Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vikwazo

  • Ugiriki: Vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia vimetudhuru wenyewe

    Ugiriki: Vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia vimetudhuru wenyewe

    Sep 12, 2022 07:02

    Waziri Mkuu wa Ugiriki amesema kuwa, vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Moscow vimetoa pigo la kiuchumi kwa nchi zenyewe za Ulaya kabla ya hata Russia.

  • Ombi la rais wa Ukraine la kuadhibiwa kwa umati wananchi wa Russia; muendelezo wa siasa za Kizayuni

    Ombi la rais wa Ukraine la kuadhibiwa kwa umati wananchi wa Russia; muendelezo wa siasa za Kizayuni

    Aug 11, 2022 02:25

    Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine ambaye hadi hivi karibuni alikuwa anadai kuwa Rais Vladimir Putin wa Russia ndiye aliyesababisha vita vya Ukraine, hivi sasa ameelekeza mashambulizi yake kwa wananchi wote wa Russia na ametaka adhabu ya umati itolewe dhidi yao.

  • Marandi: Makubaliano ya Marekani na Iran ni hatua erevu ya kuzuia mgogoro wa nishati

    Marandi: Makubaliano ya Marekani na Iran ni hatua erevu ya kuzuia mgogoro wa nishati

    Jul 17, 2022 11:51

    Mohammad Marandi, mchambuzi mwandamizi wa masuala ya kisiasa na mitaala kuhusu Marekani amesema makubaliano kati ya Marekani na Iran ni hatua erevu ambayo kama itachukuliwa itazuia kutokea mgogoro wa nishati katika nchi za Magharibi.

  • Kuendelea mpambano wa Magharibi mkabala wa Russia; mara hii vikwazo vya dhahabu

    Kuendelea mpambano wa Magharibi mkabala wa Russia; mara hii vikwazo vya dhahabu

    Jul 17, 2022 03:55

    Nchi za Magharibi zinaendelea kustafidi na wenzo wa mashinikizo kwa Russia kupitia njia mbalimbali kama kuiwekea nchi hiyo vifurushi vya vikwazo vipya kufuatia hatua yake ya kuanzisha vita dhidi ya Ukraine; ambapo Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa uuzaji nje wa dhahabu kutoka Russia utajumuishwa katika kalibu ya vikwazo vipya vya umoja huo.

  • Kuondolewa vikwazo vya Magharibi, sharti la Moscow la kuuza chakula na mbolea nje ya Russia

    Kuondolewa vikwazo vya Magharibi, sharti la Moscow la kuuza chakula na mbolea nje ya Russia

    May 29, 2022 03:26

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa, nchi yake haina tatizo na kuuza nje bidhaa za chakula na mbolea na kuikoa dunia na janga hilo, lakini tatizo ni kwa nchi za Magharibi zilizoiwekea vikwazo Russia na kukwamisha zoezi hilo. Amesema, iwapo nchi za Magharibi zitaondoa vikwazo, Moscow itaweza kuendelea kuuza chakula na mbolea kama zamani.

  • Putin: Vikwazo vya Magharibi dhidi ya Russia vinaziathiri nchi zenyewe za Magharibi

    Putin: Vikwazo vya Magharibi dhidi ya Russia vinaziathiri nchi zenyewe za Magharibi

    May 27, 2022 06:58

    Rais Vladimir Vladimirovich Putin wa Russia kwa mara nyingine tena amezilaumu nchi za Magharibi kwa kuiwekea nchi yake vikwazo kwa kisingizio cha vita vya Ukraine na kusema kuwa, vikwazo hivyo vinaziathiri nchi zenyewe za Magharibi.

  • Jumapili tarehe 22 Mei mwaka 2022

    Jumapili tarehe 22 Mei mwaka 2022

    May 22, 2022 06:01

    Leo ni Jumapili tarehe 20 Shawwal 1443 Hijria sawa na Mei 22 mwaka 2022.

  • Bagheri Kani: Siasa za kiistratijia za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kufelisha vikwazo

    Bagheri Kani: Siasa za kiistratijia za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kufelisha vikwazo

    May 15, 2022 12:09

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, siasa za kimkakati za Jamhuri ya Kiislamu ni kufelishi vikwazo.

  • Iran UN ikabiliane na vikwazo na hujuma dhidi ya Uislamu huko Magharibi

    Iran UN ikabiliane na vikwazo na hujuma dhidi ya Uislamu huko Magharibi

    May 05, 2022 07:19

    Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amevitaja vikwazo na hujuma dhidi ya Uislamu (Islamophobia) katika nchi za Magharibi kuwa ni kinyume na kanuni, sheria za kimataifa, sheria ya kibinadamu na Hati ya Umoja wa Mataifa, na ametoa wito kwa idara ya Mawasiliano ya Kimataifa ya umoja huo kuendeleza juhudi za kukabiliana na athari mbaya za vikwazo vya upande mmoja kwa nchi zilizoathiriwa na vikwazo.

  • Kuongezeka mpasuko ndani ya EU kuhusu vikwazo vya mafuta na gesi dhidi ya Russia

    Kuongezeka mpasuko ndani ya EU kuhusu vikwazo vya mafuta na gesi dhidi ya Russia

    Mar 28, 2022 02:27

    Waziri Mkuu wa Poland, Mateusz Morawiecki amedai kuwa, nchi tatu za Ulaya za Ujerumani, Austria na Hungary ni kizuizi katika utekelezaji wa vikwazo vipya dhidi ya Russia na kuzifananisha nchi hizo tatu na breki inayozuia vikwazo vya Magharibi dhidi ya Moscow.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS