Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zarif

  • Zarif: Shahidi Soleimani alikuwa dhihirisho la msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu

    Zarif: Shahidi Soleimani alikuwa dhihirisho la msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu

    Feb 12, 2020 03:01

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa kuuliwa kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani kamanda shahidi wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) kutazidisha azma na irada ya mhimili wa muqawama.

  • Kufuatiliwa kisheria hatua za kigaidi za Donald Trump dhidi ya Iran

    Kufuatiliwa kisheria hatua za kigaidi za Donald Trump dhidi ya Iran

    Feb 08, 2020 03:00

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran hivi sasa iko katika mchakato wa kufuatilia kisheria katika taasisi za kimataifa; hatua tatu za kigaidi zilizochukuliwa na Marekani dhidi ya Iran.

  • Dakta Zarif: Hatua ya madola ya Ulaya ya kuitii kibubusa Marekani ni maafa

    Dakta Zarif: Hatua ya madola ya Ulaya ya kuitii kibubusa Marekani ni maafa

    Jan 26, 2020 02:54

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hatua ya madola ya Ulaya ya kuitii kibubusa Marekani ni maafa na kueleza kwamba, madola ya ulaya hayana ubavu wa kumpinga Rais Donald Trump wa Marekani.

  • Zarif aziasa nchi za Ulaya kusimama kidete mkabala wa vitisho vya Trump

    Zarif aziasa nchi za Ulaya kusimama kidete mkabala wa vitisho vya Trump

    Jan 22, 2020 13:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema hatua ya Marekani ya kutoa vitisho vipya vya kuziwekea nchi za Ulaya ushuru mpya wa kibishara inadhihirisha kuwa, kutumbukia nchi za EU kwenye mtego wa Rais Donald Trump kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kumekuwa na maslahi zaidi kwa kiongozi huyo wa Marekani na sio kwa nchi hizo za Ulaya.

  • "Trump, Pompeo na Daesh pekee ndio wanaosherehekea kuuliwa Soleimani"

    Jan 16, 2020 02:31

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS), Rais Donald Trump wa Marekani na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, Mike Pompeo ndio pekee wanaosherehekea na kufurahia kuuliwa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, aliyekuwa Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC).

  • Marekani yamnyima Zarif viza ya kushiriki mkutano wa UN

    Marekani yamnyima Zarif viza ya kushiriki mkutano wa UN

    Jan 07, 2020 08:10

    Marekani imekataa kumpa viza ya usafiri Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Mohammad Javad Zarif kwa ajili ya kushiriki mkutano wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa unaotazamiwa kufanyika Januari 9 mjini New York.

  • Rouhani: Marekani italipa gharama kubwa ya kumuua shahidi Soleimani

    Rouhani: Marekani italipa gharama kubwa ya kumuua shahidi Soleimani

    Jan 05, 2020 07:50

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani itabeba dhima ya matokeo mabaya na radimali za kuuliwa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, aliyekuwa kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi la Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (SEPAH) na kusisitiza kuwa, Washington italipa gharama kubwa ya ugaidi wake huo.

  • Dakta Zarif akutana na Naibu Sultani wa Oman na msemaji wa Ansarullah Muscat

    Dakta Zarif akutana na Naibu Sultani wa Oman na msemaji wa Ansarullah Muscat

    Dec 25, 2019 02:55

    Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Mohammad Abdul Salam, msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen nchini Oman.

  • Marekani yamuachilia huru mwanasayansi Muirani baada ya kumshikilia kinyume cha sheria

    Marekani yamuachilia huru mwanasayansi Muirani baada ya kumshikilia kinyume cha sheria

    Dec 07, 2019 12:28

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Marekani imemuachilia huru mwanasayansi Muirani Profesa Masoud Suleimani baada ya kumshikilia kwa zaidi ya mwaka mmoja kinyuma cha sheria.

  • Zarif azikosoa nchi za Magharibi kwa kunyazia kimya maghala ya silaha za nyuklia ya Israel

    Zarif azikosoa nchi za Magharibi kwa kunyazia kimya maghala ya silaha za nyuklia ya Israel

    Dec 07, 2019 04:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekemea majaribio ya kombora linaloweza kubeba kichwa cha nyuklia yaliyofanywa na utawala haramu wa Israel na amezikosoa vikali Marekani na nchi za Ulaya kutokana na kunyamaza kimya mbele ya maghala ya silaha za nyuklia za utawala huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS