-
Maridhiano ya kisiasa Zanzibar yaja na matumaini mapya
Jul 11, 2026 02:35Maridhiano mapya ya kisiasa kati ya vyama vikuu vya Zanzibar, Chama Cha Mapinduzi (CCM) na ACT-Wazalendo, yalifikiwa rasmi jana baada ya viongozi wa pande hizo mbili kusaini tamko la pamoja.
-
Wapinzani Zimbabwe waapa kupinga azma ya kurekebisha katiba
Jul 10, 2026 08:07Viongozi wa upinzani nchini Zimbabwe wameapa kupinga ndani na nje ya nchi marekebisho ya katiba yanayomruhusu Rais Emmerson Mnangagwa kuongeza muda wa utawala kwa miaka miwili na kufuta uchaguzi wa moja kwa moja wa rais.
-
Nigeria na Afrika Kusini zavutana kwa kifo cha raia katika seli za polisi
Jul 09, 2026 11:36Polisi ya Afrika Kusini imethibitisha kuwa kifo cha raia wa Nigeria akiwa korokoroni hakikutokana na maandamano dhidi ya wahamiaji wa kigeni nchini humo yaliyofanyika wiki iliyopita.
-
Kambi ya kijeshi inayofadhiliwa na UAE yaanza kuonekana katika eneo la Berbera huko Somaliland
Jul 09, 2026 03:22Picha za satalaiti zilizochambuliwa na Le Monde zinaonyesha kuwa kambi ya kijeshi inayofadhiliwa na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) inajengwa huko Berbera, Somaliland, karibu na Lango-Bahari la Bab al-Mandeb.
-
Human Rights Watch yatahadharisha kuhusu kukandamizwa wapinzani Tunisia
Jul 09, 2026 03:04Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limelaani kile ilichokitaja kuwa ni ukandamizaji unaofanywa na mamlaka husika nchini Tunisia kwa wapinzani wa kisiasa na wanaharakati wa haki za binadamu.
-
Shambulio la droni la RSF lauwa raia 10 waliokuwa wakielekea harusini katikati mwa Sudan
Jul 08, 2026 12:20Mtandao wa Madaktari wa Sudan leo umeripoti kuwa shambulio la ndege zisizo na rubani lililofanywa na wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) limeua raia 10, wakiwemo wanawake watano kutoka familia moja, katikati mwa Sudan walipokuwa wakieleke harusini.
-
Rais wa Zimbabwe asaini sheria ya kuongeza muda wa kubaki madarakani kwa miaka 2 zaidi
Jul 08, 2026 12:15Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ametia saini marekebisho ya katiba yanayoongeza muda wake wa kusalia madarakani hadi mwaka 2030.
-
Uganda kuwa mwenyeji wa Makao Makuu ya Kamisheni ya Kiswahili ya Umoja wa Afrika
Jul 08, 2026 04:47Kamisheni ya Kiswahili ya Muungano wa Afrika, (AU) kwa kifupi ACALAN-Kiswahili itajenga makao yake makuu nchini Uganda katika jitihada za kuhakikisha kuwa lugha hiyo inaimarika barani Afrika.
-
Mwenyekiti wa AU: Umoja wa Afrika wathamini uungaji Mkono wa Russia
Jul 08, 2026 04:44Umoja wa Afrika (AU) unathamini kwa dhati uungaji mkono wa Russia katika kushughulikia masuala muhimu ya bara la Afrika ndani ya baraza la Umoja wa Mataifa, na unakaribisha msimamo wa Moscow katika kuimarisha ufadhili wa vikosi vya kulinda amani barani Afrika.
-
Umoja wa Mataifa wataka uchunguzi wa haraka al-Obeid nchini Sudan
Jul 07, 2026 08:47Baraza la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa limeamuru uchunguzi wa haraka ufanyike kuhusu unyanyasaji unaoendelea katika mji wa al-Obeid nchini Sudan.