Oct 16, 2017 16:37
Marais wa nchi za Bolivia, Nicaragua na Cuba sambamba na kukaribisha ushindi wa chama tawala cha Kisosholisti nchini Venezuela kwa kuibuka mshindi katika uchanguzi wa magavana wa majimbo ya nchi hiyo uliofanyika Jumapili ya jana, wamefurahishwa pia na umoja na mshikamano wa Wavenezuela dhidi ya njama za Wamagharibi.