Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zarif

  • Zarif: Wairani hawatasalimu amri mbele dhulma za Marekani

    Zarif: Wairani hawatasalimu amri mbele dhulma za Marekani

    Nov 02, 2019 06:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amezungumzia vikwazo vipya vya Marekkani dhidi ya Iran na kusema kuwa, hata kama Marekani itawawekea vikwazo wanaume, wanawake na watoto wote wa Iran kamwe Wairani hawatasalimu amri na kupiga magoti mbele ya serikali ya Washington.

  • Zarif: Ugaidi wa kiuchumi wa Marekani umeshindwa kuzima ndoto za vijana wa Iran

    Zarif: Ugaidi wa kiuchumi wa Marekani umeshindwa kuzima ndoto za vijana wa Iran

    Oct 22, 2019 08:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema mashinikizo, vikwazo na ugaidi wa kiuchumi wa Marekani umeshindwa kuzima ndoto na mafanikio ya vijana wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Waziri wa mambo ya nje wa Iran azungumza na wenzake wa Russia, Iraq na Syria

    Waziri wa mambo ya nje wa Iran azungumza na wenzake wa Russia, Iraq na Syria

    Oct 18, 2019 07:28

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amefanya mazungumzo ya simu na mawaziri wenzake wa mambo ya nje wa Iraq, Russia na Syria ambapo wamejadili kuhusu matukio ya hivi karibuni katika eneo hasa hali ya mambo kaskazini mwa Syria.

  • Zarif ataka kusitishwa uvamizi wa kijeshi dhidi ya Syria

    Zarif ataka kusitishwa uvamizi wa kijeshi dhidi ya Syria

    Oct 16, 2019 07:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito wa kusitishwa uvamizi na mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Syria.

  • Zarif aikosoa Ulaya kwa kufuata mdundo wa ngoma ya Trump

    Zarif aikosoa Ulaya kwa kufuata mdundo wa ngoma ya Trump

    Sep 30, 2019 07:37

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali nchi za Ulaya hususan Ujerumani, Ufaransa na Uingereza ambazo zilisaini makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, kwa kushangilia madai na kauli zisizo na msingi zinazotolewa na Marekani dhidi ya Iran.

  • Zarif: Iwapo Marekani inataka mazungumzo na Iran lazima itekeleze ahadi zake

    Zarif: Iwapo Marekani inataka mazungumzo na Iran lazima itekeleze ahadi zake

    Sep 29, 2019 07:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Iran haitaacha mustakabali wa uchumi na wananchi wake utegemee mkutano wa kimaonyesho na Rais Donald Trump wa Marekani. Ameongeza kuwa, kama ambavyo Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu alivyosema, 'iwapo Mareknai inataka kufanya mazungumzo na Iran, ni lazima kwanza itekeleze ahadi zake na isitishe vikwazo.'

  • Zarif: Wayemen wamelenga kiwanda cha kusafirisha mafuta Saudia na si hospitali wala shule

    Zarif: Wayemen wamelenga kiwanda cha kusafirisha mafuta Saudia na si hospitali wala shule

    Sep 23, 2019 03:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa msimamo wa Marekani kuhusiana na mashambulizi yaliyofanywa na wapiganaji wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen dhidi ya taasisi za mafuta za Saudi Arabia na kusisitiza kuwa, Wayemeni wamefanya mashambulizi hayo ya ndege zisizo na rubani kulipiza kisasi cha mashambulizi ya zaidi ya miaka mine sasa ya Riyadh ambayo yameua mauaji ya mamia ya maelfu ya raia wasio na hatia.

  • Dakta Zarif: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran vinafunga milango yote ya mazungumzo

    Dakta Zarif: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran vinafunga milango yote ya mazungumzo

    Sep 22, 2019 12:55

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye ameelekea New York Marekani kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa amekosoa vikali hatua mpya ya Marekani dhidi ya Iran.

  • Vikwazo dhidi ya Iran; radiamali ya Marekani juu ya kudhalilishwa Saudia katika shambulio la Aramco

    Vikwazo dhidi ya Iran; radiamali ya Marekani juu ya kudhalilishwa Saudia katika shambulio la Aramco

    Sep 20, 2019 08:04

    Baada ya kiwanda cha kusafisha mafuta cha Saudi Arabia Aramco, kushambuliwa kwa ndege zisizokuwa na rubani na jeshi la Yemen, kwa mara nyingine tuhuma za Marekani zimekuwa zikielekezwa kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Zarif asisitiza juu ya kushindwa siasa za Marekani

    Zarif asisitiza juu ya kushindwa siasa za Marekani

    Sep 16, 2019 02:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa mgogoro wa Yemen utamalizika iwapo njia za ufumbuzi zilizopendekezwa na Iran zitakubaliwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS