-
Marekani yazidisha mashinikizo dhidi ya Venezuela kwa kuiwekea vikwazo Benki Kuu ya nchi hiyo
Apr 19, 2019 03:18Ikiwa ni katika kuzidisha mashinikizo ya Marekani dhidi ya Venezuela, John Bolton, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Marekani amesema kuwa nchi hiyo imeiweka Benki Kuu ya Venezuela katika orodha ya vikwazo ya Washington.
-
Waziri wa Ulinzi Venezuela: Umoja wa jeshi, wananchi na serikali utaishinda Marekani
Apr 15, 2019 08:36Waziri wa Ulinzi wa Venezuela, Vladimir Padrino López na katika kuzuia kushtadi mashinikizo na uingiliaji wa Marekani dhidi ya serikali ya Rais Nicolás Maduro, ametaka kushadidishwa umoja wa wananchi, jeshi na serikali kwa ajili ya kukabiliana na mashinikizo hayo.
-
Uungaji mkono wa jeshi la Venezuela kwa mpango wa Rais Maduro wa kufanyika mazungumzo ya kitaifa nchini humo
Apr 10, 2019 10:06Mgogoro wa kisiasa nchini Venezuela uliibuka tangu tarehe 10 Januari mwaka huu, wakati Rais Nicolás Maduro wa nchi hiyo aliposhinda kwa kuchaguliwa kwa mara ya pili na kuapishwa kuwa rais wa taifa hilo la Amerika ya Latini, katika uchaguzi ambao ulisusiwa na wapinzani.
-
Kuchukua wigo wa kimataifa mgogoro wa kisiasa wa Venezuela
Apr 07, 2019 02:33Mgogoro wa kisiasa wa sasa nchini Venezuela ulianza 10 Januari mwaka huu wakati Rais Nicolas Maduro alipoapishwa baada ya kushinda katika uchaguzi wa Rais uliosusiwa na wapinzani na hivyo kuchukua usukani wa kuiongoza nchi hiyo katika duru ya pili.
-
Kushadidi mashinikizo ya Marekani dhidi ya Venezuela na kukabiliana na Russia na China
Apr 05, 2019 01:55Katika kipindi cha uongozi wa Rais Donald Trump, Marekani ikiwa na lengo la kusukuma mbele gurudumu la siasa zake huko Venezuela, imechukua hatua zenye lengo la kuiangusha serikali ya mrengo wa kushoto ya Rais Nicolas Maduro aliyechaguliwa kihalali na kwa njia ya demokrasia.
-
Wamarekani waandamana kupinga kushambuliwa kijeshi Venezuela
Mar 31, 2019 03:11Mamia ya wananchi wa Marekani wamefanya maandamano mjini Washington DC kupinga uingiliaji wa aina yoyote wa kijeshi wa nchi hiyo dhidi ya Venezuela.
-
Radiamali ya Caracas dhidi ya vitisho vya Marekani kuhusiana na uwepo wa Russia nchini Venezuela
Mar 30, 2019 21:57Katika miaka mitatu ya hivi karibuni, serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ikiwa na lengo la kusukuma mbele gurudumu la siasa zake huko Venezuela, imechukua hatua zenye lengo la kuiangusha serikali ya mrengo wa kushoto ya Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo.
-
Waziri wa Ulinzi wa Venezuela amkejeli Bolton kwa kumshinikiza ajiuzulu
Mar 30, 2019 03:22Waziri wa Ulinzi wa Venezuela amemjibu Mshauri wa Rais katika Usalama wa Taifa wa Marekani, John Bolton aliyemtaka waziri huyo ajiuzulu.
-
Jibu la Moscow kwa vitisho vya Marekani dhidi ya uhusiano wa Russia na Venezuela
Mar 28, 2019 06:57Marekani ingali inaendeleza sera zake kuhusu Venezuela zinazolenga kuipindua serikali na kumwondoa madarakani rais wa nchi hiyo Nicolas Maduro anayefuata siasa za mrengo wa kushoto.
-
Mikwaruzano inazidi kushadidi kati ya Marekani na Russia kuhusiana na Venezuela
Mar 26, 2019 02:24Kauli za tuhuma na uafriti wa Marekani dhidi ya Russia na Venezuela vimezidi kupamba moto kufuatia hatua ya Moscow kutuma shehena ya misaada nchini Venezuela.