Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Venezuela imewezaje kuwa kinara wa ukuaji wa uchumi katika Amerika ya Latini?

    Venezuela imewezaje kuwa kinara wa ukuaji wa uchumi katika Amerika ya Latini?

    Dec 22, 2025 02:48

    Venezuela, baada ya kuvuka kikwazo cha vikwazo vya kiuchumi, imejinyakulia kiwango cha juu zaidi cha ukuaji wa uchumi katika Amerika ya Kusini mwaka 2025.

  • Kwa nini Uturuki haiko tayari kubadilisha misimamo yake kuhusu Gaza?

    Kwa nini Uturuki haiko tayari kubadilisha misimamo yake kuhusu Gaza?

    Dec 18, 2025 13:32

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki ametangaza kwamba nchi yake haitarudi nyuma na wala  haitaachana na  misimamo yake kuhusu Gaza.

  • Rais Pezeshkian atoa mwito wa umoja wa Waislamu duniani

    Rais Pezeshkian atoa mwito wa umoja wa Waislamu duniani

    Dec 18, 2025 10:27

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema Muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu, Imam Rouhullah Khomeini (MA) alikuwa mjumbe wa umoja na mshikamano miongoni mwa watu, akisisitiza kwamba mataifa ya Waislamu yanapaswa yaungane ili maadui wasiweze kuibua mifarakano miongoni mwao.

  • Kwa nini kutoshiriki Marekani katika kikao cha G20 nchini Afrika Kusini ni hasara kubwa kwa Washington?

    Kwa nini kutoshiriki Marekani katika kikao cha G20 nchini Afrika Kusini ni hasara kubwa kwa Washington?

    Nov 14, 2025 08:09

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesisitiza kuwa kutohudhuria Wamarekani katika kikao cha G20 ni hasara kubwa kwao.

  • Rais wa Colombia aendeleza kampeni ya kumkosoa Rais Trump wa Marekani

    Rais wa Colombia aendeleza kampeni ya kumkosoa Rais Trump wa Marekani

    Oct 02, 2025 10:17

    Katika siku za hivi karibuni, Rais Gustavo Petro wa Colombia, ameendeleza ukosoaji mkali dhidi ya Rais Donald Trump wa Marekani na sera za utawala wake.

  • Pezeshkian: Si katika hulka na dhati ya Iran kusalimu amri

    Pezeshkian: Si katika hulka na dhati ya Iran kusalimu amri

    Oct 01, 2025 02:48

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian ameashiria azma na irada thabiti ya Jamhuri ya Kiislamu mkabala wa mashinikizo ya maajinabi na kutangaza kwamba, taifa hili kamwe halitakubali kuburuzwa na kushinikizwa.

  • Kwa nini Trump anaishupalia jamii ya kimataifa iamini uwongo wake kuhusu Iran?

    Kwa nini Trump anaishupalia jamii ya kimataifa iamini uwongo wake kuhusu Iran?

    Sep 27, 2025 11:10

    Rais wa Marekani kwa mara nyingine tena amekariri katika houba aliyoitoa katika Mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa madai yake ya uwongo na yasiyo na msingi dhidi ya Iran.

  • Sababu zilizoifanya Colombia itoe wito wa aina yake wa kuundwa jeshi la kimataifa la kuikomboa Palestina

    Sababu zilizoifanya Colombia itoe wito wa aina yake wa kuundwa jeshi la kimataifa la kuikomboa Palestina

    Sep 26, 2025 02:26

    Colombia imetoa wito wa kuundwa jeshi la kimataifa la kukabiliana na utawala wa kizayuni wa Israel.

  • Kwa nini Putin anataka kukomeshwa vigezo vya undumakuwili na vitisho dhidi ya tamaduni duniani?

    Kwa nini Putin anataka kukomeshwa vigezo vya undumakuwili na vitisho dhidi ya tamaduni duniani?

    Sep 14, 2025 02:41

    Putin ametaka kukomeshwa vigezo vya undumakuwili na vitisho dhidi ya tamaduni duniani.

  • Rais Pezeshkian asisitizia haja ya kuimarisha uhusiano wa Iran na Madagascar

    Rais Pezeshkian asisitizia haja ya kuimarisha uhusiano wa Iran na Madagascar

    Aug 29, 2025 03:16

    Rais Masoud Pezeshkian amewataka mabalozi wapya walioteuliwa hivi karibuni kuiwakilisha Jamhuri ya Kiislamu katika nchi za Madagascar na Croatia kuimarisha uhusiano wa pande mbili baina ya Iran na nchi hizi mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS