-
Iran kutuma misaada Venezuela
Feb 25, 2019 00:50Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kutuma msaada wa dawa na vifaa vya kitiba Venezuela, nchi ambayo imekuwa ikikabiliwa na njama za mababeru wakiongozwa na Marekani ambao wanataka kuipindua serikali ya Rais Nicolas Maduro.
-
Maduro: Wananchi wa Venezuela watasimama imara kupambana na madola ya kibeberu
Feb 23, 2019 13:01Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesema kuwa serikali ya Caracas kwa ushirikiano na wananchi wa nchi hiyo watasimama kidete kupambana na madola ya kibeberu na hawatorudi nyuma katika suala hilo.
-
Venezuela yatoa mwito wa kuungwa mkono na UN kukabiliana na "Hujuma ya Kijeshi"
Feb 21, 2019 21:39Ofisi ya uwakilishi ya Venezuela katika Umoja wa Mataifa imewaalika mabalozi wa nchi 46 wanacjama kushiriki kikao ambacho lengo lake ni kuutaka umoja huo utimize wajibu wake wa kupinga vitisho vya uanzishaji "hujuma ya kijeshi".
-
Russia yamuonya, mpinzani wa Venezuela aliyejitangaza kuwa rais
Feb 21, 2019 04:23Serikali ya Russia kupitia Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, Sargey Lavrov imemuonya Juan Guaidó, mpinzani wa serikali ya Venezuela aliyejitangaza kuwa rais wa nchi hiyo kwa hatua yake ya kuruhusu uingiliaji wa kigeni ndani ya taifa hilo.
-
Jeshi la Venezuela lachukua hatua kali za kuzima njama chafu za Marekani
Feb 21, 2019 01:15Jeshi la Venezuela limechukua hatua madhubuti kwa ajili ya kuzima njama chafu za Marekani dhidi ya nchi hiyo.
-
Jeshi la Venezuela latangaza tena utiifu wake kwa Rais Maduro
Feb 20, 2019 23:25Waziri wa Ulinzi wa Venezuela ametangaza tena utiifu wake na vikosi vya majeshi ya nchi hiyo kwa Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo na kusema kuwa, makamanda na wanajeshi wa nchi hiyo wanafuata na kuutii amri ya Rais Maduro na wataendelea kusimama naye bega kwa bega hadi tone la mwisho la damu yao.
-
Vikwazo vipya; kuendelea njama za Marekani za kuzidisha mashinikizo dhidi ya Venezuela
Feb 17, 2019 04:32Mgogoro wa Venezuela bado unaendelea ambapo Marekani na washirika wake wanatumia kila njia kwa ajili ya kuiondoa madarakani serikali halali ya mrengo wa kushoto ya Rais Nicolás Maduro na kuiweka pahala pake serikali kibaraka.
-
Maduro: Venezuela haihitaji msaada wa 'makombo' wa Marekani
Feb 17, 2019 01:07Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesema ni kinaya kuiona Marekani inajidai kuwa ina hamu ya kuwapa wananchi wa nchi hiyo ya Amerika Latina kile inachodai kuwa ni msaada wa kibinadamu, katika hali ambayo imeiba mabilioni ya dola ya nchi hiyo kupitia vikwazo.
-
Kushadidi makabiliano ya kisiasa nchini Venezuela
Feb 12, 2019 22:59Matukio ya kisiasa nchini Venezuela yamefikia katika hatua nyeti kiasi kwamba, Rais Nicolas Maduro ametoa amri ya kufanyika manuva makubwa ya kijeshi ambayo ni ya kihistoria katika nchi hiyo.
-
Ushirikiano wa Marekani na kiongozi wa upinzani nchini Venezuela dhidi ya Rais Nicolás Maduro
Feb 10, 2019 07:37Sambamba na kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Venezuela, wapinzani wa serikali wanaoungwa mkono na Marekani wamezidisha njama zao za kubadilisha hali ya nchi hiyo kwa manufaa yao.