wa zamani wa Shirika la Usalama wa Taifa la Marekani (NSA) amefichua nafasi ya utawala haramu wa Israel katika mauaji ya kikatili ya mkosoaji wa utawala wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi yaliyofanywa na Riyadh nchini Uturuki mwezi uliopita.

  • Uturuki: Timu ya mauaji ya Khashoggi imefanya mauaji kama hayo huko nyuma

    Uturuki: Timu ya mauaji ya Khashoggi imefanya mauaji kama hayo huko nyuma

    Nov 02, 2018 12:54

    Vyombo vya Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki vimefuichua kuwa, Ankara ina ushahidi unaothibitisha kuwa, timu ya mauaji ya Saudi Arabia iliyoshiriki katika mauaji ya kigaidi dhidi ya mwandishi na mkosoaji wa serikali ya kifalme ya nchi hiyo, Jamal Khashoggi mjini Istanbul yapata mwezi mmoja uliopita, iliwahi kufanya mauaji kadhaa kama hayo hapo kabla.

  • Erdogan aitaka Saudia imfichue aliyetoa agizo la kuua Jamal Khashoggi

    Erdogan aitaka Saudia imfichue aliyetoa agizo la kuua Jamal Khashoggi

    Oct 26, 2018 11:37

    Kwa mara nyingine tena Rais Recep Tayyib Erdogan wa Uturuki ameitaka Saudi Arabia imfichue mtu ambaye alitoa amri ya kuuawa Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari na mkosoaji mkubwa wa utawala wa Aal-Saud.

  • Jamii ya kimataifa yazidisha mashinikizo dhidi ya Saudia kuhusu mauaji ya Khashoggi

    Jamii ya kimataifa yazidisha mashinikizo dhidi ya Saudia kuhusu mauaji ya Khashoggi

    Oct 26, 2018 01:19

    Jamii ya kimataifa imezidisha mashinikizo dhidi ya utawala wa kifalme wa Saudi Arabia ambao umekiri kwamba maafisa wake walimuua mwandishi na mkosoaji wa utawala huo, Jamal Khashoggi zaidi ya wiki mbili zilizopita mjini Istanbul, Uturuki.

  • Rouhani: Saudia haiwezi kufanya jinai kubwa kama ya kumuua Khashoggi bila ya uungaji mkono wa Marekani

    Rouhani: Saudia haiwezi kufanya jinai kubwa kama ya kumuua Khashoggi bila ya uungaji mkono wa Marekani

    Oct 24, 2018 13:32

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mauaji ya mwandishi na mkosoaji wa utawala wa kifalme wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi na kusema kuwa, misimamo ya nchi mbalimbali duniani dhidi ya mauaji hayo ni mtihani mkubwa kwa nchi zinazodai kutetea haki za binadamu hususan Marekani na nchi za Ulaya.

  • Uturuki: Mikono ya Bin Salman imeroa damu ya Jamal Khashoggi

    Uturuki: Mikono ya Bin Salman imeroa damu ya Jamal Khashoggi

    Oct 24, 2018 13:31

    Mshauri wa Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema kuwa mikono ya Mohammed bin Salman mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia ina damu ya mwandishi habari mkosoaji Jamal Khashoggi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS