-
Dozi milioni 10 za chanjo ya Malaria zapatiwa bara la Afrika
Jan 24, 2025 03:28Shirika la Kimataifa linaloshughulika na kuboresha upatikanaji wa chanjo la Gavi limetangaza kuwa, karibu dozi milioni 10 za Malaria zilipelekwa Afrika katika mwaka wa kwanza wa utoaji chanjo kote barani humo.
-
Maelfu wakimbia makazi yao DRC baada ya waasi wa M23 kuingia Sake
Jan 24, 2025 03:27Hali ya wasiwasi imetanda katika mji wa Goma, ambapo maelfu ya watu wanakimbia kutokana na mapigano makali kati ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kundi la waasi wa M23.
-
Jeshi la Sudan na RSF wapigana kuhusu kinu cha kusafisha mafuta kaskazini mwa Khartoum
Jan 24, 2025 00:06Mapigano makali yaliendelea kwa siku ya pili jana Alhamisi kati ya jeshi la Sudan na wanamgambo hasimu wa jeshi hiyo yaani Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) karibu na kinu cha kusafisha mafuta kaskazini mwa mji mkuu, Khartoum.
-
Familia za wahanga zaishtaki serikali ya Afrika Kusini kwa jinai za ubaguzi wa rangi
Jan 24, 2025 00:06Familia 25 za wahanga na manusura wa jinai za kisiasa zilizofanyika zama za ubaguzi wa rangi huko Afrika Kusini zimemfungulia mashtaka Rais wa Cyril Ramaphosa wa nchi iyo na serikali yake kwa kile zinachosema ni kushindwa kuchunguza ipasavyo makosa hayo na kutoa haki mkabala wa jinai hizo za kisiasa.
-
Polisi wa Morocco wamekamata karibu tani 10 za bangi katika eneo la kusini la nchi hiyo
Jan 23, 2025 09:35Shirika rasmi la habari la Morocco MAP limeripoti kuwa, polisi wa nchi hiyoi wamekamata karibu tani 10 za bangi katika eneo la Marrakech-Safi la kusini mwa nchi hiyo.
-
Mashirika ya kibinadamu yanatafuta dola bilioni 1.4 kwa ajili ya Somalia kwa mwaka huu wa 2025
Jan 23, 2025 09:35Umoja wa Mataifa na washirika wa misaada ya kibinadamu jana Jumatano walizindua Mpango wa Mahitaji ya Kibinadamu wa 2025 (HNRP), ambao unalenga kukusanya dola bilioni 1.42 kusaidia watu milioni 4.6 nchini Somalia.
-
Polisi: Watu 600 wametoroka kizuizini Sudan Kusini
Jan 23, 2025 04:08Polisi nchini Sudan Kusini imesema watu 600 waliokuwa wakizuiliwa baada ya kukamatwa kwa kushiriki maandamano ya ghasia na uporaji wa biashara wametoroka katika jela ya kijeshi katika mji mkuu Juba.
-
Balozi wa Palestina Ghana: Ari ya mapambano ya Wapalestina kamwe haitazimwa
Jan 22, 2025 23:22Balozi wa Palestina nchini Ghana amesema kuwa, ari na moyo wa mapambano ya Wapalestina kamwe haitazimwa na kwamba, Wapalestina wataendelea kusimama kidete kupigania haki zao.
-
AU yamtaka Trump atazame upya uamuzi wake wa kuiondoa Marekani katika shirika la WHO
Jan 22, 2025 23:20Umoja wa Afrika (AU) jana Jumatano ulimtolea wito Rais mpya wa Marekani, Donald Trump, kufikria tena uamuzi wake wa kuiondoa Washington katika Shirika la Afya Duniani (WHO).
-
Nchi za Magharibi zina nafasi gani katika kuongezeka ugaidi Afrika?
Jan 22, 2025 23:18Kuongezeka kwa shughuli za kigaidi katika maeneo mbalimbali ya Afrika kumegeuka kuwa tatizo kubwa katika bara hilo na pia katika mataifa mengi duniani. Hivi sasa, makundi kadhaa ya kigaidi yanaendesha shughuli zao katika maeneo tofauti ya Afrika.