-
Umoja wa Afrika watoa wito wa kusitishwa vita nchini DRC
Feb 10, 2026 10:31Rais wa Angola na wawakilishi kadhaa wa Umoja wa Afrika wametoa wito wa kusitishwa mapigano nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya mkutano na Rais Felix Tshisekedi.
-
Kusimama kidete Somalia dhidi ya mpango hatari wa Wazayuni huko Somaliland
Feb 10, 2026 09:25Somalia imeuonya utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kuwahamisha kwa lazima wa Wapalestina na kuwapeleka Somaliland ambalo limejitangazia uhuru.
-
Türk: Janga la haki za binadamu Sudan linaweza kuzuilika
Feb 10, 2026 03:46Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu, Volker Türk, ameliambia Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kwamba machafuko ya El Fasher, Sudan, ni “janga kubwa la haki za binadamu linaloweza kuzuilika,” kufuatia miezi ya kuzingirwa na njaa iliyochochewa na kundi la waasi la RSF.
-
Zambia yaripoti visa 20 vipya vya kipindupindu ndani ya saa 24
Feb 09, 2026 22:56Zambia imeripoti visa 20 vipya vya kipindupindu katika kipindi cha saa 24 zilizopita hadi Jumatatu, huku mji mkuu Lusaka ukichangia visa 11 kati ya hivyo.
-
Somalia: Israel kuitambua 'Somaliland' ni ukiukaji wa sheria za kimataifa
Feb 09, 2026 22:56Serikali ya Somalia imeendelea kukosoa vikali uamuzi wa utawala haramu wa Israel wa kutambua kama nchi eneo la Somalia lililojitenga na kujiita Somaliland, ikisema kuwa hatua hiyo ni ukiukaji wa sheria na misingi ya kimataifa, huku ikibainisha kuwa Tel Aviv ina historia ya kukiuka kanuni hizo kwa miaka mingi.
-
Watu 21 wauawa katika hujuma ya waasi wa ADF nchini DRC
Feb 09, 2026 22:55Takriban watu 21 wameuawa katika shambulio la hivi karibuni linalohusishwa na waasi wa Allied Democratic Forces (ADF) mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), afisa mmoja amesema Jumatatu.
-
Uvamizi wa damu: Jinai za nyuma ya pazia za Ufaransa nchini Ivory Coast
Feb 09, 2026 10:01Kwa takriban miongo minane, kuanzia mwaka 1893 hadi 1960, Ivory Coast ilikuwa eneo la moja ya tawala za kikoloni katili zaidi za Ufaransa magharibi wa Afrika.
-
Watu 53 wahofiwa kufa maji baada ya boti kuzama pwani ya Libya
Feb 09, 2026 07:47Watu wasiopungua 53 wakiwemo watoto wawili wadogo wameripotiwa kwamba, ama wamekufa maji au kutoweka, baada ya boti dhaifu ya plastiki iliyokuwa imebeba makumi ya wahajiri kuzama karibu na pwani ya Libya.
-
Jeshi la Mali: Makumi ya wanamgambo wameuawa karibu na Segou
Feb 09, 2026 06:42Jeshi la Mali limetangaza habari ya kufanya wimbi la mashambulizi yaliyoratibiwa ambayo yamewaua makumi ya washukiwa wa ugaidi, wakati wa operesheni zilizofanyika magharibi mwa jiji la Segou, katikati ya nchi.
-
Misri: Tunaunga mkono umoja wa ardhi ya Somalia na kupinga kuingilia masuala ya ndani ya mataifa mengine
Feb 09, 2026 03:09Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri amesema kuwa, Cairo inaunga mkono umoja wa ardhi ya Somalia na inasisitiza umuhimu wa ushiriki wake katika misheni ya kulinda amani ya Umoja wa Afrika nchini humo.