Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

uvunjaji wa haki za binadamu

  • Iran yakosoa kimya cha jamii ya kimataifa mkabala wa ubabe wa Marekani

    Iran yakosoa kimya cha jamii ya kimataifa mkabala wa ubabe wa Marekani

    Oct 15, 2020 07:51

    Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa amesema uchukuaji hatua za upande mmoja wa Marekani ndilo tishio kuu kwa haki za binadamu duniani, huku akikosoa kimya cha jamii ya kimataifa mkabala wa ubabe huo wa Washington.

  • Madai ya Ulaya kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu nchini Iran; hayana uhalali wowote wa kisheria

    Madai ya Ulaya kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu nchini Iran; hayana uhalali wowote wa kisheria

    Sep 29, 2020 12:19

    Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Nje katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran imeyataja madai yasiyo na msingi ya nchi za Ulaya kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu nchini Iran kuwa hayana uhalali wowote wa kisheria.

  • Ethiopia kuwarejesha nyumbani maelfu ya wahajiri kutoka Saudia kwa kuhofia maisha yao

    Ethiopia kuwarejesha nyumbani maelfu ya wahajiri kutoka Saudia kwa kuhofia maisha yao

    Sep 18, 2020 10:40

    Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa itawarejesha nyumbani wahajiri karibu 2,000 kutoka Saudi Arabia katika wiki zijazo, kutokana na wasiwasi mkubwa wa jamii ya kimataifa juu ya hali mbaya inayoshuhudiwa katika kambi za wahamiaji nchini humo.

  • Mataifa 29 yaikosoa Saudia kwa mauaji ya Khashoggi, ukandamizaji

    Mataifa 29 yaikosoa Saudia kwa mauaji ya Khashoggi, ukandamizaji

    Sep 17, 2020 08:09

    Mataifa 29 yakiwa mbele ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, yamewakosoa vikali watawala wa Saudi Arabia kwa ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu, sambamba na kutaka kuwajibishwa utawala wa Aal-Saud kwa mauaji ya kikatili aliyofanyiwa mwandishi wa habari na mkosoaji mkubwa wa Riyadh, Jamal Khashoggi katika ubalozi wa nchi hiyo ya Kiarabu nchini Uturuki.

  • Jumuiya 30 za kimataifa zataka Saudia ishinikizwe kuwaachia huru watetezi wa haki za binadamu

    Jumuiya 30 za kimataifa zataka Saudia ishinikizwe kuwaachia huru watetezi wa haki za binadamu

    Sep 03, 2020 04:08

    Jumuiya 30 za kimataifa za kutetea haki za binadamu zikiongozwa na Human Rights Watch zimeitaka jamii ya kimataifa iishinikize Saudi Arabia ili iwaachie huru watetezi wa haki za binadamu na kusitisha ukiukaji wote wa haki za raia.

  • Amnesty: Misri inawanyima wafungwa haki zao kwa miaka kadhaa sasa

    Amnesty: Misri inawanyima wafungwa haki zao kwa miaka kadhaa sasa

    Aug 21, 2020 00:07

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka serikali ya Misri kuziruhusu familia za wafungwa kutembea jamaa zao wanaoshikiliwa katika jela za nchi hiyo wakiwemo watetezi wa haki za binadamu na wanaharakati wa masuala ya kisiasa.

  • Vikwazo  vya Umoja wa Ulaya dhidi ya China, siasa za kundumakuwili za Brussels

    Vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya China, siasa za kundumakuwili za Brussels

    Jul 30, 2020 02:33

    Ikiwa ni katika kudumishwa siasa za mashinikizo za nchi za Magharibi dhidi ya China, Umoja wa Ulaya kama ilivyofanya Marekani, umeiwekea vikwazo Beijing kwa kisingizio cha kutoheshimu haki za binadamu.

  • Umoja wa Mataifa wakosoa ukandamizaji unaofanywa dhidi ya waandamanaji nchini Marekani

    Umoja wa Mataifa wakosoa ukandamizaji unaofanywa dhidi ya waandamanaji nchini Marekani

    Jul 26, 2020 02:40

    Maandamano makubwa na yasiyo na mfano wake ambayo yamekuwa yakifanyika nchini Marekani tokea kuuawa kinyama kwa Mmarekani mweusi George Floyd katika mji wa Minnesota katika jimbo la Minneapolis tarehe 25 Mei, yangali yanaendelea licha ya ukandamizaji mkubwa unaofanywa na serikali ya Trump dhidi ya waandamanaji.

  • Utawala unaotenda jinai wa Israel watumia mabavu dhidi ya waandamanaji

    Utawala unaotenda jinai wa Israel watumia mabavu dhidi ya waandamanaji

    Jul 25, 2020 02:41

    Waisraeli ambao wamekuwa wakiandamana kupinga baraza la mawaziri la waziri mkuu Benjamin Netanyahu wamekabiliwa na utumiaji mabavu wa wanajeshi wa Israel.

  • Zarif: Marekani haiheshimu haki yoyote ya binadamu

    Zarif: Marekani haiheshimu haki yoyote ya binadamu

    Jun 28, 2020 07:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani imeshindwa kuheshimu haki zozote za msingi za binadamu, na imefanya hivyo kuanzia kuupa utawala wa Iraq silaha za kemikali dhidi ya Iran hadi kuliwekea vikwazo na kulifanyia ugaidi wa kiuchumi taifa la Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS