-
Iran yailaani Marekani kwa kutumia njia zilizo kinyume cha sheria kuzishinikiza nchi huru
May 09, 2019 07:59Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani uhasama wa Marekani dhidi ya Cuba hasa wa kuondoa marufuku ya muda ya utekelezwaji wa Kipengee cha Tatu cha Sheria Helms-Burton na kusema: "Kwa hatua yake hiyo, Washington kwa mara nyingine imeonyesha kuwa, inatumia kila wenzo ulio kinyume cha sheria kuzishinikiza nchi huru."
-
Maduro aagiza kusimamiwa viwanja vya ndege katika mji mkuu wa Venezuela
May 08, 2019 07:44Waziri wa Mambo ya Ndani wa Venezuela amesema kuwa serikali ya nchi hiyo itasimamia viwanja vitatu vya ndege vilivyopo katika mji mkuu wa nchi hiyo kufuatia agizo la Rais wa nchi hiyo.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela: Inatupasa kujifunza kutoka Iran
May 07, 2019 20:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela sambamba na kusisitiza umuhimu wa kupanua ushirikiano katika uga wa kijeshi na nishati kati ya nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesema kuwa Caracas inapaswa kujifundisha masomo mengi kutoka Iran.
-
Mogherini asisitiza ulazimia wa kutatuliwa kwa njia ya amani mgogoro wa Venezuela
May 07, 2019 08:55Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya ameashiria matukio ya Venezuela na kusisitiza kuwa njia ya ufumbuzi wa mgogoro wa nchi hiyo inapasa kuwa ya kiraia na kutoka ndani ya nchi hiyo yenyewe kikamilifu.
-
Onyo kali la Moscow dhidi ya uingiliaji wa kijeshi wa Washington nchini Venezuela
May 03, 2019 03:08Katika kipindi hiki cha uongozi wa Rais Donald Trump wa Marekani, nchi hiyo imeongeza maradifu juhudi zake za kutaka kuiangusha serikali halali ya mrengo wa kushoto ya Venezuela inayoongozwa na Rais Nicolas Maduro.
-
Iran yalaani jaribio la Marekani la kutaka kuipindua serikali ya Venezuela
May 02, 2019 23:27Iran imelaani jaribio la hivi karibuni la Marekani la kutaka kuipindua serikali halali ya Rais Nicolas Maduro wa Venezuela.
-
Russia yalaani uingiliaji haribifu wa Marekani nchini Venezuela
May 02, 2019 02:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergei Lavrov amelaani vikali uungaji mkono haribifu wa Marekani kwa kinara wa upinzani nchini Venezuela Juan Guaido ambaye alikuwa amedai amepata uungaji mkono wa jeshi katika jaribio lililofeli la kumpindua Rais Nicolas Maduro.
-
Kushindwa tena mapinduzi ya Marekani nchini Venezuela
May 01, 2019 07:44Jana Jumanne Caracas, mji mkuu wa Venezuela ulipitia siku ngumu na iliyojaa mitihani. Kwa mara nyingine Marekani na vibaraka wake wa ndani wanaoongozwa na Juan Guaido na ambao wanaendesha vurugu na upinzani dhidi ya serikali halali ya nchi hiyo walifanya jaribio la mapinduzi dhidi ya serikali ya mrengo wa kushoto inayoongozwa na Nicolas Maduro, kwa kushirikiana na baadhi ya wanajeshi, lakini kwa mara nyingine tena Marekani ikawa imeshindwa katika jaribio lake hilo la mapinduzi nchini Venezuela.
-
Maduro alipongeza jeshi la Venezuela kwa kuzima jaribio la mapinduzi
May 01, 2019 02:57Rais Nicolás Maduro wa Venezuela amelipongeza jeshi la nchi hiyo kwa kuzima jaribio la mapinduzi dhidi ya serikali yake, harakati ambazo anasema zinaungwa mkono na Marekani.
-
Mwendelezo wa Marekani wa kutaka kupora vyanzo vya utajiri wa Venezuela
Apr 28, 2019 23:38Marekani bado inaendelea kufanya njama za kupanua wigo wa vikwazo na mashinikizo yake dhidi ya Venezuela kwa lengo la kumshinikiza Rais Nicolás Maduro aondoke madarakani nchini humo ili iweze kupenya na kupora utajiri wa taifa hilo la Amerika ya Latini.