Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • Venezuela: Vikwazo vya Marekani ni ukiukaji wa sheria za kimataifa

    Venezuela: Vikwazo vya Marekani ni ukiukaji wa sheria za kimataifa

    Nov 20, 2019 21:35

    Venezuela imetangaza kuwa mamilioni ya dola ambazo ni mali ya wananchi wa nchi hiyo zimeathiriwa na hatua za vitisho na za upande mmoja za Marekani; na huo ni ukiukaji wa sheria za kimataifa.

  • Hatua za uhasama za Marekani dhidi ya Venezuela na radiamali ya Russia

    Hatua za uhasama za Marekani dhidi ya Venezuela na radiamali ya Russia

    Oct 01, 2019 07:46

    Katika kipindi cha uongozi wa Rais Donald Trump, Marekani imejikita zaidi katika suala la kuipindua serikali ya mrengo wa kushoto nchini Venezuela na kumuondoa madarakani Rais wa nchi hiyo Nicolas Maduro na kisha kuiweka uongozini serikali ambayo ni mshirika wake kwa uongozi wa kinara wa upinzani Juan Guaido.

  • Duru mpya ya hujuma za vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi zingine

    Duru mpya ya hujuma za vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi zingine

    Sep 28, 2019 04:29

    Marekani ina rekodi kubwa zaidi ya kutumia aina mbali mbali za vikwazo dhidi ya nchi zingine kwa ajili ya kufikia malengo ya siasa zake za nje. Ushadidishaji vikwazo unaofanywa na Washington katika kipindi cha urais wa Donald Trump umekuwa ukipingwa na kulaaniwa kimataifa. Pamoja na hayo kinachoendelea kushuhudiwa kila uchao ni kutangazwa vikwazo vingine vipya vya Marekani dhidi ya nchi zingine duniani.

  • Agizo jipya la Trump dhidi ya maafisa wa Iran na tapatapa za mfamaji

    Agizo jipya la Trump dhidi ya maafisa wa Iran na tapatapa za mfamaji

    Sep 27, 2019 03:39

    Rais Donald Trump wa Marekani jana Alkhamisi aliendeleza sera zake za kuiweka mashinikizo ya juu zaidi kwa shabaha ya kuilazimisha Jamhuri ya Kiislamu isalimu amri mbele ya matakwa ya serikali ya Washington.

  • Maduro afichua mpango wa Marekani na Colombia wa kutaka kumuuwa

    Maduro afichua mpango wa Marekani na Colombia wa kutaka kumuuwa

    Sep 22, 2019 23:17

    Rais wa Venezuela amefichua mpango wa kutaka kumuuwa unaofanywa kwa siri na rais wa zamani wa Colombia kwa kushirikiana na Marekani.

  • Venezuela: Tutaichukulia hatua Colombia katika Umoja wa Mataifa

    Venezuela: Tutaichukulia hatua Colombia katika Umoja wa Mataifa

    Sep 01, 2019 23:36

    Serikali ya Venezuela imesema kuwa itawasilisha ushahidi kwa Umoja wa Mataifa kuhusu misaada na uungaji mkono unaotolewa na Colombia kwa makundi yanayobeba silaha ya upinzani dhidi ya serikali ya Rais Maduro.

  • Mazungumzo ya Marekani na serikali ya Venezuela; kulegeza kamba Trump kuhusu mpango wake wa kuipindua serikali ya Maduro

    Mazungumzo ya Marekani na serikali ya Venezuela; kulegeza kamba Trump kuhusu mpango wake wa kuipindua serikali ya Maduro

    Aug 22, 2019 01:58

    Baada ya miezi kadhaa ya njama za Marekani za kutaka kuipindua serikali ya Rais Nicolas Maduro wa Venenzuela, hivi sasa Washington imekata tamaa na siasa zake za kibabe na imebadilisha msimamo wake kikamilifu kwa kufanya mazungumzo na viongozi kadhaa wa Caracas.

  • Maduro akosoa hatua za Trump dhidi ya Venezuela

    Maduro akosoa hatua za Trump dhidi ya Venezuela

    Aug 19, 2019 22:03

    Kufuatia kuendelea vitisho na mashinikizo ya Marekani dhidi ya Venezuela, Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo amekosoa hatua za Rais Donald Trump dhidi ya nchi yake na kusema: "Hatua ambazo Rais wa Marekani anachukua dhidi ya Venezuela ni sawa na zile ambazo kiongozi wa Wanazi alichukua katika Vita Vikuu vya Pili vya Dunia."

  • Maduro afichua: Marekani na Colombia zimepanga njama ya kuniua

    Maduro afichua: Marekani na Colombia zimepanga njama ya kuniua

    Aug 15, 2019 05:05

    Rais Nicolás Maduro wa Venezuela amefichua kwamba, rais wa zamani wa Colombia ameajiri makumi ya mamluki waliopewa jukumu la kumuua yeye.

  • Serikali ya Venezuela yasimamisha mazungumzo na wapinzani kulalamikia vikwazo vya Marekani

    Serikali ya Venezuela yasimamisha mazungumzo na wapinzani kulalamikia vikwazo vya Marekani

    Aug 09, 2019 20:47

    Marekani ikiwa ni nchi inayoingilia wazi wazi masuala ya ndani ya Venezuela imefanya juhudi nyingi za kuipigisha magoti serikali ya mrengo wa kushoto ya nchi hiyo na pia kujaribu kumng'oa madarakani Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo lakini bila mafanikio yoyote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS