Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki: Tutaendelea kuwa pamoja na Qatar

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki: Tutaendelea kuwa pamoja na Qatar

    Jun 25, 2017 11:15

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki sambamba na kuunga mkono msimamo wa Qatar kuhusu matakwa ya baadhi ya nchi za Kiarabu za eneo la Ghuba ya Uajemi amesema kuwa, nchi yake itaendelea kuwa pamoja na Doha.

  • Serikali ya Uturuki yawapiga kalamu nyekundu walimu elfu 33 kwa tuhuma za kisiasa

    Serikali ya Uturuki yawapiga kalamu nyekundu walimu elfu 33 kwa tuhuma za kisiasa

    Jun 24, 2017 23:00

    Serikali ya Uturuki imeendelea kuchukua hatua za kushangaza kwa kuwapiga kalamu nyekundu wafanyakazi mbalimbali wa serikali kwa tuhuma za kisiasa.

  • Radiamali ya Uturuki kwa ombi la Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi

    Radiamali ya Uturuki kwa ombi la Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi

    Jun 24, 2017 06:15

    Serikali ya Ankara imeonyesha radiamali hasi kwa misimamo ya nchi wanachama wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi dhidi ya kuwepo wanajeshi wa Uturuki huko Qatar.

  • Kundi la kwanza la wanajeshi wa Uturuki lawasili nchini Qatar

    Kundi la kwanza la wanajeshi wa Uturuki lawasili nchini Qatar

    Jun 19, 2017 03:30

    Serikali ya Qatar imetangaza kuwa kundi la kwanza la wanajeshi wa Uturuki limewasili katika mji mkuu wa nchi hiyo Doha katika utekelezaji wa makubaliano ya kijeshi yaliyofikiwa baina ya nchi mbili.

  • Mgogoro wa Qatar wachukua sura mpya, Misri yataka Uturuki iwekewe vikwazo

    Mgogoro wa Qatar wachukua sura mpya, Misri yataka Uturuki iwekewe vikwazo

    Jun 17, 2017 11:06

    Mgogoro ulioanzishwa na Saudi Arabia dhidi ya Qatar umechukua sura mpya baada ya mtandao mmoja wa habari wa nchini Uingereza kuandika kuwa, rais wa Misri ametaka Uturuki iwekewe vikwazo kutokana na kuiunga mkono Qatar.

  • Ripoti: Imarati ilitoa dola bilioni 3 kufadhili mapinduzi ya kijeshi Uturuki

    Ripoti: Imarati ilitoa dola bilioni 3 kufadhili mapinduzi ya kijeshi Uturuki

    Jun 13, 2017 23:48

    Gazeti moja la kila siku la Uturuki limeandika kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ulitoa kitita cha dola bilioni 3 za Marekani kwa ajili ya kufadhili jaribio la mapinduzi ya kijeshi lililofeli mwezi Julai mwaka jana 2016 nchini Uturuki.

  • Saudia yamuhusisha Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki na ugaidi

    Saudia yamuhusisha Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki na ugaidi

    Jun 11, 2017 22:49

    Katika kuendelea mgogoro wa nchi za Kiarabu hususan Saudia na Qatar, kanali ya al-Arabiyah ya nchini Saudia imetoa picha ya Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki inayorudi nyuma hadi mwaka 1985, ambapo katika picha hiyo, Erdoğan anaonekana akiwa amenyenyekea mbele ya kiongozi wa chama cha Kiislamu cha 'Gulbuddin Hekmatyar' aliyekuwa akitawala nchini Afghanistan wakati huo.

  • Uturuki: Mfalme Salman wa Saudia ni mtu hatari sana kwa kueneza fitna

    Uturuki: Mfalme Salman wa Saudia ni mtu hatari sana kwa kueneza fitna

    Jun 08, 2017 10:51

    Gazeti la Uturuki la Yeni Akit limemtaja Mfalme Salman bin Abdulaziz Aal Saud wa Saudia kuwa ni mtu hatari sana kwa kueneza fitina baina ya nchi za Kiislamu.

  • Uturuki kuendelea kulisaidia genge la kigaidi la Jab'hatu Nusra

    Uturuki kuendelea kulisaidia genge la kigaidi la Jab'hatu Nusra

    May 31, 2017 23:52

    Serikali ya Uturuki imelipa matumaini kundi la kigaidi na ukufurishaji la Jab'hatu Nusra linalotekeleza mauaji na jinai nchini Syria kuwa, itaendelea kuliunga mkono na kulisaidia kwa hali na mali.

  • Uturuki yafanyia jaribio kombora lake la kwanza la balistiki

    Uturuki yafanyia jaribio kombora lake la kwanza la balistiki

    May 12, 2017 02:19

    Uturuki imefanyia majaribio kombora lake la kwanza la balisitiki karibu na pwani ya Bahari Nyeusi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS