Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wapinzani

  • S/Kusini: Tumemzuia Riek Machar kwa kuwa anataka kuingiza silaha nchini

    S/Kusini: Tumemzuia Riek Machar kwa kuwa anataka kuingiza silaha nchini

    Apr 20, 2016 07:37

    Serikali ya Sudan Kusini imesema imelazimika kuzuia ndege ya Riek Machar, kiongozi wa upinzani wa nchi hiyo kutua katika uwanja wa ndege wa Juba kutokana na madai kuwa alitaka kungiza silaha nchini humo.

  • Serikali ya Niger yatakiwa kuketi kwenye meza ya mazungumzo na kambi ya upinzani

    Serikali ya Niger yatakiwa kuketi kwenye meza ya mazungumzo na kambi ya upinzani

    Mar 14, 2016 02:32

    Jumuiya ya Wafanyakazi ya Niger imeitaka serikali ya nchi hiyo kufanya mazungumzo na kambi ya upinzani kwa ajili ya kuhitimisha mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.

  • Wapinzani Burundi: AU imeshindwa kutetea demokrasia

    Wapinzani Burundi: AU imeshindwa kutetea demokrasia

    Mar 13, 2016 16:30

    Viongozi wa upinzani nchini Burundi wameukosoa vikali Umoja wa Afrika (AU) kwa kushindwa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa unaoikabili nchi hiyo tangu mwezi Aprili mwaka jana 2015.

  • Bahrain inazidi kuwakandamiza wapinzani

    Bahrain inazidi kuwakandamiza wapinzani

    Mar 13, 2016 07:20

    Shirika moja la kutetea haki za binadamu Bahrain limeutuhumu utawala wa kifalme nchini humo kuwa umezidisha ukandamizaji na utesaji wapinzani wa kisiasa.

  • CUF yakanusha kuwa Maalim Seif yuko kwenye kitengo cha wagonjwa mahututi

    CUF yakanusha kuwa Maalim Seif yuko kwenye kitengo cha wagonjwa mahututi

    Mar 08, 2016 07:35

    Chama cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania kimekanusha taarifa zilizoenezwa kwenye mitandao ya kijamii na kuripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho Maalim Seif Sharif Hamad amelazwa kwenye kitengo cha wagonjwa mahututi katika hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS