Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • Maduro: Guaido naye amembwaga Trump

    Maduro: Guaido naye amembwaga Trump

    Nov 09, 2020 12:01

    Rais wa Venezuela amesema kuwa katika kipindi cha miaka miwili ilimpatia serikali ya Donald Trump mwanasiasa aliyejitangaza kuwa rais wa Venezuela kiasi cha dola milioni 800 lakini hatimaye mwanasiasa huyo, Juan Guaido, pia amemsalitia Trump.

  • Uchaguzi wa rais wa 2020; nembo ya demokrasia bandia ya Marekani

    Uchaguzi wa rais wa 2020; nembo ya demokrasia bandia ya Marekani

    Nov 07, 2020 10:14

    Kama ilivyokuwa imetabiriwa awali, uchaguzi wa mwaka huu wa rais wa Marekani ambao ulifanyika tarehe 3 mwezi huu wa Novemba umekuwa moja ya chaguzi zenye utata mkubwa zaidi katika historia ya nchi hiyo, uchaguzi ambao taathriza zake bila shaka zitabakia kwa muda mrefu katika uwanja wa siasa za nchi hiyo.

  • Zarif: Ziara yangu Venezuela imekuwa na mafanikio makubwa

    Zarif: Ziara yangu Venezuela imekuwa na mafanikio makubwa

    Nov 06, 2020 06:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter kuhusu ziara yake nchini Venezuela akiashiria jinsi ziara yake hiyo ilivyofanyika kwa ufanisi mkubwa.

  • Ushindi mwingine wa Maduro baada ya Mahakama ya Rufaa ya Uingereza kutoa hukumu kwa maslahi ya Venezuela

    Ushindi mwingine wa Maduro baada ya Mahakama ya Rufaa ya Uingereza kutoa hukumu kwa maslahi ya Venezuela

    Oct 07, 2020 07:50

    Tangu kuanza mgogoro wa uchaguzi nchini Venezuela, Umoja wa Ulaya na nchi kubwa za Ulaya zimechukua msimamo sawa na wa Marekani dhidi ya Rais Nicolas Maduro wa Venezuela. Baada ya kinara wa wapianzani, Juan Guaido kushindwa katika uchaguzi na kisha kujitangaza rais mnamo Januari 23, 2029, nchi za Ulaya ikiwemo Uingereza, zimekuwa zikimuunga mkono kiongozi huyo wa upinzani.

  • Kuwasili shehena mpya ya nishati ya mafuta ya Iran nchini Venezuela

    Kuwasili shehena mpya ya nishati ya mafuta ya Iran nchini Venezuela

    Sep 30, 2020 02:41

    Licha ya vizingiti, ukwamishaji mambo na mashinikizo ya Marekani, shehena ya pili ya nishati ya mafuta ya Iran imewasili nchini Venezuela.

  • Maduro: Iran na Venezuela zina haki ya kuainisha mustakbali wao

    Maduro: Iran na Venezuela zina haki ya kuainisha mustakbali wao

    Sep 29, 2020 12:28

    Rais wa venezuela ameashiria vikwazo vya upande mmoja vya Marekani na kusisitiza kuwa nchi kama Iran na Venezuela zina haki ya kuainisha mustakbali wao katika suala la amani na uthabiti.

  • Rais Maduro: Marekani inashirikiana na magenge ya madawa ya kulevya ya Colombia dhidi ya Venezuela

    Rais Maduro: Marekani inashirikiana na magenge ya madawa ya kulevya ya Colombia dhidi ya Venezuela

    Sep 25, 2020 11:14

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesema kuwa, Idara ya Kupambana na Madawa ya Kulevya ya Marekani inashirikiana na walanguzi wa madawa ya kulevya wa nchini Colombia kwa ajili ya kutoa pigo dhidi ya serikali ya Caracas.

  • Venezuela yaunda kikosi maalumu cha makomando kukabiliana na chokochoko za Marekani

    Venezuela yaunda kikosi maalumu cha makomando kukabiliana na chokochoko za Marekani

    Sep 24, 2020 02:42

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ameukosoa vikali ujambazi na umafia unaofanywa na serikali ya Marekani dhidi ya nchi yake na ametangaza habari ya kuundwa kikosi maalumu cha makomando cha kupambana na vitendo vya kiharibifu vya Marekani.

  • Kuendelea ushirikiano baina ya Iran na Venezuela na shukrani za Maduro kwa Tehran

    Kuendelea ushirikiano baina ya Iran na Venezuela na shukrani za Maduro kwa Tehran

    Aug 25, 2020 03:28

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa msaada wake kwa nchi hiyo katika kukabiliana na vikwazo vya mafuta vya Marekani dhidi ya Venezuela na kusisitiza kuwa, uzoefu wa Iran utaweza kuisaidia nchi yake kutia nguvu uwezo wake wake wa kujitawala.

  • Kuendelea “mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa” mhimili wa siasa za uingiliaji mambo wa Marekani dhidi ya Venezuela

    Kuendelea “mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa” mhimili wa siasa za uingiliaji mambo wa Marekani dhidi ya Venezuela

    Aug 19, 2020 02:26

    Katika hali ambayo hadi sasa siasa za “mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa” za Marekani dhidi ya Venezuela zimefeli na kugonga mwamba, Robert Charles O’Brein, mshauri wa usalama wa taifa wa White House amesisitiza kuwa, mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa utakuwa mhimili wa harakati za Washington dhidi ya Venezuela.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS