Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zarif

  • Zarif: Kusimamishwa meli ya mafuta ya Iran ni uharamia na kumefanyika kwa amri ya Marekani

    Zarif: Kusimamishwa meli ya mafuta ya Iran ni uharamia na kumefanyika kwa amri ya Marekani

    Jul 24, 2019 03:53

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, kitendo cha kusimamisha na kukamatwa meli kubwa ya mafuta ya Iran katika maji ya karibu na eneo la Jabal Tariq ni uharamia na wizi wa baharini na kimefanyika kwa amri ya Marekani.

  • Zarif: Marekani haitafika popote kwa kupenda makuu

    Zarif: Marekani haitafika popote kwa kupenda makuu

    Jul 20, 2019 07:35

    Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Marekani haitafika popote kwa kupenda makuu na pia kutokana na tabia yake ya kuendelea kuiwekea mashinikizo Tehran.

  • Ugaidi wa kiuchumi wa Marekani; Iran haitasalimu amri

    Ugaidi wa kiuchumi wa Marekani; Iran haitasalimu amri

    Jul 18, 2019 07:31

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, sera za vikwazo za serikali ya Marekani dhidi ya wananchi wa Iran ni ugaidi; na akasisitiza kwamba: Iran haitafanya mazungumzo na magaidi.

  • Dakta Javad Zarif: Iran haitafanya mazungumzo na magaidi

    Dakta Javad Zarif: Iran haitafanya mazungumzo na magaidi

    Jul 18, 2019 07:18

    Dakta Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, sera za Marekani za kuliwekea vikwazo taifa la Iran ni ugaidi na kwamba, Iran haitafanya mazungumzo na magaidi.

  • UN yakosoa vizingiti vya utawala wa Trump dhidi ya Zarif

    UN yakosoa vizingiti vya utawala wa Trump dhidi ya Zarif

    Jul 16, 2019 07:49

    Umoja wa Mataifa umekosoa vikali hatua ya utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani ya kumwekea vizingiti Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Javad Zarif.

  • Iran: Ni haki yetu kuchukua hatua za kukabiliana na ugaidi wa kiuchumi wa Marekani

    Iran: Ni haki yetu kuchukua hatua za kukabiliana na ugaidi wa kiuchumi wa Marekani

    Jul 08, 2019 02:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ni haki ya Tehran kuchukua hatua za kisheria ndani ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA katika kukabiliana na ugaidi wa kiuchumi wa Marekani dhidi yake.

  • Hatua mpya ya Iran katika kujibu ukiukaji ahadi wa madola ya Ulaya; Iran yavuka kiwango cha kilo 300 za urani iliyorutubishwa

    Hatua mpya ya Iran katika kujibu ukiukaji ahadi wa madola ya Ulaya; Iran yavuka kiwango cha kilo 300 za urani iliyorutubishwa

    Jul 03, 2019 02:34

    Kwa mujibu wa kifungu nambari 36 cha makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA, Iran imevuka kiwango cha kilo 300 za urani iliyorutubishwa.

  • Zarif amjibu Trump, asema 'vita vifupi na Iran' ni njozi

    Zarif amjibu Trump, asema 'vita vifupi na Iran' ni njozi

    Jun 27, 2019 14:41

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyataja kama njozi na ndoto za alinacha matamshi ya Rais Donald Trump ambaye amedai kuwa iwapo Marekani itaingia katika vita na Iran, basi vita hivyo havitadumu kwa muda mrefu.

  • Zarif: Timu B ilijaribu kumtia mtegoni Trump aingie katika vita na Iran

    Zarif: Timu B ilijaribu kumtia mtegoni Trump aingie katika vita na Iran

    Jun 24, 2019 03:31

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema tukio la hivi karibuni la drone ya Marekani kukiuka anga ya Iran katika Bahari ya Oman ilikuwa sehemu ya njama pana za wapenda vita (Timu B) kumtia mtegoni Rais Donald Trump wa Marekani ili aingie katika vita na Iran.

  • "Iran haihitajii Marekani wala haitaki kuwa na uhusiano nayo"

    Jun 10, 2019 03:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haihitajii Marekani wala haina haja ya kuwa na uhusiano na Washington.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS