Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • EU yaionya Marekani isithubutu kuivamia kijeshi Venezuela

    EU yaionya Marekani isithubutu kuivamia kijeshi Venezuela

    Mar 13, 2019 04:27

    Umoja wa Ulaya umeionya Marekani kuhusu hatari ya chokochoko zake za kutaka kuivamia kijeshi Venezuela.

  • Kuendelea hatua za mapinduzi za Marekani dhidi ya Venezuela

    Kuendelea hatua za mapinduzi za Marekani dhidi ya Venezuela

    Mar 10, 2019 04:03

    Uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Venezuela ungali unaendelea na katika hatua ya hivi karibuni kabisa, Washington imetishia kuziwekea vikwazo benki ambazo zinashirikiana na serikali ya Caracas.

  • Kufichuliwa na Maduro lengo halisi la Marekani la kuingilia masuala ya ndani ya Venezuela

    Kufichuliwa na Maduro lengo halisi la Marekani la kuingilia masuala ya ndani ya Venezuela

    Mar 09, 2019 00:50

    Wakati mgogoro wa kisiasa ukiwa unaendelea nchini Venezuela sambamba na kuongezeka harakati za Juan Guaido, kiongozi wa wapinzani aliyejitangaza rais, za kushadidisha mgogoro huo, njama na hatua za serikali ya Marekani za kutaka kubadilisha hali ya mambo katika nchi hiyo ya Amerika ya Latini, nazo pia zimezidi kupamba moto.

  • Venezuela yamtimua balozi wa Ujerumani kwa hatua yake ya kumuunga mkono Juan Guaidó

    Venezuela yamtimua balozi wa Ujerumani kwa hatua yake ya kumuunga mkono Juan Guaidó

    Mar 07, 2019 00:38

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Venezuela imemtimua balozi wa Ujerumani nchini humo kutokana na hatua yake ya kumuunga mkono Juan Guaidó, mpinzani wa serikali aliyejitangaza kuwa rais, badala ya serikali halali ya Caracas.

  • Lavrov: Matamshi ya Bolton dhidi ya Venezuela ni ya udhalilishaji

    Lavrov: Matamshi ya Bolton dhidi ya Venezuela ni ya udhalilishaji

    Mar 04, 2019 23:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameyataja matamshi yaliyotolewa na Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Marekani dhidi ya Venezuela kuwa ni udhalilishaji kwa Amerika ya Latini.

  • Kiongozi wa upinzani Venezuela anakabiliwa na kifungo cha miaka 30 jela

    Kiongozi wa upinzani Venezuela anakabiliwa na kifungo cha miaka 30 jela

    Feb 27, 2019 04:34

    Juan Guaidó, kiongozi wa upinzani aliyejitangaza kuwa rais wa mpito wa Venezuela anaandamwa na kifungo cha miaka 30 jela.

  • Rais Maduro: Marekani sasa inafanya njama za kuanzisha vita Venezuela

    Rais Maduro: Marekani sasa inafanya njama za kuanzisha vita Venezuela

    Feb 27, 2019 01:15

    Rais Nicolás Maduro wa Venezuela amesema kuwa hivi sasa serikali ya Marekani inafanya njama za kuwasha moto wa vita katika eneo la Amerika ya Latini hususan nchini Venezuela.

  • Tishio la kijeshi; kuendelea hatua zilizogonga mwamba za Marekani dhidi ya Venezuela

    Tishio la kijeshi; kuendelea hatua zilizogonga mwamba za Marekani dhidi ya Venezuela

    Feb 26, 2019 23:13

    Sambamba na kuongezeka harakati za kijeshi za Marekani dhidi ya Venezuela, Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo ameituhumu Washington kwamba, inafanya njama za kuzusha mgogoro kwa shabaha ya kuanzisha vita katika eneo la Amerika ya Latini.

  •  Amir-Abdollahian: Marekani inataka kuzusha machafuko nchini Venezuela

    Amir-Abdollahian: Marekani inataka kuzusha machafuko nchini Venezuela

    Feb 25, 2019 23:07

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amelaani hatua ya Marekani ya kuingilia masuala ya ndani ya Venezuela na kusema kuwa, Washington inataka kuiondoa madarakani serikali halali na kuitumbukiza nchi hiyo katika vurugu na machafuko.

  • Marekani yadai siku za Maduro kuwa madarakani Venezuela zinahesabika

    Marekani yadai siku za Maduro kuwa madarakani Venezuela zinahesabika

    Feb 25, 2019 00:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ameonya kuwa, Washington itaendelea kuisakama na kuishinikiza serikali ya Venezuela hadi ifahamu kuwa siku zake za kutawala zinahesabika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS