-
Madaktari Wasio na Mipaka waonya kuhusu uhalifu dhidi ya raia al-Fasher Sudan
Jul 04, 2025 03:31Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) lina wasiwasi kuhusu uwezekano wa kutokea mashambulizi makubwa katika mji wa al-Fasher na umwagaji damu unaoweza kusababisha, huku mamia kwa maelfu ya raia wakiwa wamekwama katika mji huo.
-
Serikali ya Tanzania yakanusha madai ya kupanga kumpa sumu Tundu Lissu
Jul 04, 2025 00:15Serikali ya Tanzania imekanusha vikali tuhuma zilizochapishwa kwenye mitandao ya kijamii na kudai kuwa zinaihusisha yenyewe na kiongozi wa upinzani, Tundu Antipas Lissu, katika mpango wa kumuwekea sumu mshtakiwa huyo.
-
Abiy Ahmed atangaza kukamilika Bwawa la Renaissance, azialika Misri na Sudan katika sherehe za ufunguzi
Jul 03, 2025 23:41Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed, ametangaza "kukamilika kazi" katika mradi wa Bwawa la Grand Ethiopian Renaissance (GERD) kwenye Mto Nile, akisema litazinduliwa mwezi Septemba. Vilevile ametoa wito kwa Misri, Sudan, na watu wa Bonde la Mto Nile kuungana katika kusherehekea "hatua hiyo ya kihistoria."
-
Chama cha siasa cha '47 Voices of Kenya Congress', chaingia rasmi kwenye uwanja wa siasa
Jul 03, 2025 08:34Chama kipya cha kisiasa kinachoongozwa na vijana kilichopewa jina ‘47 Voices of Kenya Congress', kimeingia rasmi kwenye uwanja wa siasa nchini humo. Hali hiyo inapelekea kuujitokeza sura mpya katika siasa za vijana wa Kenya maarufu kama Gen Z.
-
Jeshi la Mali: Zaidi ya magaidi 80 wauawa katika mashambulizi yaliyoratibiwa nchini humo
Jul 03, 2025 00:30Magaidi zaidi ya 80 wameuawa katika mashambulizi yaliyolenga maeneo kadhaa ya katikati na magharibi mwa Mali.
-
Helikopta ya walinda amani wa Umoja wa Afrika yaanguka Somalia
Jul 02, 2025 08:38Helikopta ya Kikosi cha Usaidizi na Uimarishaji Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (AUSOM) imeanguka leo Jumatano katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.
-
WFP: Mamilioni ya raia wa Sudan wanakabiliwa na janga la njaa
Jul 01, 2025 23:10Mamilioni ya wakimbizi wa Sudan wanakabiliwa na janga la njaa huku uhaba mkubwa wa fedha ukilazimisha Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) kupunguza msaada muhimu unaoweza kuokoa maisha ya mamilioni ya raia wa nchi hiyo.
-
Rais wa Kongo DR ataka haki itendeke mkabala wa jinai zilizotekelezwa mashariki mwa nchi hiyo
Jul 01, 2025 08:56Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameeleza kuwa serikali yake itaendelea kuwa imara katika kudai haki za wahanga wa jinai zilizofanywa mashariki mwa nchi hiyo, licha ya makubaliano ya amani yaliyotiwa saini hivi karibuni kati ya nchi hiyo na Rwanda.
-
Kiongozi wa upinzani anayezuiliwa Chad akomesha mgomo wa kula
Jul 01, 2025 03:29Kiongozi wa upinzani nchini Chad aliyewahi kuwa waziri mkuu, Succes Masra, amekomesha mgomo wa kula baada ya takriban wiki moja.
-
Gachagua aonywa huwenda akashtakiwa ikibainika alihusika na ghasia za maandamano
Jul 01, 2025 03:27Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua atakamatwa na kushtakiwa kama Mkenya mwengine yeyote iwapo ushahidi utamhusisha na ghasia zilizoshuhudiwa nchini humo mnamo Juni 25. Hayo ni kwa mujibu wa Idara ya Upelelezi ya Kenya (DCI).