-
Putin: Vikwazo dhidi ya nchi zinazokabiliana na janga la corona vinapaswa kuondolewa
Dec 18, 2020 02:05Rais wa Russia amesisitiza katika mkutano wake wa kila mwaka kwamba, vikwazo na vizuizi vya kibiashara vilivyowekewa nchi ambazo zimeathiriwa na maambukizi ya corona vinapaswa kuondolewa.
-
Iran yamuwekea vikwazo balozi wa Marekani nchini Yemen
Dec 10, 2020 04:45Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kumuweka balozi wa Marekani nchini Yemen katika orodha ya waliowekewa vikwazo na Iran.
-
Sisitizo la Putin la kumuunga mkono Lukashenko mkabala na vikwazo vipya vya nchi za Magharibi
Nov 06, 2020 03:17Maandamano makubwa yaliyofanyika hivi karibuni nchini Belarus kufuatia uchaguzi uliomrejesha tena madarakani Rais Alexander Lukashenko, kilikuwa kisingizio kizuri kwa nchi za Magharibi kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo na kuanza kutekeleza vikwazo na siasa za uhasama dhidi ya serikali yake.
-
Kurefusha Marekani vikwazo dhidi ya Sudan; zawadi ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel
Nov 03, 2020 10:11Serikali ya Trump ikiwa na lengo la kuuridhisha utawala wa haramu wa Israel imechukua hatua tofauti ikiwemo ya kuandaa uwanja wa kutambuliwa rasmi utawala huo na mataifa ya Kiarabu na Kiislamu ambapo hatua yake ya karibuni kabisa na kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya Sudan na utawala huo ghasibu.
-
Vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Rusia na Belarus
Oct 14, 2020 03:00Ikiwa ni muendelezo wa uingiliaji wa nchi za Magharibi wa masuala ya ndani ya mataifa mengine, sasa hivi Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya wamekubaliana kutekeleza kivitendo vikwazo dhidi ya Russia na Belarus.
-
Sudan yaikosoa Marekani kwa kukwamishwa kufikiwa demokrasia huko Khartoum
Oct 12, 2020 04:05Waziri Mkuu wa Sudan ameituhumu Marekani kuwa inaikwamisha Sudan kufikia demokrasia.
-
Madai ya uongo ya Washington kuhusu hali ya corona nchini Iran
Oct 07, 2020 23:02Tangu Marekani ilipojiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hapo mwaka 2018 serikali ya Washington ilianza kutekeleza vikwazo vikali ambavyo havijawahi kushuhidiwa katika historia katika fremu ya kile kilichotajwa kuwa ni mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi.
-
Nchi 26 duniani zatoa wito wa kuhitimishwa vikwazo vya kidhalimu vya Marekani
Oct 06, 2020 04:42Nchi 26 ikiwemo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Syria, Russia, China na Iraq zimetangaza kuwa, vikwazo vya kidhalimu vya kiuchumi vya Marekani na baadhi ya nchi za Magharibi dhidi ya nchi nyingine zinazojitawala duniani vimekuwa kikwazo kikubwa katika mapambano ya kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona na zimetoa wito wa kuhitimishwa hali hiyo.
-
Kuwasili shehena mpya ya nishati ya mafuta ya Iran nchini Venezuela
Sep 29, 2020 23:11Licha ya vizingiti, ukwamishaji mambo na mashinikizo ya Marekani, shehena ya pili ya nishati ya mafuta ya Iran imewasili nchini Venezuela.
-
Kukiri Biden kufeli siasa za Trump mbele ya Iran
Sep 15, 2020 02:51Huku wakati wa kufanyika uchaguzi wa Rais wa mwezi Novemba 2020 ukizidi kukabiria nchini Marekani, wagombea wawili wa uchaguzi huo, yaani rais wa hivi sasa Donald Trump na mpinzani wake Joe Biden wa chama cha Democrats kila mmoja amekuwa akitangaza misimamo yake kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo misimamo yao kuhusu Iran na mapatano ya nyuklia ya JCPOA.