Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • Kuasisiwa muungano mpya wa kimataifa kwa ajili ya kukabiliana na  siasa na hatua za upande mmoja

    Kuasisiwa muungano mpya wa kimataifa kwa ajili ya kukabiliana na siasa na hatua za upande mmoja

    Mar 13, 2021 11:26

    Hatua na misimamo ya upande mmoja na kupuuzwa taasisi za kimataifa khususan Umoja wa Mataifa katika kipindi cha utawala wa Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump vimepelekea kudhoofika umoja huo na hati ya Umoja wa Mataifa.

  • Sisitizo la kusimama kidete Venezuela mbele ya vita vya kiuchumi vya Marekani na Ulaya

    Sisitizo la kusimama kidete Venezuela mbele ya vita vya kiuchumi vya Marekani na Ulaya

    Feb 26, 2021 12:04

    Kutokana na kuendelea sera za vikwazo za Marekani na madola ya Ulaya, dhidi ya Venezuela, Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo amesisitiza kuwa, nchi yake itaendelea kusimama kidete mkabala wa sera hizo ambazo amesema kuwa ni “vita vya kiuchumi vya pande kadhaa”.

  • Caracas yajibu vikwazo vya Marekani na waitifaki wake dhidi ya Venezuela

    Caracas yajibu vikwazo vya Marekani na waitifaki wake dhidi ya Venezuela

    Feb 23, 2021 13:10

    Viongozi wa Caracas wamelaani "vita vya kiuchumi vya pande kadhaa" za Umoja wa Ulaya na Marekani dhidi ya Venezuela.

  • Shambulio la kigaidi katika Shirika la Mafuta la Venezuela

    Shambulio la kigaidi katika Shirika la Mafuta la Venezuela

    Jan 24, 2021 08:13

    Rais wa Venezuela ametangaza kuwa, shambulio la kigaidi limejiri katika bomba la mafuta la shirika la mafuta na gesi la serikali la Petroleus de Venezuela na kulaani shambulio hilo ambalo limesababisha moto mkubwa.

  • Maduro; Venezuela imemshinda Trump

    Maduro; Venezuela imemshinda Trump

    Jan 21, 2021 11:39

    Rais wa Venezuela amekutaja kuondoka huko White House Rais wa zamani wa Marekani kuwa ushindi kwa nchi yake.

  • Mwangwi wa kubwagwa Trump, wapinzani wa Venezuela wapata pigo jipya

    Mwangwi wa kubwagwa Trump, wapinzani wa Venezuela wapata pigo jipya

    Jan 08, 2021 07:04

    Baada ya Donald Trump kubwagwa katika uchaguzi wa rais wa Novemba 3, 2020 huko Marekani, sasa wafuasi, mashabiki na vibaraka wake wa nje, nao wameanza kuonja makali ya kuwa vibaraka wa Marekani.

  • Maduro katika ujumbe wake kwa mwaka mpya wa Miladia; tutaimarisha zaidi uhusiano na Iran

    Maduro katika ujumbe wake kwa mwaka mpya wa Miladia; tutaimarisha zaidi uhusiano na Iran

    Jan 03, 2021 06:36

    Katika kuanza mwaka mpya wa 2021 Miladia Rais wa Venezuela akiashiria suala la kuilinda ardhi ya nchi hiyo amesisitiza kuwa ataimarisha uhusiano na Iran, Russia, China, Cuba, Uturuki na India.

  • Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Venezuela

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Venezuela

    Dec 20, 2020 11:29

    Licha ya kufeli kwa sera za vikwazo za Marekani dhidi ya Venezuela, lakini viongozi wa Washington wangali wamekumbatia siasa hizo za mashinikizo na kuendelea kutekeleza siasa hizo zilizoshindwa na kugonga ukuta dhidi ya nchi hiyo ya Amerka ya Latini.

  • Sisitizo la Venezuela la kuimarisha uhusiano wa kistratijia na Iran

    Sisitizo la Venezuela la kuimarisha uhusiano wa kistratijia na Iran

    Nov 27, 2020 02:27

    Katika miezi michache iliyopita ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Venezuela umekuwa ukiimarika katika nyanja tofauti.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela asisitiza kuimarishwa uhusiano wa kistratejia na Iran

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela asisitiza kuimarishwa uhusiano wa kistratejia na Iran

    Nov 26, 2020 04:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela amesisitiza kuwa serikali za sasa za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Venezuela zimeandaa nyanja za kupanua na kuimarisha uhusiano wao na kwamba nchi yake ina hamu kubwa ya kuimarisha uhusiano wa kistratejia na Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS