Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Mataifa ya Kiislamu yatakiwa yaungane kukabiliana na 'Islamophobia'

    Mataifa ya Kiislamu yatakiwa yaungane kukabiliana na 'Islamophobia'

    May 27, 2025 06:33

    Rais wa Azerbaijan, Ilham Aliyev ametoa wito kwa mataifa ya Kiislamu kuungana na kusimama bega kwa bega katika kupambana na chuki dhidi ya Uislamu.

  • Pezeshkian: Ikiwa Waislamu wataungana, maadui hawawezi kuyadhulumu mataifa ya Kiislamu

    Pezeshkian: Ikiwa Waislamu wataungana, maadui hawawezi kuyadhulumu mataifa ya Kiislamu

    Apr 04, 2025 10:17

    Rais wa Iran amesema kuwa ikiwa Waislamu watakuwa na umoja na mshikamano, maadui hawatakuwa na uwezo wa kuyadhulumu mataifa ya Kiislamu.

  • Ukatili wa Polisi Dhidi ya Waandamanaji wa Siku ya Kimataifa Quds Nchini Nigeria

    Ukatili wa Polisi Dhidi ya Waandamanaji wa Siku ya Kimataifa Quds Nchini Nigeria

    Apr 01, 2025 02:39

    Katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds yaliyofanyika nchini Nigeria Ijumaa kwa kushirikisha mamia ya Waislamu na wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo – kwa lengo la kuonyesha mshikamano na watu wa Palestina na kulaani uhalifu wa utawala wa Kizayuni wa Israel– maafisa wa polisi wa Nigeria walifyatua risasi dhidi ya waandamanaji. Tukio hilo lilisababisha waandamanaji wasiopungua 18 kuuawa shahidi, wengine kujeruhiwa, na wengi kukamatwa.

  • Rais wa Iran atoa mkono wa Idi kwa viongozi na wananchi wa mataifa ya Kiislamu

    Rais wa Iran atoa mkono wa Idi kwa viongozi na wananchi wa mataifa ya Kiislamu

    Mar 31, 2025 03:21

    Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia salamu za mkono wa Idi na kuwapongeza viongozi na wananchi wa mataifa ya Kiislamu kwa mnasaba wa kuadhimisha na kushereheka Idul-Fitri, siku ya sherehe na furaha kubwa kwa Waislamu.

  • Kwa nini Trump hastahamili kuwepo kwa wahamiaji Waislamu huko Marekani?

    Kwa nini Trump hastahamili kuwepo kwa wahamiaji Waislamu huko Marekani?

    Jan 28, 2025 02:53

    Moja ya amri tisa za Donald Trump katika siku ya kwanza ya uongozi wake ni kupitiwa upya sheria ya kurejesha marufuku ya Waislamu kuingia Marekani, suala ambalo iwapo litaidhinishwa na kutekelezwa, litakuwa na madhara makubwa kwa wahamiaji Waislamu nchini Marekani na hata waombaji visa Waislamu.

  • Mashirika ya haki yaonya; Trump atarejesha marufuku dhidi ya Waislamu

    Mashirika ya haki yaonya; Trump atarejesha marufuku dhidi ya Waislamu

    Jan 23, 2025 07:37

    Mashirika ya kutetea haki za kiraia nchini Marekani yameonya kuwa, amri ya utendaji iliyosainiwa na Rais Donald Trump siku ya Jumatatu inaweka msingi wa kurejesha marufuku ya wasafiri kutoka nchi zenye Waislamu na Waarabu wengi kuingia Marekani.

  • Qalibaf: Iran imesimama imara kuwatetea Waislamu duniani

    Qalibaf: Iran imesimama imara kuwatetea Waislamu duniani

    Jan 18, 2025 02:42

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema: Iran siku zote inasisima imara na imeonyesha kuwa ni nchi pekee inayowatetea Waislamu wote bila ya kujali madhehebu zao na imetoa maelfu ya mashahidi katika njia hii.

  • Hadi ifikapo 2050 Waislamu watakuwa khumsi moja ya watu wote barani Ulaya

    Hadi ifikapo 2050 Waislamu watakuwa khumsi moja ya watu wote barani Ulaya

    Jan 11, 2025 02:57

    Tovuti ya habari ya Globe Eye News imeripoti kuwa idadi ya Waislamu barani Ulaya itazidi kuongezeka katika kipindi cha miaka ijayo.

  • Mahakama Kuu ya India yabatilisha hukumu ya kuzifunga Madrasa 17,000 za Waislamu

    Mahakama Kuu ya India yabatilisha hukumu ya kuzifunga Madrasa 17,000 za Waislamu

    Nov 09, 2024 06:35

    Baada ya uhakiki na uchunguzi uliochukua muda wa miezi kadhaa, Mahakama Kuu ya India hatimaye imetoa uamuzi wa kubakishwa Madrasa 17,000 za Waislamu zilizotaka kufungwa katika jimbo kubwa zaidi la nchi hiyo la Uttar Pradesh.

  • Rais Pezeshkian: Umoja utawafanya Waislamu kuwa na nguvu kubwa

    Rais Pezeshkian: Umoja utawafanya Waislamu kuwa na nguvu kubwa

    Nov 01, 2024 02:27

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya umoja baina ya nchi za Kiislamu na kusema: Iwapo tutaweza kufikia umoja katika nyanja za kiuchumi, kisiasa na kijamii, tunaweza kuwa nguvu kubwa katika eneo la Asia Magharibi, na katika hali hii Marekani haiwezi kutuwekea vikwazo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS