Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Wapalestina

  • UNRWA: Zaidi ya wakimbizi laki moja wa Gaza hawajapokea msaada wowote tangu miezi 6 iliyopita

    UNRWA: Zaidi ya wakimbizi laki moja wa Gaza hawajapokea msaada wowote tangu miezi 6 iliyopita

    Sep 11, 2025 11:04

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetangaza kuwa, zaidi ya watu laki moja wanaendelea kutaabika na njaa katika maeneo ya kuwahifadhi wakimbizi ya shirika hilo huko Gaza, na hakuna msaada wa kibinadamu ambao umeruhusiwa kuingia katika eneo hilo kwa zaidi ya miezi 6 sasa.

  • Rekodi za Israel: Asilimia 75 ya Wapalestina waliokamatwa Ukanda wa Gaza ni raia

    Rekodi za Israel: Asilimia 75 ya Wapalestina waliokamatwa Ukanda wa Gaza ni raia

    Sep 05, 2025 02:20

    Takriban asilimia 75 ya Wapalestina waliokamatwa na majeshi ya Israel Ukanda wa Gaza ulio chini ya mzingiro ni raia. Hii ni kwa mujibu wa data za jeshi la Israel.

  • Albanese: Tutakomesha mauaji ya kimbari ya Israel dhidi ya Wapalestina

    Albanese: Tutakomesha mauaji ya kimbari ya Israel dhidi ya Wapalestina

    Aug 10, 2025 08:52

    Francesca Albanese Ripota wa Umoja wa Mataifa amesisitiza dhamira yake na ya watu wengine wenye dhamira kama hiyo juu ya kusitisha mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa huko Gaza na utawala wa Israel. Albanese ameulaani utawala wa Israel na kuutaja kuwa unawafanyia udikteta wananchi wa Palestina.

  • Kwa nini Uhispania imeongeza mashinikizo dhidi ya Israel?

    Kwa nini Uhispania imeongeza mashinikizo dhidi ya Israel?

    May 22, 2025 02:18

    Bunge la Uhispania limepitisha muswada unaoitaka serikali ya nchi hiyo kuacha kuuzia utawala ghasibu wa Israel zana zozote za kijeshi.

  • Malengo makuu ya utawala wa Trump ya kuandaa mpango wa kuwahamishia Libya Wapalestina

    Malengo makuu ya utawala wa Trump ya kuandaa mpango wa kuwahamishia Libya Wapalestina

    May 19, 2025 10:28

    Utawala wa Rais wa Marekani, Donald Trump, unaendeleza mpango wa kuwahamisha kabisa Wapalestina milioni moja kutoka Ukanda wa Gaza na kuwapeleka Libya barani Afrika.

  • Kwa nini utawala wa Kizayuni ni utawala wa mauaji ya kizazi?

    Kwa nini utawala wa Kizayuni ni utawala wa mauaji ya kizazi?

    May 16, 2025 02:16

    Sisitizo la Israel la kuendeleza vita Gaza katika mwezi wake wa ishirini na kuendelea kuwaua kwa umati wakazi wa ukanda huo hususan wanawake na watoto si tu kwamba kumeibua mijadala ya upinzani na kulaaniwa kimataifa kitendo hicho, bali hata nchi za Ulaya zimekuwa zikiukosoa utawala huo ghasibu kwa hatua zake hizo za kikatili.

  • Kubadilika mtazamo wananchi wa Marekani kuhusu Israel, Palestina na Hamas

    Kubadilika mtazamo wananchi wa Marekani kuhusu Israel, Palestina na Hamas

    Apr 24, 2025 03:31

    Wakati vita vya Ghaza vinaendelea na utawala wa Kizayuni umeshadidisha mauaji ya wanawake na watoto wa Palestina, mtazamo na mwelekeo wa wananchi wa Marekani kuhusuu Israel, Palestina na Hamas nao unaendelea kubadilika. Haya yamebainika katika chunguzi mpya za maoni zilizofanywa nchini Marekani.

  • Kuongezeka hatua za Trump dhidi ya vyuo vikuu na wanafunzi wanaowatetea Wapalestina

    Kuongezeka hatua za Trump dhidi ya vyuo vikuu na wanafunzi wanaowatetea Wapalestina

    Mar 30, 2025 07:05

    Katika muhula wake wa pili wa urais, Donald Trump, rais mpya wa Marekani kwa mara nyingine tena ameamua kutumia mtindo alioutumia katika muhula wake wa kwanza wa kuuunga mkono bila mpaka utawala wa Kizayuni wa Israel na kuchukua hatua mpya za kuisaidia na kuihami Israel dhidi ya Wapalestina.

  • Kuendelea kushtakiwa jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina

    Kuendelea kushtakiwa jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina

    Feb 20, 2025 02:34

    Gideon Sa’ar Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa utawala vamizi wa Israel ameshtakiwa kwa kutenda jinai za kivita katika Ukanda wa Gaza.

  • Huduma mpya za Trump kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Huduma mpya za Trump kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Jan 29, 2025 02:35

    Katika siku za mwanzo za muhula wake wa pili wa uongozi, Donald Trump, rais mpya wa Marekani, kwa mara nyingine tena amefuata njia ile ile aliyopitia katika muhula wa kwanza wa uongozi wake. Katika muhula wa kwanza, Trump alitoa uungaji mkono mkubwa na ambao haujashuhudiwa kwa utawala wa Kizayuni na kuchukua hatua mpya sambamba na kuiunga mkono Israel na kuwapinga Wapalestina. Vitendo na misimamo hii imekutana na majibu chanya kutoka Tel Aviv.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS