Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • Umoja wa Afrika watangaza kumuunga mkono Rais Nicolás Maduro wa Venezuela

    Umoja wa Afrika watangaza kumuunga mkono Rais Nicolás Maduro wa Venezuela

    Jan 31, 2019 01:13

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Venezuela imetangaza kwamba Umoja wa Afrika umesisitiza kumuunga mkono Rais Nicolás Maduro wa nchi hiyo.

  • Onyo la Russia kuhusu kuingilia kijeshi Marekani mgogoro wa Venezuela

    Onyo la Russia kuhusu kuingilia kijeshi Marekani mgogoro wa Venezuela

    Jan 30, 2019 09:24

    Matukio ya kisiasa yaliyojiri karibuni katika nchi yenye utajiri mkubwa wa mafuta ya Venezuela na makabiliano yanayozidi kupamba moto baina ya wapinzani na serikali ya mrengo wa kushoto ya nchi hiyo yameingia kwenye awamu nyeti na hasasi.

  • Russia: Nchi za Magharibi zisifikirie kuingilia kijeshi Venezuela

    Russia: Nchi za Magharibi zisifikirie kuingilia kijeshi Venezuela

    Jan 30, 2019 03:01

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia jana usiku alizitaka nchi za Magharibi kuachana na mpango, fikra au dhana yoyote kwamba ipo haja ya kuingilia kijeshi huko Venezuela.

  • China: Marekani itabeba dhima ya chochote kitakachotokea Venezuela

    China: Marekani itabeba dhima ya chochote kitakachotokea Venezuela

    Jan 29, 2019 11:30

    China sanjari na kutangaza uungaji mkono wake kwa Rais Nicolas Maduro wa Venezuela, imesema Marekani inapaswa kubebeshwa dhima kwa jambo lolote baya litakalotokea katika nchi hiyo ya Amerika ya Latini.

  • Kusimama kidete Rais Nicolas Maduro wa Venezuela mbele ya njama za kutaka kumpindua

    Kusimama kidete Rais Nicolas Maduro wa Venezuela mbele ya njama za kutaka kumpindua

    Jan 29, 2019 09:46

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela jana alisisitiza katika gwaride la jeshi la nchi hiyo lililofanyika kwa ajili ya kumuunga mkono kwamba, hakuna mtu yoyote ambaye anamheshimu mtu dhaifu, mwoga na msaliti na akaongeza kuwa, serikali ya Caracas inaungwa mkono kikamilifu na jeshi na kwamba, vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo vimejiandaa kikamilifu kuilinda nchi.

  • Qassemi: Mkutano wa Warsaw ni wa kuleta hitilafu na mifarakano baina ya Iran na Ulaya

    Qassemi: Mkutano wa Warsaw ni wa kuleta hitilafu na mifarakano baina ya Iran na Ulaya

    Jan 28, 2019 09:15

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kufanyika mkutano ulio dhidi ya Iran wa Warsaw Poland ni kuzusha hitilafu na mgawanyiko baina ya Iran na baadhi ya nchi za Ulaya.

  • Jeshi la Venezuela lapiga gwaride la kumuunga mkono Rais Maduro

    Jeshi la Venezuela lapiga gwaride la kumuunga mkono Rais Maduro

    Jan 28, 2019 04:54

    Jeshi la Venezuela limepiga gwaride mbele ya Rais Nicolás Maduro wa nchi hiyo likitangaza kumuunga mkono.

  • Bahram Qassemi: Ulaya kwa kutekeleza mfumo wa SPV ithibitishe kuwa iko huru na Marekani

    Bahram Qassemi: Ulaya kwa kutekeleza mfumo wa SPV ithibitishe kuwa iko huru na Marekani

    Jan 28, 2019 04:27

    Bahram Qassemi, Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Umoja wa Ulaya kwa kutekeleza mfumo wa kifedha na Iran unaojulikana kama 'SPV' unaweza kuthibitisha kwamba unajitegemea na kwamba uko huru na Marekani pamoja na mashinikizo yake.

  • Kusimama kidete Rais Maduro mbele ya njama za kuipindua serikali yake za wapinzani wakishirikiana na Marekani

    Kusimama kidete Rais Maduro mbele ya njama za kuipindua serikali yake za wapinzani wakishirikiana na Marekani

    Jan 27, 2019 23:13

    Kwa sasa Venezuela ingali inakabiliwa na mzozo na mgogoro wa kisiasa. Katika hali ambayo Marekani na waitifaki wake wanaendelea kufanya kila mbinu na njama ili kuiondoa madarakani serikali ya mrengo wa kushoto ya Rais Nicolás Maduro na ambaye ndiye rais halali wa nchi hiyo, kiongozi huyo sambamba na kupinga kuainishiwa makataa na muhula maalumu pamoja na vitisho vya kigeni dhidi yake, amesisitiza juu ya kulinda katiba na kuitetea Venezuela.

  • Hizbullah ya Lebanon: Daima Uingiliaji wa Marekani umekuwa na madhara kwa mataifa mengine

    Hizbullah ya Lebanon: Daima Uingiliaji wa Marekani umekuwa na madhara kwa mataifa mengine

    Jan 26, 2019 23:06

    Mkuu wa mrengo wa kisiasa wenye mafungamano na Harakati ya muqawama katika bunge la Lebanon umelaani uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Venezuela na kusema kuwa, uingiliaji wa Washington daima umekuwa na madhara kwa mataifa mengine na ni doa ambalo linapaswa kusafishwa katika historia ya mwanadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS