Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

uvunjaji wa haki za binadamu

  • Mwanaharakati wa haki za wanawake aliyeko jela Saudia atunukiwa Tuzo ya Uhuru 2020

    Mwanaharakati wa haki za wanawake aliyeko jela Saudia atunukiwa Tuzo ya Uhuru 2020

    Jun 14, 2020 02:45

    Mwanaharakati wa haki za wanawake wa Saudi Arabia aliyeshikiliwa jela, Loujain al-Hathloul ametunukiwa Tuzo ya Uhuru 2020 (Freedom Prize 2020) kufuatia kuongozeka hujuma na ukandamizaji mkubwa unaofanywa na mrithi wa ufalme wa Saudia Mohammed bin Salman dhidi ya wanaharakati wa haki za binadamu na wasomi nchini humo.

  • Makaburi ya umati yenye maiti 6000 yagunduliwa Burundi

    Makaburi ya umati yenye maiti 6000 yagunduliwa Burundi

    Feb 16, 2020 06:55

    Kamisheni ya Ukweli na Maridhiano ya Burundi imetangaza habari ya kugundua makaburi sita ya umati yenye maiti elfu sita katika mkoa wa Karusi, mashariki mwa nchi.

  • UNFPA yataka dhuluma dhidi ya wanawake katika jamii zikomeshwe

    UNFPA yataka dhuluma dhidi ya wanawake katika jamii zikomeshwe

    Nov 14, 2019 14:28

    Mmoja kati ya wanawake watatu duniani hukumbana na dhuluma za kijinsia kutoka kwa wapenzi au waume zao.

  • HRW: Ukandamizaji Saudia umefika hatua mpya chini ya Bin Salman

    HRW: Ukandamizaji Saudia umefika hatua mpya chini ya Bin Salman

    Nov 05, 2019 07:20

    Shirika la Kutetea Haki za Binaadamu la Human Rights Watch limesema dhulma, mateso na ukandamizaji umeongezeka na kufikia kiwango kipya cha kutisha nchini Saudi Arabia, tangu Mohammad Bin Salman atangazwe kuwa Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa nchi hiyo.

  • Ripoti ya Bunge la Iran kuhusu ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu Marekani

    Ripoti ya Bunge la Iran kuhusu ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu Marekani

    Jun 10, 2019 11:22

    Kamati ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, imechapisha ripoti ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu nchini Marekani.

  • HRW yataka kukamatwa walioshambuliwa wahamiaji nchini Afrika Kusini

    HRW yataka kukamatwa walioshambuliwa wahamiaji nchini Afrika Kusini

    Apr 16, 2019 14:17

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetoa mwito wa kufunguliwa mashitaka watu waliohusika na mashambulizi ya hivi karibuni dhidi ya raia wa kigeni nchini Afrika Kusini.

  • Amnesty yasema Bahrain inatumia mashindano ya magari kujikosha

    Amnesty yasema Bahrain inatumia mashindano ya magari kujikosha

    Mar 29, 2019 04:37

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema Bahrain inaendelea kutumia mashindano ya magari ya Langalanga maarufu kama Formula 1 kwa ajili ya kujikosha.

  • Hofu ya Amnesty International baada ya Misri kupewa uenyekiti wa AU

    Hofu ya Amnesty International baada ya Misri kupewa uenyekiti wa AU

    Feb 09, 2019 07:56

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeeleza wasi wasi wake baada ya Misri kuteuliwa kuwa mwenyekiti wa kiduru wa Umoja wa Afrika kwa mwaka huu 2019, likisisitiza kuwa ukandamizaji wa haki za binadamu umefikia katika upeo wa juu kabisa katika kipindi cha utawala wa Rais wa sasa wa nchi hiyo, Abdul Fattah al Sisi.

  • Guardian: Saudia ndiyo yenye rekodi mbaya zaidi ya haki za binadamu duniani

    Guardian: Saudia ndiyo yenye rekodi mbaya zaidi ya haki za binadamu duniani

    Jan 06, 2019 02:36

    Gazeti la Uingereza la The Guardian limeripoti kuwa Saudi Arabia ndiyo yenye rekodi mbaya zaidi ya haki za binadamu duniani.

  • HRW yataka kushtakiwa askari wanaowakandamiza Waislamu Nigeria

    HRW yataka kushtakiwa askari wanaowakandamiza Waislamu Nigeria

    Dec 12, 2018 12:40

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetoa mwito wa kufunguliwa mashitaka wanajeshi wa Nigeria wanaowakandamiza Waislamu wa madhehebu ya Shia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS