Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zarif

  • Zarif: Mazungumzo na Marekani yana maana ya kuendelea mkondo wa kuishinikiza Iran

    Zarif: Mazungumzo na Marekani yana maana ya kuendelea mkondo wa kuishinikiza Iran

    Jun 03, 2019 03:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema uwezekano wa mazungumzo baina ya Iran na Marekani ni mdogo sana.

  • Zarif akimhutubu Trump; Kiongozi Muadhamu ameshatangaza silaha za nyuklia ni haramu

    Zarif akimhutubu Trump; Kiongozi Muadhamu ameshatangaza silaha za nyuklia ni haramu

    May 28, 2019 03:31

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatatu usiku amejibu madai ya Rais Donald Trump wa Marekani kuwa eti Iran inafuatilia silaha za nyuklia na kusema, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameshatangaza kuwa silaha za nyuklia ni haramu.

  • Zarif: Vikwazo vya Marekani vimevuruga mfumo wa dunia

    Zarif: Vikwazo vya Marekani vimevuruga mfumo wa dunia

    May 24, 2019 07:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vikwazo vya Marekani vinalenga kuvuruga mfumo na nidhamu ya kimataifa.

  • Zarif: Vita vya kiuchumi vya Marekani dhidi ya wananchi wa Iran havina tofauti na ugaidi

    Zarif: Vita vya kiuchumi vya Marekani dhidi ya wananchi wa Iran havina tofauti na ugaidi

    May 23, 2019 11:27

    Akizungumza na chombo kimoja cha habari cha Marekani, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa vita vya kiuchumi vya Marekani dhidi ya taifa la Iran havina tofauti yoyote na ugaidi.

  • Udharura wa ulimwengu uliostaarabika kusimama mbele ya Marekani

    Udharura wa ulimwengu uliostaarabika kusimama mbele ya Marekani

    May 18, 2019 03:21

    Akiwa katika safari ya kuitembelea Japan, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumza na viongozi wa nchi hiyo kuhusu mapatano ya nyuklia mashuhuri kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA, na vile vile siasa haribifu za Marekani katika eneo la Asia Magharibi.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na Waziri Mkuu wa Japan mjini Tokyo

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na Waziri Mkuu wa Japan mjini Tokyo

    May 16, 2019 09:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo amekutana na Waziri Mkuu wa Japan Shinzo Abe mjini Tokyo ambapo wamejadili uhusiano wa nchi mbili, masuala muhimu ya kieneo na kimataifa na hasa kuhusu mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji, JCPOA.

  • Siasa za upande mmoja za Trump; hatari kubwa kwa 'udiplomasia wa amani'

    Siasa za upande mmoja za Trump; hatari kubwa kwa 'udiplomasia wa amani'

    Apr 26, 2019 07:52

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu amesema kwamba ili kulinda siasa za pande kadhaa, dunia inapasa kufanya juhudi za kuizuia Marekani kufikia maslahi yake inayoyafuatilia kwa njia zisizo za kisheria.

  • Zarif: Wasiwasi na kukata tamaa, sababu za Marekani kushadidisha vikwazo dhidi ya Iran

    Zarif: Wasiwasi na kukata tamaa, sababu za Marekani kushadidisha vikwazo dhidi ya Iran

    Apr 24, 2019 04:07

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uamuzi wa Marekani wa kushadidisha ugaidi wa kiuchumi dhidi ya taifa hili umetokana na wasiwasi na kukata tamaa utawala huo wa kibeberu.

  • Iran yalaani hujuma za kigaidi nchini Sri Lanka

    Iran yalaani hujuma za kigaidi nchini Sri Lanka

    Apr 22, 2019 01:35

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amelaani vikali hujuma za kigaidi nchini Sri Lanka siku ya Jumapili na kusema serikali na watu wa Iran wanafungamna na familia za waathirika wa hujuma hizo.

  • Zarif: Wazayuni na waungaji mkono wao wana woga mkubwa na urafiki wa mataifa ya Kiislamu

    Zarif: Wazayuni na waungaji mkono wao wana woga mkubwa na urafiki wa mataifa ya Kiislamu

    Apr 20, 2019 08:02

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali shambulio la kigaidi la siku ya Alkhamisi nchini Pakistan na kusisitiza kuwa, magaidi wana hofu kubwa na suala la kuweko ukuruba baina ya nchi za Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS