-
Sisitizo la Ujerumani juu ya udharura wa kuwa huru Ulaya katika masuala ya kimataifa
May 28, 2020 09:22Umoja wa Ulaya umekumbwa na changamoto nyingi tofauti hususan wakati huu wa mgogoro wa maambukizi ya corona. Hivi sasa bara la Ulaya limekumbwa na mgogoro ambao haujawahi kutokea barani humo. Si hayo tu, lakini mivutano iliyodhihiri zaidi ndani ya Umoja wa Ulaya wakati huu wa corona, ni msiba mwingine uliolikumba bara hilo na kuzidi kuonesha udhaifu wake katika nyuga tofauti hasa za kiafya na kiuchumi na utegemezi wa nchi hizo kwa mataifa mengine kama China.
-
Ziara ya Pompeo katika ardhi za Palestina na malengo yake kadhaa
May 14, 2020 03:50Uhusiano wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel umepanuka sana kwa namna ambayo haijawahi kutokea katika wakati huu wa urais wa Donald Trump huko Marekani ambaye amechukua hatua nyingi za kutekeleza kivitendo matakwa haramu ya 'Israel.'
-
Madai ya kipuuzi ya Mike Pompeo kuhusu mafanikio Marekani baada ya kujitoa katika mapatano ya JCPOA
May 11, 2020 07:01Baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kuyakosoa vikali mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA, Mei 8 mwaka 2018 alichukua uamuzi wa upande mmoja wa kuiondoa nchi yake katika makubaliano hayo.
-
Mpango wa Pompeo wa kuzuia kufutwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran
Apr 28, 2020 07:13Kwa mujibu wa mapatano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina maarufu la JCPOA na azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, imepangwa kuwa, ifikapo tarehe 18 Oktoba 2020, vikwazo vya silaha dhidi ya Iran viondolewe.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon: Tupo vitani na utawala haramu wa Israel
Apr 21, 2020 02:57Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon sambamba na kuashiria kuendelea uvamizi wa utawala haramu wa Kizayuni, amesema kuwa, nchi hiyo iko katika vita na utawala huo.
-
Tahadhari ya Russia kuhusiana na kuutumia kisiasa mgogoro wa corona
Apr 17, 2020 04:23Katika kipindi hiki cha mgogoro wa mlipuko wa virusi vya corona, Marekani ambayo ni kinara wa nchi za Magharibi imeendeleza siasa zake zisizo za kibinadamu dhidi ya nchi hasimu na wapinzani wake, hususn katika kuzidisha vikwazo vya kiuchumi na kuzizuia kupata misaada ya kimataifa. Suala hili limekosolewa sana na madola mengine makubwa duniani.
-
Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran; muendelezo wa sera ya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa
Mar 19, 2020 07:57Serikali ya Trump imeamua kutekeleza sera ya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran; na ili kufanikisha lengo hilo baada ya kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA mnamo mwezi Mei 2018, ilianza kuiwekea Jamhuri ya Kiislamu vikwazo vikali zaidi kuwahi kushuhudiwa. Lakini licha ya kushindwa kufikia lengo ililokusudia, Washington ingali inang'ang'ania kuongeza vikwazo dhidi ya Tehran.
-
Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa UK nchini Saudia, juhudi za kuisakamua Riyadh kutoka kwenye kinamasi cha Yemen
Mar 07, 2020 06:00Serikali ya kihafidhina ya Uingereza ni miongoni wa waitifaki wakuu wa utawala wa kiimla wa Saudi Arabia na ina uhusiano wa kindakindaki wa kiuchumi na kisilaha na utawala huo wa kidikteta. Kama hilo halitoshi, Uingereza pia ina mchango mkubwa katika uvamizi wa nchi maskini ya Yemen unaoongozwa na Saudia.
-
Hatua ya kisiasa ya FATF ya kuiweka Iran katika orodha nyeusi
Feb 22, 2020 11:31Nchi za Magharibi huku zikiongozwa na Marekani kwa muda sasa zimekuwa zikizingatia na kutilia maanani utekelezaji wa siasa za mashinikizo ya pande zote kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lengo likiwa ni kujaribu kubadilisha misingi na siasa za nchi hii.
-
Msimamo wa Ulaya kuhusu JCPOA, sera ya mielekeo kinzani yenye hatima moja
Jan 23, 2020 12:00Hatua ya hivi karibuni ya troika ya Ulaya inayozijumuisha nchi za Ujerumani, Ufaransa na Uingereza ya kuanza kutekeleza utaratibu wa kutatua tofauti ndani ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA, ambayo imeanzishwa kwa mashinikizo ya Marekani, imekabiliwa na radiamali kali ya Iran.