• White House yaendeleza uchochezi Venezuela, yafanya mawasiliano na askari wa nchi hiyo

    White House yaendeleza uchochezi Venezuela, yafanya mawasiliano na askari wa nchi hiyo

    Feb 09, 2019 12:20

    Vyombo vya habari nchini Venezuela vimefichua mawasiliano ya moja kwa moja ya ikulu ya Rais wa Marekani (White House) na askari wa nchi hiyo kwa lengo la kuwatisha na kuwachochea kufanya mapinduzi ya kijeshi dhidi ya serikali halali ya Rais Nicolás Maduro.

  • Russia yaionya Marekani isithubutu kuingia kijeshi Venezuela

    Russia yaionya Marekani isithubutu kuingia kijeshi Venezuela

    Feb 07, 2019 11:21

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imeionya Marekani kuhusu hatari ya chokochoko zake za kutaka kuivamia kijeshi Venezuela.

  • Venezuela yanasa shehena ya silaha za Marekani

    Venezuela yanasa shehena ya silaha za Marekani

    Feb 06, 2019 03:56

    Vyombo vya usalama nchini Venezuela vimetangaza habari ya kunasa shehena kubwa ya silaha zinazoripotiwa kutokea Marekani, katika hali ambayo Rais Donald Trump amesisitiza kuwa serikali ya Washington itawaunga mkono kikamilifu wapinzani wa nchi hiyo ya Amerika ya Latini, katika jitihada zao za kumuondoa madarakani Rais Nicolas Maduro.

  • Mgawanyiko katika Umoja wa Ulaya kuhusu kadhia ya Venezuela

    Mgawanyiko katika Umoja wa Ulaya kuhusu kadhia ya Venezuela

    Feb 05, 2019 03:17

    Kufuatia kushadidi mgogoro wa kisiasa nchini Venezuela, Umoja wa Ulaya umekuwa ukifuata sera za Marekani za kumpinga Rais Nicholas Maduro wa nchi hiyo na kumuunga mkono kiongozi wa upinzani.

  • Korea Kaskazini yalaani vikali uingiliaji wa Marekani nchini Venezuela

    Korea Kaskazini yalaani vikali uingiliaji wa Marekani nchini Venezuela

    Feb 04, 2019 10:25

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Korea Kaskazini imetoa taarifa inayolaani uungaji mkono wa nchi za Magharibi zikiongozwa na Marekani kwa Juan Gerardo Guaidó kiongozi wa upinzani aliyejitangaza kuwa rais wa muda wa Venezuela na uingiliaji wa nchi hizo katika nchi hiyo na kusema kuwa kitendo hicho ni ukiukaji wa kuchupa mipaka wa sheria za kimataifa.

  • Maduro: Venezuela ina Rais mmoja tu

    Maduro: Venezuela ina Rais mmoja tu

    Feb 04, 2019 04:19

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesema kuwa, nchi hiyo ina Rais mmoja tu na kwamba kitendo cha kiongozi wa kambi ya upinzani cha kujitangazia urais nchini humo, ni kinyume kabisa cha katiba.

  • Pendekezo la Rais Maduro la kufanyika uchaguzi wa kabla ya wakati nchini Venezuela

    Pendekezo la Rais Maduro la kufanyika uchaguzi wa kabla ya wakati nchini Venezuela

    Feb 04, 2019 04:13

    Venezuela ambayo ni nchi ya Latin America kwa miaka kadhaa sasa imekuwa ikikabiliwa na machafuko kutokana na kupungua bei ya nishati ya mafuta katika soko la dunia.

  • Kulegeza msimamo Marekani kuhusu vitisho vyake vya kijeshi dhidi ya Venezuela

    Kulegeza msimamo Marekani kuhusu vitisho vyake vya kijeshi dhidi ya Venezuela

    Feb 02, 2019 21:57

    Katika hali ambayo Washington na waitifaki wake wangali wanafuatilia mpango wao wa kuipindua serikali ya mrengo wa kushoto ya Venezuela; kusimama kidete na kuwa macho Rais Nicolaus Madurowa nchi hiyo na kuungwa mkono kwake na wananchi, si tu kuwa kumefelisha njama za pande hizo za kutekeleza njama zao dhidi ya Maduro bali kumeipelekea Washington pia kulegeza msimamo katika baadhi ya siasa zake.

  • Rais Rouhani: Wananchi wa Venezuela watasambaratisha njama mpya za Marekani

    Rais Rouhani: Wananchi wa Venezuela watasambaratisha njama mpya za Marekani

    Feb 02, 2019 11:13

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, wananchi wa Venezuela watasambaratisha njama mpya za Marekani kwa kudumisha umoja na kusimama kidete pamoja na serikali.

  • Kushadidishwa mashinikizo dhidi ya Venezuela

    Kushadidishwa mashinikizo dhidi ya Venezuela

    Feb 01, 2019 23:14

    Kufuatia kudhihiri mgogoro wa kisiasa wa Venezuela, nchi za Magharibi zimekuwa zikifanya juhudi kubwa za kufikia malengo yao katika nchi hiyo ya Amerika ya Latini iliyo na utajiri mkubwa wa mafuta.