Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Ruto asema serikali imetekeleza ahadi ilizowapa Waislamu wa Kenya

    Ruto asema serikali imetekeleza ahadi ilizowapa Waislamu wa Kenya

    Aug 06, 2026 03:24

    Rais William Ruto wa Kenya amesema serikali imetekeleza ahadi muhimu ilizotoa kwa jamii ya Waislamu wakati wa kampeni za uchaguzi wa mwaka 2022.

  • Kiongozi mkuu wa kidini wa Bahrain alaani mataifa ya Kiarabu kwa kutumikia ajenda za Marekani na Israel

    Kiongozi mkuu wa kidini wa Bahrain alaani mataifa ya Kiarabu kwa kutumikia ajenda za Marekani na Israel

    Aug 03, 2026 10:08

    Ayatullah Sheikh Isa Qassim, kiongozi wa jamii ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Bahrain, amezilaani nchi za Kiarabu na Kiislamu za kanda ya Magharibi mwa Asia kwa kuchangia katika njama za Marekani na Israel za kuimarisha migawanyiko katika eneo hilo.

  • Ukiukaji wa MoU wa Marekani unathibitisha saini ya rais wa Marekani 'haina thamani'

    Ukiukaji wa MoU wa Marekani unathibitisha saini ya rais wa Marekani 'haina thamani'

    Jul 19, 2026 03:44

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema ukiukaji wa mara kwa mara wa Marekani wa Mkataba wa Maelewano wa Islamabad (MoU) umethibitisha tena kwamba sahihi ya rais wa Marekani "haina thamani kabisa na ni batili."

  • Utawala wa Bahrain unafuatilia malengo gani katika kuwatia mbaroni viongozi wa kidini?

    Utawala wa Bahrain unafuatilia malengo gani katika kuwatia mbaroni viongozi wa kidini?

    Jun 05, 2026 14:06

    Ikiwa ni katika kuendeleza siasa zake za kuwakandamiza viongozi mashuhuri wa kidini Utawala wa Al Khalifa nchini Bahrain umewatia nguvuni viongozi wengine kadhaa wa kidini.

  • San Diego yaaga wahanga wa shambulizi dhidi ya Kituo cha Kiislamu katika mazishi ya heshima

    San Diego yaaga wahanga wa shambulizi dhidi ya Kituo cha Kiislamu katika mazishi ya heshima

    May 22, 2026 15:03

    Zaidi ya watu 2,000 walihudhuria mazishi yaliyofanyika jana Alhamisi ya wahanga watatu wa shambulio dhidi ya msikiti na Kituo cha Kiislamu huko San Diego, California, huku kukiwa na huzuni kubwa zilizoandamana na pongezi kwa kujitolea wahanga hao waliowalinda watoto zaidi ya 140 waliokuwa ndani ya shule ya kituo hicho.

  • Rais wa Iran: Marekani, Israel zinapandikiza chuki baina ya Waislamu

    Rais wa Iran: Marekani, Israel zinapandikiza chuki baina ya Waislamu

    May 18, 2026 12:11

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kwamba tawala za Marekani na Israel zinaendeleza miradi ya kuzusha migawanyiko na kueneza hali ya kutoaminiana ili kuyagonganisha mataifa ya Kiislamu.

  • Jumapili, 4 Januari, 2026

    Jumapili, 4 Januari, 2026

    Jan 03, 2026 23:07

    Leo ni Jumapili 14 Rajab 1447 Hijria mwafaka na 4 Januari 2026 Miladia.

  • Mwanaharakati Muaustralia aliyesilimu kutokana na Palestina: Nashangaa watu wote si Waislamu

    Mwanaharakati Muaustralia aliyesilimu kutokana na Palestina: Nashangaa watu wote si Waislamu

    Dec 24, 2025 02:48

    Robert Martin, mwandishi na mwanaharakati Muaustralia mtetezi na muungaji mkono wa Palestina, ambaye amesilimu hivi karibuni amesema, uungaji mkono wake kwa Palestina na safari yake ya kiimani kuelekea kwenye dini tukufu ya Uislamu vimechochewa na miaka kadhaa ya uanaharakati na tajiriba aliyopata katika safari za misafara ya meli za Uhuru, ambazo zimejaribu kuvunja kizuizi kilichowekwa na Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza.

  • Vence adai Ulaya itakuwa hatari kwa Marekani, kwa kuwa eti itatawaliwa na Waislamu

    Vence adai Ulaya itakuwa hatari kwa Marekani, kwa kuwa eti itatawaliwa na Waislamu

    Dec 23, 2025 08:26

    Makamu wa Rais wa Marekani J.D. Vance amedai kuwa, Ulaya Magharibi yenye silaha za nyuklia inaweza kuwa hatari kubwa ya kiusalama kwa Marekani ikiwa utambulisho wa kitaifa wa nchi zake utaendelea kubadilika kutokana na uhamiaji mkubwa unaofanyika katika nchi hizo.

  • Makaburi ya Waislamu nchini Australia yanajisiwa baada ya ufyatuaji risasi huko Sydney

    Makaburi ya Waislamu nchini Australia yanajisiwa baada ya ufyatuaji risasi huko Sydney

    Dec 15, 2025 23:21

    Makaburi ya Waislamu nchini Australia yamenajisiwa kwa vichwa vya nguruwe vilivyokatwa kufuatia ufyatuaji risasi uliolenga hafla ya Kiyahudi mjini Sydney nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS