Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • Takwa rasmi la Venezuela kwa Mahkama ya Jinai ICC kwa ajili ya kuchunguzwa jinai za Marekani

    Takwa rasmi la Venezuela kwa Mahkama ya Jinai ICC kwa ajili ya kuchunguzwa jinai za Marekani

    Feb 15, 2020 04:20

    Katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump Marekani imefanya jitihada nyingi za kutaka kuiondoa madarakani serikali ya mrengo wa kushoto ya Venezuela inayoongozwa na Rais Nicolás Maduro na badala yake kuiingiza madarakani serikali kibaraka itakayoongozwa na Juan Guaidó.

  • Raia wa Venezuela watangaza mshikamano wao na Wairani kupinga ubeberu wa Marekani

    Raia wa Venezuela watangaza mshikamano wao na Wairani kupinga ubeberu wa Marekani

    Jan 26, 2020 12:44

    Wawakilishi wa Harakati za Kijamii na Kisiasa nchini Venezuela pamoja na kamati za kisiasa kote duniani, wametangaza mshikamano wao na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kulinda amani mkabala wa vitisho vya Marekani, kupitia maandamano ya amani yaliyofanyika Jumamosi ya Jana.

  • Sisitizo la Marekani la kumuunga mkono zaidi Juan Guaido; mwendelezo wa siasa zilizofeli za Washington

    Sisitizo la Marekani la kumuunga mkono zaidi Juan Guaido; mwendelezo wa siasa zilizofeli za Washington

    Jan 22, 2020 03:52

    Katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita, nchi yenye utajiri wa mafuta ya Venezuela imekuwa ikikabiliwa na mgogoro wa ndani wa kisiasa. Juan Guaido, kinara wa upinzani nchini Venezuela, Januari 23 mwaka jana alijitangaza kuwa Rais wa nchi hiyo.

  • Venezuela; imesimama imara mbele ya vikwazo na iko tayari kufanya mazungumzo na wapinzani

    Venezuela; imesimama imara mbele ya vikwazo na iko tayari kufanya mazungumzo na wapinzani

    Jan 20, 2020 09:27

    Licha ya kuendelea siasa za uhasama za Marekani na kutekelezwa vikwazo tofauti dhidi ya Venezuela, Rais Nicolás Maduro wa nchi hiyo ameweza kudhibiti mgogoro wa kisiasa na kiuchumi wa ndani na kurejesha usalama nchini.

  • Venezuela yaionya Marekani iache kuendeleza uhasama wake dhidi ya eneo la Amerika ya Latini

    Venezuela yaionya Marekani iache kuendeleza uhasama wake dhidi ya eneo la Amerika ya Latini

    Jan 18, 2020 23:26

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Venezuela imeitahadharisha Marekani kutokana na tabia zake za kuendeleza mzingiro dhidi ya eneo la Amerika ya Latini na ukanda wa Karibiani.

  • Venezuela yaionya Marekani iache kuendeleza uhasama wake dhidi ya eneo la Amerika ya Latini

    Venezuela yaionya Marekani iache kuendeleza uhasama wake dhidi ya eneo la Amerika ya Latini

    Jan 18, 2020 12:59

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Venezuela imeitahadharisha Marekani kutokana na tabia zake za kuendeleza mzingiro dhidi ya eneo la Amerika ya Latini na ukanda wa Karibiani.

  • Sisitizo la Maduro kuhusu uungaji mkono wa Marekani kwa magaidi na makundi yenye kuchupa mipaka ndani ya Venezuela

    Sisitizo la Maduro kuhusu uungaji mkono wa Marekani kwa magaidi na makundi yenye kuchupa mipaka ndani ya Venezuela

    Jan 16, 2020 08:41

    Katika kipindi cha uongozi wa Rais Doland Trump, Marekani imehusika na njama nyingi za kuiondoa madarakani serikali ya mrengo wa kushoto ya Venezuela na Rais wake Nicolás Maduro ili kumweka madarakani kibaraka wa Washington na kiongozi wa upinzani nchini humo Juan Guaidó; na inatumia kila wenzo kwa ajili ya kufikia lengo hilo.

  • Venezuela yaionya Marekani na kuitaka iache kuingilia masuala yake ya ndani

    Venezuela yaionya Marekani na kuitaka iache kuingilia masuala yake ya ndani

    Jan 11, 2020 09:03

    Serikali ya Venezuela imeionya Marekani na kuitaka iache mchezo wake wa kuingilia masuala ya ndani ya Caracas.

  • Kuendelea mashinikizo ya Marekani dhidi ya Venezuela; kuwekewa Caracas vikwazo vipya

    Kuendelea mashinikizo ya Marekani dhidi ya Venezuela; kuwekewa Caracas vikwazo vipya

    Dec 05, 2019 03:43

    Serikali ya Marekani imeendeleza mashinikizo yake dhidi ya Venezuela ambapo imeiwekea nchi hiyo vikwazo vipya katika sekta ya viwanda na biashara ya mafuta.

  • Trump alishauriana na Michel Temer kuivamia kijeshi Venezuela

    Trump alishauriana na Michel Temer kuivamia kijeshi Venezuela

    Nov 28, 2019 06:55

    Rais wa zamani wa Brazil, Michel Temer, amesema kuwa, Rais wa Marekani alimuuliza kuhusu namna ya kuishambulia Venezuela.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS