-
IRGC yashambulia ngome za jeshi la Marekani kulipiza kisasi shambulio dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran
Jun 27, 2026 03:24Kikosi cha Wanamaji la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimeshambulia ngome za kijeshi za Marekani katika eneo la Magharibi mwa Asia kulipiza kisasi uchokozi wa awali dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran.
-
Mamilioni ya Wairani washiriki maombolezo kuelekea siku ya Ashura
Jun 24, 2026 11:04Mamilioni ya Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na maeneo mengine ya dunia leo mchana wameshiriki katika maombolezo ya kumbukumbu ya Ta'asua na jioni hii wanashiriki katika hafla za mkesha wa Ashura ambayo ni kukumbuka siku ya kuuliwa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (AS).
-
Qalibaf: Mkataba wa Islamabad ni tangazo la kufeli kwa Marekani
Jun 24, 2026 11:00Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Mkataba wa Maelewano (MoU) wa kumaliza vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran haukuwa matokeo ya shinikizo au kulazimishwa, bali ni zao la ustahimilivu na nguvu ya taifa shupavu la Iran.
-
Seneti yapitisha azimio la kuondoa wanajeshi wa Marekani kwenye vitani na Iran
Jun 24, 2026 03:55Seneti ya Marekani imepiga kura ya kuidhinisha azimio la kuwaondoa wanajeshi wa Marekani kwenye vita na Iran, katika hatua ambayo imetajwa na wachambuzi wa mambo kuwa ni kielelezo cha pigo la kisiasa kwa Rais Donald Trump.
-
Kamanda: Jeshi la Iran bado halijaonesha uwezo wake kamili
Jun 24, 2026 03:45Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamebadili mwelekeo wa kimkakati kutoka kwenye ulinzi pekee na kuelekea kwenye mafundisho ya kijeshi ya mashambulizi (offensive military doctrine), huku operesheni za kutangulia kumzuia adui (preemptive operations) zikiwa sasa mezani.
-
Spika wa Bunge la Iran aapa kuwa mwaminifu kwa mashahidi baada ya kuwasili Uswisi kwa mazungumzo na US
Jun 21, 2026 04:41Spika wa Bunge la Iran amesisitiza tena kwamba atatetea haki za Wairani waliouawa shahidi wakati wa mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu baada ya kuwasili Uswisi kufuatilia mkataba wa Hati ya Maelewano uliosainiwa na viongozi wa nchi mbili kwa lengo la kukomesha vita.
-
Washington Post: Trump anasherehekea kurudi katika hali ya kabla ya vita na Iran
Jun 15, 2026 10:09Gazeti la Washington Post, katika ripoti yake kuhusu hati ya makubaliano kati ya Iran na Marekani, limekejeli hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kusherehekea kurejea Washington kwenye hali ya kabla ya Februari 28, hatua ambayo baadhi ya wataalamu wanaamini ni kurudi nyuma kwa maana halisi ya neno hilo mkabala wa Iran.
-
Iran yaadhimisha mwaka mmoja tangu Vita vya Siku 12
Jun 14, 2026 03:11Maafisa wakuu wa Iran wameadhimisha mwaka mmoja tangu kuanza kwa Vita vya Siku 12, vilivyoanza tarehe 13 Juni mwaka uliopita kufuatia mashambulizi ya kichokozi ya anga ya utawala haramu wa Israel, na ambayo yaliua makamanda kadhaa wa juu wa kijeshi, maafisa wa serikali, pamoja na wanasayansi wa nyuklia.
-
Majeshi ya Iran yashambulia ngome za kijeshi za Marekani kujibu uchokozi
Jun 11, 2026 11:42Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) likishirikiana na Jeshi la Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (Artesh), limetangaza mfululizo wa operesheni za kijeshi za kulipiza kisasi zilizoratibiwa vyema dhidi ya kambi za kijeshi za Marekani katika eneo la Asia Magharibi.
-
Bei za mafuta zapanda duniani kutokana na ukiukaji wa usitishaji vita wa Marekani dhidi ya Iran
Jun 11, 2026 11:38Bei za mafuta ghafi ya petroli zilipanda Alhamisi duniani kufuatia kurejea kwa mashambulizi ya kijeshi baada ya uchokozi wa Marekani na ukiukaji wake wa makubaliano ya kusitisha mapigano na Iran. Mvutano huo umeongeza wasiwasi kuhusu usambazaji wa nishati duniani pamoja na kuendelea kwa usumbufu wa usafirishaji kupitia Mlango wa Hormuz.