Pars Today
Rais Nicolas Maduro wa Venezuela anaitembelea Iran katika sehemu ya safari yake ya kuzitembelea nchi zinazozalisha mafuta kwa wingi duniani ili kujaribu kuleta uthabiti katika soko la kimataifa la mafuta.
Kikao cha 17 cha viongozi wa Harakati ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM), kilimaliza shughuli zake siku ya Jumapili katika kisiwa cha St. Margarita nchini Venezuela kwa kutoa taarifa ya pamoja.
Wawakilishi wa Venezuela na utawala wa Kizayuni wa Israel wameshambuliana kwa maneno katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusiana na Palestina.
Venezuela imemuita nyumbani mwanadiplomasia wake wa ngazi za juu nchini Marekani kulalamikia hatua ya Washington ya kutangaza vikwazo vipya dhidi ya maafisa wakuu wa nchi hiyo.