Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Jumamosi, Aprili 29, 2017

    Jumamosi, Aprili 29, 2017

    Apr 28, 2017 21:59

    Leo ni Jumamosi tarehe Pili Shaaban 1438 Hijria sawa na tarehe 29 Aprili 2017 Miladia.

  • Radiamali ya Iraq juu ya uingiliaji wa Uturuki katika ardhi ya nchi hiyo

    Radiamali ya Iraq juu ya uingiliaji wa Uturuki katika ardhi ya nchi hiyo

    Apr 09, 2017 08:53

    Serikali ya Iraq sambamba na kukosoa matamshi ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki juu ya kuendelea shughuli za askari wa nchi hiyo ndani ya ardhi ya Iraq kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi imesema kuwa Baghdad haijatoa idhini kwa upande wowote kufanya shughuli za kijeshi nchini humo.

  • Iran, Russia zalaani hujuma ya US dhidi ya Syria, Israel na Uturuki zaunga mkono

    Iran, Russia zalaani hujuma ya US dhidi ya Syria, Israel na Uturuki zaunga mkono

    Apr 07, 2017 02:09

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hatua ya Marekani kuushambulia kwa makombora mkoa wa Homs ulioko magharibi wa Syria, kwa kisingizio cha 'kuiadhibu' Syria kwa shambulio la silaha za kemikali inayodai lilifanywa na serikali ya Damascus katika mji wa Khan Sheikhoun.

  • Kufichuliwa hatua za kijasusi za Uturuki nchini Ujerumani

    Kufichuliwa hatua za kijasusi za Uturuki nchini Ujerumani

    Apr 06, 2017 22:03

    Vyombo vya habari vya Ujerumani vimeripoti kuwa serikali ya nchi hiyo inawachunguza washukiwa ishirini wa Uturuki wanaotuhumiwa kufanya ujasusi na vitendo vilivyo nyuma ya pazia kwa maslahi ya serikali ya Uturuki.

  • CHP: Jaribio la Mapinduzi Uturuki lilikuwa bandia na lilipangwa na maafisa wa serikali

    CHP: Jaribio la Mapinduzi Uturuki lilikuwa bandia na lilipangwa na maafisa wa serikali

    Apr 04, 2017 04:07

    Chama kikuu cha upinzani nchini Uturuki kimetangaza kuwa, chama tawala cha Uadilifu na Ustawi kilikuwa na habari kuhusu jaribio la mapinduzi lililofanyika mwaka jana dhidi ya serikali ya nchi hiyo na kwamba mapinduzi hayo bandia yalifanyika kwa shabaha ya kutumiwa dhidi ya wapinzani wa Rais wa nchi hiyo, Recep Tayyip Erdoğan.

  • Libya: Uturuki ndio inayounga mkono makundi ya kigaidi yanayofanya jinai Libya

    Libya: Uturuki ndio inayounga mkono makundi ya kigaidi yanayofanya jinai Libya

    Mar 19, 2017 23:32

    Msemaji wa wapiganaji wa serikali yenye makao yake huko mashariki mwa Libya ameiarifisha rasmi Uturuki kuwa ndio muungaji mkono mkubwa wa makundi ya kigaidi nchini humo.

  • Fethullah Gülen: Erdoğan ni mnafiki asiyefaa kuaminiwa hata kidogo

    Fethullah Gülen: Erdoğan ni mnafiki asiyefaa kuaminiwa hata kidogo

    Mar 16, 2017 00:40

    Kiongozi wa harakati ya Jama'at Gülen ambaye pia ni mpinzani wa serikali ya Uturuki, amemtumia barua kiongozi wa eneo la Kurdistan nchini Iraq, Masoud Barzani, akimuonya vikali juu ya tabia yake ya kumwamini sana Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki.

  • Jaberi Ansari: Mazungumzo ya Astana kuhusu Syria yanaendelea kupiga hatua

    Jaberi Ansari: Mazungumzo ya Astana kuhusu Syria yanaendelea kupiga hatua

    Mar 14, 2017 22:58

    Mkuu wa ujumbe wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mazungumzo ya Astana kuhusu mgogoro wa Syria amesema mazungumzo hayo yanaendelea kupiga hatua.

  • Uturuki yaituhumu Ujerumani kuwa inaunga mkono ugaidi

    Uturuki yaituhumu Ujerumani kuwa inaunga mkono ugaidi

    Mar 04, 2017 03:40

    Katika kile kinachoonekana ni kuzidi kuingia doa uhusiano wa Ankara na Berlin, Rais wa Uturuki ameituhumu Ujerumani kuwa inaunga mkono ugaidi.

  • Marais Rouhani na Erdogan wazungumzia uhusiano wa Iran na Uturuki

    Marais Rouhani na Erdogan wazungumzia uhusiano wa Iran na Uturuki

    Mar 01, 2017 12:04

    Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki wamekutana na kufanya mazungumzo kuhusu masuala mbali mbali likiwemo la umuhimu wa kuimarisha uhusiano wa pande mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS