-
Zarif azilaumu nchi za Ulaya kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao ya kibinadamu
Dec 02, 2019 23:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezilaumu nchi za Ulaya kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao ya kibinadamu na kuongeza kuwa, ni jukumu la nchi za Ulaya kutekeleza wajibu wa kuhusu watoto wadogo wa Iran wanaokwama kwenye matibabu kutokana na ugaidi wa kiuchumi unaofanywa na Marekani dhidi ya wananchi wa taifa hili.
-
Waziri Mkuu wa Sudan aelekea Washington katika juhudi za kupigania nchi yake iondolewe vikwazo
Dec 01, 2019 23:07Waziri Mkuu wa Sudan Abdalla Hamdok ameelekea mjini Washington katika juhudi za kupigania nchi yake iondolewe vikwazo ilivyowekewa na Marekani na kuondolewa jina la nchi hiyo kwenye orodha ya wafadhili na waungaji mkono wa ugaidi.
-
Hatua ya Marekani ya kumuwekea vikwazo Waziri wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Iran
Nov 23, 2019 09:00Katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump, Marekani imeiwekea Iran vikwazo vikali ikiwa ni katika kutekeleza siasa zake za mashinikizo ya juu zaidi. Wakati huo huo ghasia zilizotokea hivi karibuni nchini Iran zimetumiwa na serikali ya Washington kuwawekea vikwazo vipya viongozi wa ngazi ya juu wa Iran ikiwa ni katika kuunga mkono ukosefu huo wa amani na wasababishaji wa ghasia hizo.
-
Venezuela: Vikwazo vya Marekani ni ukiukaji wa sheria za kimataifa
Nov 20, 2019 21:35Venezuela imetangaza kuwa mamilioni ya dola ambazo ni mali ya wananchi wa nchi hiyo zimeathiriwa na hatua za vitisho na za upande mmoja za Marekani; na huo ni ukiukaji wa sheria za kimataifa.
-
Rais Rouhani: Vikwazo vya Marekani ni hatua iliyo dhidi ya maazimio ya kimataifa
Nov 19, 2019 09:55Rais Hassan Rouhani amesema, Marekani inapaswa ijijue kwamba si kiongozi wa dunia bali ni nchi kama zilivyo nchi zingine na akasisitiza kwamba, vikwazo vya Marekani ni kosa kubwa la kisiasa na kiuchumi na ni hatua iliyo dhidi ya kanuni na maazimio ya kimataifa.
-
'Kuimarishwa uwezo wa kujihami Iran ni njia pekee ya kukabiliana na vikwazo vya Marekani'
Nov 16, 2019 23:08Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema njia pekee ya kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ni kuimarisha uwezo wa nchi katika nyanja zote hasa katika uga wa nguvu za kijeshi
-
UN yaitaka US iiondolee Iran vikwazo kama ilivyoagizwa na ICJ
Nov 13, 2019 23:13Umoja wa Mataifa umeitaka Marekani iheshimu agizo la Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu la kuiondolea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vikwazo vinavyohusiana na bidhaa za kibinadamu.
-
Waziri Mkuu wa Sudan afanya mashauriano ili kuinasua nchi hiyo na vikwazo vya Marekani
Nov 12, 2019 08:40Waziri Mkuu wa Sudan amelazimika kuukimbilia Umoja wa Ulaya katika juhudi za kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa na kiuchumi wa nchi yake uliosababishwa na vikwazo vya Marekani.
-
Russia yasisitiza kushindwa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran
Nov 08, 2019 04:59Russia ikiwa mmoja wa wanachama wa kundi la 4+1 daima imekuwa ikisisitiza kulindwa mapatano ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) na kukosoa vikali hatua ya Marekani kuiwekea Iran vikwazo vya upande mmoja, baada ya yenyewe kujiondoa katika mapatano hayo ya kimataifa, ikisema kuwa huo ni ukiukaji wa wazi wa Washington wa mapatano hayo.
-
Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran; jitihada zilizofeli za Washington
Nov 05, 2019 08:06Serikali ya Trump inatekeleza vikwazo dhidi ya Iran ambavyo havijawahi kushuhudiwa huko nyuma baada ya Marekani kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei mwaka jana 2018 katika fremu ya siasa zake za mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya nchi hii; na ingali inaiwekea Iran vikwazo vipya.