Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

uvunjaji wa haki za binadamu

  • Sababu za kuongezeka hukumu za kifo nchini Saudi Arabia baada ya Bin Salman kuingia madarakani

    Sababu za kuongezeka hukumu za kifo nchini Saudi Arabia baada ya Bin Salman kuingia madarakani

    Feb 03, 2023 03:06

    Shirika la Haki za Binadamu la Ulaya-Saudia, limetangaza katika ripoti ya karibuni kwamba hukumu za kifo au unyongaji wakati wa utawala wa mrithi wa kiti cha ufalme Mohammed bin Salman nchini Saudi Arabia zinaongezeka karibu mara mbili kila mwaka.

  • Wanaharakati wanawake 35 wa Saudia wahukumiwa kifungo cha miaka 11 jela

    Wanaharakati wanawake 35 wa Saudia wahukumiwa kifungo cha miaka 11 jela

    Jan 06, 2023 02:22

    Vyanzo vya mashirika ya kutetea haki za binadamu vimeripoti kuwa wanaharakati wanawake 35 wa Saudi Arabia wamehukumiwa kifungo cha miaka 11 jela na utawala wa Al-Saud.

  • Ripoti: Mwaka 2022 umeshuhudia jinai kubwa zaidi katika historia ya Saudi Arabia

    Ripoti: Mwaka 2022 umeshuhudia jinai kubwa zaidi katika historia ya Saudi Arabia

    Dec 30, 2022 11:44

    Mwaka huu unaomalizika wa 2022 unaelezwa kuwa, umeshuhudia ukiukaji wa haki za binadamu na jinai kubwa zaidi katika historia ya Saudi Arabia.

  • Wimbi jipya la mauaji ya wasomi na wanaharakati laripotiwa Saudia

    Wimbi jipya la mauaji ya wasomi na wanaharakati laripotiwa Saudia

    Dec 03, 2022 08:22

    Wimbi jipya la kunyongwa na kuuliwa wasomi na wanaharakati wa masuala ya kijamii limeripotiwa nchini Saudi Arabia baada ya utawala wa kifalme wa nchi hiyo kumtia nguvuni mwanazuoni wa Kiislamu katika mji mtakatifu wa Madina.

  • "Shoka la Ibrahim" lafichua nyaraka za siri za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudia

    Nov 12, 2022 08:11

    Kikundi cha mtandao kimechapisha maelfu ya hati na nyaraka za siri za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudia.

  • Kukosoa asasi za haki za binadamu ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu nchini Saudi Arabia

    Kukosoa asasi za haki za binadamu ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu nchini Saudi Arabia

    Oct 14, 2022 02:34

    Asasi moja ya haki za binadamu imetoa ripoti ya kutisha inayoeleza hali mbaya ya haki za binadamu nchini Saudi Arabia na matukio kadhaa ya vitendo vya mateso ya kimwili na kiroho dhidi ya wanaharakati na wapinzani wakiwemo wale waliohukumiwa kunyongwa.

  • Bahrain yajiondoa kwenye uchaguzi wa taasisi ya UN kufuatia ukosoaji

    Bahrain yajiondoa kwenye uchaguzi wa taasisi ya UN kufuatia ukosoaji

    Oct 06, 2022 03:20

    Bahrain imelazimika kujiondoa kwenye uchaguzi ujao wa kuwasaka wanachama wapya wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC), kufuatia jitihada na lalama za asasi za kutetea haki za binadamu juu ya rekodi nyeusi ya serikali ya Manama.

  • Bin Salman akaribishwa kwa maandamano nchini Uingereza

    Bin Salman akaribishwa kwa maandamano nchini Uingereza

    Sep 18, 2022 08:06

    Makumi ya watetezi wa haki za binadamu wamefanya maandamano nje ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini London, kulaani safari ya Mrithi wa Ufalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman nchini Uingereza.

  • Mwanamke Saudia afungwa jela miaka 34 kwa ujumbe wa Twitter

    Mwanamke Saudia afungwa jela miaka 34 kwa ujumbe wa Twitter

    Aug 17, 2022 12:10

    Saudi Arabia imemhukumu mwanamke mmoja kifungo cha miaka 34 jela, eti kwa kupatikana na hatia ya kumiliki ukurasa wa Twitter na kusambaza ujumbe unaoukosoa utawala wa Aal-Saud kupitia mtandao huo wa kijamii.

  • Iran yalaani ukiukwaji mpya wa haki za binadamu uliogundulika Marekani

    Iran yalaani ukiukwaji mpya wa haki za binadamu uliogundulika Marekani

    May 15, 2022 11:01

    Kazem Gharibabadi, Katibu wa Baraza Kuu la Haki za Binadamu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa taarifa baada ya uchunguzi kubaini vifo vya zaidi ya watoto 500 wa jamii za asili za Marekani katika shule za bweni za kanisa, zilizofadhiliwa na serikali na kusema: "Pamoja na kuwepo ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu huko Marekani nchi hiyo inajipa jukumu la kuwapa wengine nasaha kuhusu haki za binadamu."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS