Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zarif

  • Zarif: Wakala  wa IAEA ufanye kazi kitaalamu bila ya upendeleo

    Zarif: Wakala wa IAEA ufanye kazi kitaalamu bila ya upendeleo

    Sep 09, 2019 00:32

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) unapaswa kutekeleza majukumu yake kitaalamu, kwa usiri na bila ya kupendelea upande wowote.

  • Zarif: Siku nne nyingine; muda wa kutangaza hatua ya tatu ya Iran ndani ya JCPOA

    Zarif: Siku nne nyingine; muda wa kutangaza hatua ya tatu ya Iran ndani ya JCPOA

    Sep 02, 2019 04:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa utekelezaji wa hatua ya tatu ya kupunguza ahadi na majukumu ya Iran kuhusiana na makubaliano ya JCPOA uko katika marhala ya mwisho ya uchukuaji maamuzi.

  • Zarif: Iran itatetea na kulinda maslahi yake

    Zarif: Iran itatetea na kulinda maslahi yake

    Aug 27, 2019 07:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitaki kuingia vitani lakini italinda na kutetea maslahi yake.

  • Zarif akiwa Beijing; ramani ya njia ya miaka 25 ya kutekeleza ushirika wa kistratijia baina ya Iran na China

    Zarif akiwa Beijing; ramani ya njia ya miaka 25 ya kutekeleza ushirika wa kistratijia baina ya Iran na China

    Aug 27, 2019 07:22

    Mohammad Javad Zarif, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, akiwa anaongoza ujumbe wa ngazi za juu, Jumapili alitembelea China.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na Rais wa Ufaransa

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na Rais wa Ufaransa

    Aug 24, 2019 02:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Ijumaa amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Ufaransa mjini Paris.

  • Zarif ahimiza kusainiwe mapatano ya kutoshambuliana, Ghuba ya Uajemi

    Zarif ahimiza kusainiwe mapatano ya kutoshambuliana, Ghuba ya Uajemi

    Aug 18, 2019 12:41

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza tena udharura wa kuwepo mazungumzo baina ya nchi za kanda ya Ghuba ya Uajemi kuhusu mkataba wa kutoshambuliana.

  • Zarif: Meli ya mafuta ya Iran ilikuwa imezuiwa kinyume cha sheria

    Zarif: Meli ya mafuta ya Iran ilikuwa imezuiwa kinyume cha sheria

    Aug 16, 2019 03:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekanusha madai ya serikali ya Uingereza kuwa meli ya mafuta ya Iran ya Grace 1 ilikuwa imekiuka sheria za Umoja wa Ulaya kuhusu vikwazo.

  • Uungaji mkono wa Shekhe wa Muqawama kwa diplomasia ya Zarif

    Uungaji mkono wa Shekhe wa Muqawama kwa diplomasia ya Zarif

    Aug 15, 2019 07:56

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amemtumia ujumbe Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ambapo sambamba na kulaani hatua ya Marekani ya kumwekea vikwazo Mohammad Javad Zarif amesisitizia mshikamano wa muqawama kwa mwanadiplomasia huyo.

  • Marekani yaendeleza uraibu wa vikwazo, yamuwekea vikwazo Zarif

    Marekani yaendeleza uraibu wa vikwazo, yamuwekea vikwazo Zarif

    Aug 01, 2019 07:58

    Wizara ya Fedha ya Marekani imeendeleza uraibu wa nchi hiyo wa kuziwekea vikwazo nchi mbalimbali kwa kuliweka jina la Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika orodha ya watu waliowekewa vikwazo na nchi hiyo.

  • Iran na Senegal zasisitiza kustawisha uhusiano baina yao

    Iran na Senegal zasisitiza kustawisha uhusiano baina yao

    Jul 26, 2019 03:01

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Rais wa Senegal wamesisitiza kustawishwa uhusiano wa pande mbili katika nyanja zote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS