Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

uvunjaji wa haki za binadamu

  • HRW yataka kushtakiwa askari wanaowakandamiza Waislamu Nigeria

    HRW yataka kushtakiwa askari wanaowakandamiza Waislamu Nigeria

    Dec 12, 2018 09:10

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetoa mwito wa kufunguliwa mashitaka wanajeshi wa Nigeria wanaowakandamiza Waislamu wa madhehebu ya Shia.

  • HRW: Saudia haiaminiki tena baada ya kudanganya kuhusu mauaji ya Khashoggi

    HRW: Saudia haiaminiki tena baada ya kudanganya kuhusu mauaji ya Khashoggi

    Dec 07, 2018 11:00

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeutaka utawala wa Riyadh kuwaruhusu waangalizi huru kutathmini hali ya wanaharakati wanawake wanaozuiliwa katika jela za utawala huo wa kifalme, likisisitiza kuwa Saudi Arabia haiaminiki tena baada ya kutoa taarifa kadhaa za urongo kuhusu mauaji ya Jamal Khashoggi.

  • HRW: Askari usalama Msumbiji wanakiuka haki za binadamu

    HRW: Askari usalama Msumbiji wanakiuka haki za binadamu

    Dec 04, 2018 21:40

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limevituhumu vyombo vya usalama vya Msumbiji kuwa vinakiuka haki za binadamu katika operesheni zake za kupambana na ugaidi kaskazini mwa nchi.

  • HRW yaitaka Argentina ichunguze nafasi ya Bin Salman katika mauaji ya Khashoggi

    HRW yaitaka Argentina ichunguze nafasi ya Bin Salman katika mauaji ya Khashoggi

    Nov 27, 2018 04:21

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeitaka serikali ya Argentina ifungue faili la kuchunguza nafasi ya Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia, Mohammad bin Salman katika mauaji ya aliyekuwa mwandishi habari na mkosoaji mkubwa wa utawala wa Aal-Saud, Jamal Khashoggi.

  • Amnesty: Saudia inawatesa wanaharakati kwa kuwabaka, kuwapiga kwa umeme

    Amnesty: Saudia inawatesa wanaharakati kwa kuwabaka, kuwapiga kwa umeme

    Nov 21, 2018 04:28

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limefichua kuwa, wapinzani na wanaharakati wa kisiasa nchini Saudi Arabia wanafanyiwa kila aina ya utesaji na udhalilishaji, ukiwemo udhalilishaji wa kingono, kupigwa kwa umeme na hata kupigwa mijeledi.

  • HRW: Misri inawazuilia kusikojulikana makumi ya watetezi wa haki za binadamu

    HRW: Misri inawazuilia kusikojulikana makumi ya watetezi wa haki za binadamu

    Nov 18, 2018 10:57

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema vyombo vya usalama nchini Misri vimewatia nguvuni na kuwazuilia kusikojulikana makumi ya watetezi wa haki za binadamu tangu mwezi uliopita wa Oktoba hadi sasa.

  • Aal Saud na wimbi kubwa la ukosoaji na tahadhari za haki za binadamu

    Aal Saud na wimbi kubwa la ukosoaji na tahadhari za haki za binadamu

    Nov 11, 2018 01:06

    Kufuatia kuuliwa Jamal Khashoggi mwandishi habari mkosoaji wa utawala wa Aal Saud katika ubalozi mdogo wa Saudi Arabia mjini Istanbul Uturuki na kufungwa jela huko Riyadh kundi kubwa la wapinzani wa jumuiya za kiraia, kisheria na kiaidiolojia; kiongozi mmoja wa ngazi ya juu wa Saudia amekiri kuwa nchi hiyo imeonywa mara 258 na taasisi mbalimbali za kimataifa kuhusu haki za binadamu.

  • Balozi: Wamagharibi wameipa Saudia kinga ya kufanya inachotaka

    Balozi: Wamagharibi wameipa Saudia kinga ya kufanya inachotaka

    Oct 12, 2018 04:18

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini London amesema utawala wa Aal-Saud umepewa kinga kamili na nchi za Magharibi ya kufanya unalotataka, na ndiposa hautaki hata kukosolewa juu ya mwenendo wake wa kueneza ugaidi na kukiuka haki za binadamu.

  • Utawala wa Aal Khalifa wavunja rekodi ya ukiukaji haki za binadamu nchini Bahrain

    Utawala wa Aal Khalifa wavunja rekodi ya ukiukaji haki za binadamu nchini Bahrain

    Oct 06, 2018 00:19

    Jumuiya ya haki za binadamu nchini Bahrain imetangaza kuwa katika mwezi mmoja tu wa Julai mwaka huu wa 2018, utawala wa Aal Khalifa umechukua hatua 844 za ukiukaji haki za binadamu dhidi ya raia wa nchi hiyo.

  • Amnesty yasajili jinai mpya za kivita nchini Sudan Kusini

    Amnesty yasajili jinai mpya za kivita nchini Sudan Kusini

    Sep 19, 2018 02:56

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeituhumu serikali ya Sudan Kusini na makundi ya wabeba silaha yanayoungwa mkono na serikali hiyo kwamba yametenda jinai za kivita na ukatili wa kutisha dhidi ya raia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS