Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • Sisitizo la Rais Maduro kuwa Marekani inahusika na ugaidi na uharibifu nchini Venezuela

    Sisitizo la Rais Maduro kuwa Marekani inahusika na ugaidi na uharibifu nchini Venezuela

    Mar 25, 2019 22:35

    Rais Donald Trump wa Marekani katika chote cha utawala wake amekuwa akifuatilia sera za kuiangusha serikali halali ya Rais Nicolas Maduro nchini Venezuela kutokana na kuwa rais huyo anafuata sera za mrengo wa kushoto za kupinga ubeberu na ubepari wa Marekani na Wamagharibi.

  • Ndege za Russia zilizobeba shehena ya misaada zatua Venezuela zikiwa na maafisa wa kijeshi

    Ndege za Russia zilizobeba shehena ya misaada zatua Venezuela zikiwa na maafisa wa kijeshi

    Mar 25, 2019 03:20

    Ndege mbili za Russia zilizobeba tani elfu 35 za misaada zimetua mjini Caracas, mji mkuu wa Venezuela.

  • Venezuela: Mustakbali wa Trump na Pence upo hatarini

    Venezuela: Mustakbali wa Trump na Pence upo hatarini

    Mar 23, 2019 09:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela amesisitizia umuhimu wa kuondolewa madarakani Rais Donald Trump wa Marekani na Mike Pence, Makamu wake wa Rais.

  • Indhari mpya ya Marekani dhidi ya Venezuela; njama ya Washington ya kushadidisha mashinikizo dhidi ya Rais Maduro

    Indhari mpya ya Marekani dhidi ya Venezuela; njama ya Washington ya kushadidisha mashinikizo dhidi ya Rais Maduro

    Mar 23, 2019 03:16

    Katika miaka mitatu ya hivi karibuni, serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ikiwa na lengo la kusukuma mbele gurudumu la siasa zake huko Venezuela, imechukua hatua zenye lengo la kuiangusha serikali ya mrengo wa kushoto ya Rais Nicolas Maduro.

  • Venezuela: Tutatumia nguvu kali kukabiliana na vitisho vipya vya kijeshi vilivyotolewa na Trump

    Venezuela: Tutatumia nguvu kali kukabiliana na vitisho vipya vya kijeshi vilivyotolewa na Trump

    Mar 20, 2019 12:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela ametoa radiamali kali juu ya vitisho vipya vya kijeshi vilivyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya nchi yake na kusisitiza kwamba, Caracas inapinga vikali matamshi hayo hatari ya Trump.

  • Russia: Marekani isijaribu kuingilia kijeshi Venezuela, tutahakikisha tunalinda maslahi yetu

    Russia: Marekani isijaribu kuingilia kijeshi Venezuela, tutahakikisha tunalinda maslahi yetu

    Mar 20, 2019 12:43

    Serikali ya Russia imeionya vikali Marekani isijaribu kufanya uingiliaji wa aina yoyote wa kijeshi nchini Venezuela na kusisitiza kwamba Moscow italinda maslahi yake nchini humo.

  • Hatua mpya ya Rais Maduro kufanya mabadiliko katika serikali ya Venezuela

    Hatua mpya ya Rais Maduro kufanya mabadiliko katika serikali ya Venezuela

    Mar 19, 2019 04:39

    Wakati mgogoro wa kisiasa nchini Venezuela ukiwa unaendelea hasa "Vita vya Umeme" na huku kinara wa upinzani Juan Guaido hakiwa ameshahidisha uchochezi wake baada ya kujitangaza kuwa rais kwa lengo la kuidhoofisha serikalii halali, Rais Nicholas Maduro ambeye ni rais halali wa nchi hiyuo imechukua hatua za kuleta uthabiti na kuimarisha serikali ya nchi hiyo.

  • Mamia ya Wamarekani waandamana mbele ya White House kumtetea Maduro

    Mamia ya Wamarekani waandamana mbele ya White House kumtetea Maduro

    Mar 17, 2019 13:35

    Mamia ya wananchi wa Marekani wamefanya maandamano mbele ya Ikulu ya Rais wa nchi hiyo, White House na kutangaza uungaji mkono wao kwa Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro.

  • Cuba: Miamala ya Marekani dhidi ya Venezuela imetoka kwa Manazi

    Cuba: Miamala ya Marekani dhidi ya Venezuela imetoka kwa Manazi

    Mar 14, 2019 11:00

    Rais Miguel Díaz-Canel wa Cuba amekosoa vikali uingiliaji wa kivamizi wa Marekani nchini Venezuela na kusema kuwa, vitendo hivyo vimetoka kwa Manazi wa Ujerumani.

  • Russia yaionya Marekani isijaribu kuyawekea vikwazo mashirika yake nchini Venezuela

    Russia yaionya Marekani isijaribu kuyawekea vikwazo mashirika yake nchini Venezuela

    Mar 13, 2019 23:00

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetoa onyo kwa Marekani isijaribu kuyawekea vikwazo mashirika ya nchi hiyo yanayofanya kazi nchini Venezuela.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS