Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wapinzani

  • Saudia yarefusha kifungo cha mwanachuoni mashuhuri wa upinzani nchini humo

    Saudia yarefusha kifungo cha mwanachuoni mashuhuri wa upinzani nchini humo

    Feb 18, 2022 03:06

    Mamlaka za Saudi Arabia zimerefusha kifungo cha msomi mashuhuri na mpinzani mkuu wa utawala wa Aal-Saud kwa miaka 8 zaidi, huku ufalme huo ukishadidisha ukandamizaji wa jamii za waliowachache nchini humo.

  • Kushadidi hali ya mgogoro huko Sudan

    Kushadidi hali ya mgogoro huko Sudan

    Oct 31, 2021 02:22

    Mgogoro nchini Sudan umezidi kuwa mkubwa. Wanajeshi wangali wanashikilia madaraka; na Abdel Fattah al Burhan Kamanda Mkuu wa Jeshi la nchi hiyo ametangaza kuwa siku kadhaa zijazo atatangaza majina ya Waziri Mkuu Mpya na wajumbe wa Baraza la Uongozi. Hii ni katika hali ambayo wananchi wa Sudan wanaendelea kumiminika mitaani kupinga kuendelea wanajeshi kuiongoza nchi hiyo.

  • Masharti ya Maduro kwa ajili ya kufanya mazungumzo na wapinzani

    Masharti ya Maduro kwa ajili ya kufanya mazungumzo na wapinzani

    Jul 14, 2021 08:38

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ametangaza kuwa yupo tayari kufanya duru nyingine ya mazungumzo na wapinzani wa serikali iwapo baadhi ya masharti aliyotoa yatatimizwa.

  • Bobi Wine: Jamii ya kimataifa inathamini zaidi biashara kuliko maadili, haki za binadamu

    Bobi Wine: Jamii ya kimataifa inathamini zaidi biashara kuliko maadili, haki za binadamu

    Jun 05, 2021 02:31

    Kiongozi wa upinzani wa Uganda Robert Kyagulanyi Sentamu maarufu kwa jina la Bobi Wine amesema hali ya haki za binadamu nchini Uganda imekuwa mbaya zaidi tangu baada ya uchaguzi wa Januari 14 mwaka huu.

  • Watanzania washiriki kwa wingi katika upigaji kura leo

    Watanzania washiriki kwa wingi katika upigaji kura leo

    Oct 28, 2020 12:27

    Mamilioni ya Watanzania, leo Jumatano, Oktoba 28, 2020 wamejitokeza katika vituo vya kupigia kura kwa ajili ya kuwachagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Zanzibar, wabunge wa Bunge la Muungano, madiwani na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar.

  • Madai ya kupewa sumu Navalny, kisingizio kipya cha Magharibi kwa ajili ya kuishinikiza Russia

    Madai ya kupewa sumu Navalny, kisingizio kipya cha Magharibi kwa ajili ya kuishinikiza Russia

    Sep 04, 2020 07:22

    Umoja wa Ulaya na Marekani zimekuwa zikiishinikiza Russia kupitia njia ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo kwa kuwaunga mkono wapinzani wa serikali ya Moscow na kutumia madai ya kutetea haki za binadamu.

  • Lissu awasili Tanzania, apokewa na wafuasi na viongozi wa Chadema

    Lissu awasili Tanzania, apokewa na wafuasi na viongozi wa Chadema

    Jul 27, 2020 13:05

    Mwanasheria na mwanasiasa mashuhuri wa kambi ya upinzani nchini Tanzania Tundu Antipas Lissu amewasili nchini humo baada ya kuwa nje ya nchi kwa matibabu kwa zaidi ya miaka miwili, baada ya kunusurika kifo kwa shambulio la risasi akiwa Dodoma.

  • Rais Nyusi wa Msumbiji aapishwa, upinzani wasusia

    Rais Nyusi wa Msumbiji aapishwa, upinzani wasusia

    Jan 16, 2020 02:32

    Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji alikula kiapo cha kulitumikia taifa jana Jumatano katika hafla iliyosusiwa na viongozi mashuhuri wa upinzani nchini humo, wanaosisitiza kuwa kuliwepo na udanganyifu katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka uliomalizika wa 2019.

  • Ikhwani yaitaka UN kuokoa maisha ya kiongozi wake aliyoko katika jela ya Misri

    Ikhwani yaitaka UN kuokoa maisha ya kiongozi wake aliyoko katika jela ya Misri

    Oct 31, 2019 12:16

    Harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri imeutaka Umoja wa Mataifa na taasisi zote za kisheria na za kutetea haki za binadamu za kikanda na kimataifa kuokoa maisha ya kiongozi wake, Dakta Mohammed Badie anayeshikiliwa katika jela ya Misri tangu mwaka 2013.

  • Upinzani Msumbiji wakataa kukubali matokeo ya uchaguzi

    Upinzani Msumbiji wakataa kukubali matokeo ya uchaguzi

    Oct 20, 2019 07:27

    Chama kikuu cha upinzani cha Renamo nchini Msumbiji kimepinga matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika Jumanne iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS