Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Ubalozi ya Marekani nchini Uturuki wahujumiwa, mgogoro wa nchi mbili watokota

    Ubalozi ya Marekani nchini Uturuki wahujumiwa, mgogoro wa nchi mbili watokota

    Aug 20, 2018 22:14

    Ubalozi ya Marekani nchini Uturuki umeshambuliwa na watu wasiojulikana ambapo hakukuwa na mtu aliyefiriki au kujeruhiwa huku mgogoro baina ya nchi hizo mbili ukiendelea kutokota.

  • Erdogan: Marekani imeanzisha jaribio la mapinduzi ya kiuchumi dhidi ya Uturuki

    Erdogan: Marekani imeanzisha jaribio la mapinduzi ya kiuchumi dhidi ya Uturuki

    Aug 19, 2018 02:42

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema nchi yake haitasalimu amri mbele ya vikwazo ambavyo Marekani imeiwekea nchi yake kutokana na kushikiliwa mhubiri Mkristo wa Kimarekani. Erdogan ameituhumu Marekani kuwa inatekeleza jaribio la mapinduzi ya kiuchumi dhidi ya nchi yake.

  • Mgogoro wa Marekani na Uturuki waendelea

    Mgogoro wa Marekani na Uturuki waendelea

    Aug 17, 2018 23:46

    Katika kuendelea mzozo kati ya Washington na Ankara, Rais Donald Trump wa Marekani amemtaja, Andrew Brunson, padri wa Kimarekani anayeshikiliwa nchini Uturuki kwa tuhuma za ujasusi, kuwa ni mateka.

  • Onyo la Uturuki kwa Marekani kufuatia hatua ya Washington kuzipandishia ushuru wa forodha bidhaa za Uturuki

    Onyo la Uturuki kwa Marekani kufuatia hatua ya Washington kuzipandishia ushuru wa forodha bidhaa za Uturuki

    Aug 12, 2018 07:12

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imetoa taarifa ikisisitiza kuchukua hatua za ulipizaji kisasi kufuatia kitendo cha Marekani cha kuzipandishia ushuru wa forodha bidhaa za chuma na aluminiamu za nchi hiyo.

  • Rais Tayyip Erdoğan awataka Waturuki kuisaidia serikali katika vita vya kiuchumi vya Marekani kwa nchi yao

    Rais Tayyip Erdoğan awataka Waturuki kuisaidia serikali katika vita vya kiuchumi vya Marekani kwa nchi yao

    Aug 10, 2018 23:44

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki kwa mara nyingine amewataka raia wa nchi hiyo kushiriki katika vita vya kiuchumi vilivyoanzishwa na Marekani dhidi ya taifa hilo.

  • Kushadidi tofauti kati ya Marekani na Uturuki kufuatia kushikiliwa padri wa Kimarekani

    Kushadidi tofauti kati ya Marekani na Uturuki kufuatia kushikiliwa padri wa Kimarekani

    Aug 05, 2018 07:12

    Katika hatua ya kwanza kuchukuliwa na Marekani baada ya vitisho vya hivi karibuni vya Rais wa nchi hiyo Donald Trump dhidi ya Uturuki, White House imetangaza kuwawekea vikwazo mawaziri wawili wa Rais Recep Tayyip Erdoğan wa nchi hiyo.

  • Katika kulipiza kisasi kwa Marekani; Erdogan asema Uturuki itazuia mali za mawaziri 2 wa nchi hiyo

    Katika kulipiza kisasi kwa Marekani; Erdogan asema Uturuki itazuia mali za mawaziri 2 wa nchi hiyo

    Aug 04, 2018 10:33

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema kuwa Ankara itazuia mali zilizoko Uturuki za Mawaziri wa Sheria na Mambo ya Ndani wa Marekani ikiwa ni katika kulipiza kisasi vikwazo vya Washington dhidi ya nchi yake kufuatia kutiwa mbaroni mchungaji mmoja wa Kimarekani nchini Marekani.

  • Rais wa Uturuki atoa wito kwa BRICS kuongeza herufi T katika jina la kundi hilo

    Rais wa Uturuki atoa wito kwa BRICS kuongeza herufi T katika jina la kundi hilo

    Jul 30, 2018 09:52

    Uturuki imetangaza hamu yake ya kujiunga na kundi la BRICS linaloundwa na nchi zinazoinukia kiuchumi na ameiomba BRICS kuiruhusu nchi yake kujiunga na kundi hilo.

  • Uturuki na Marekani zaendelea kutishiana

    Uturuki na Marekani zaendelea kutishiana

    Jul 29, 2018 09:29

    Serikali ya Uturuki imeitisha Marekani kwamba, iwapo Rais Donald Trump wa nchi hiyo hatoikabidhi Ankara ndege mpya za F 35, basi itaiburuza Washington katika mahakama za kimataifa.

  • Wanafunzi wa Kiafrika wanaotuhumiwa kwa ugaidi wakamatwa Uturuki

    Wanafunzi wa Kiafrika wanaotuhumiwa kwa ugaidi wakamatwa Uturuki

    Jul 01, 2018 22:07

    Makumi ya wanafunzi wa Kiafrika hususan raia wa Somalia wamekamatwa nchini Uturuki, wakihusishwa na Shirika la Kigaidi la Fathullah FETO, linalodaiwa kuratibu na kutekeleza jaribio la mapinduzi lililofeli la mwaka 2016.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS