-
Makumi ya watu wanahofiwa kupoteza maisha baada ya boti kupinduka na kuzama Nigeria
Jul 21, 2026 02:57Wafanyakazi wa huduma za uokoaji kaskazini-magharibi mwa Nigeria jana waliendelea kuwatafuta manusura baada ya boti iliyokuwa imebeba watu kadhaa kupinduka na kuzama katika jimbo la Jigawa.
-
Idadi ya waliofariki dunia kwa Ebola DRC yapindukia 900
Jul 20, 2026 11:08Takribani watu 930 wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Hiyo ni kwa mujibu wa Wizara ya Afya nchini humo.
-
Maelfu waandamana kupinga usajili vitani kwa vijana Tigray
Jul 20, 2026 03:59Maelfu ya watu walikusanyika mjini Addis Ababa, Ethiopia, kushiriki maandamano ya kuunga mkono serikali na kupinga madai ya kampeni ya mamlaka katika eneo la Tigray kuwasajili kwa lazima vijana kupigana vitani.
-
Raia 114 wauawa mashariki mwa Kongo mwezi Juni
Jul 19, 2026 12:44Waasi wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mwezi uliopita waliwauwa watu wasiopungua 114 kuwatekanyara wengine 17. Haya yameelezwa Shirika la Ufuatiliaji Usalama la Kivu Security Tracker.
-
Tunisia inakabiliwa na joto kali huku viwango vya joto vikikaribia nyuzi joto 50
Jul 19, 2026 12:40Wimbi kali la joto lisilo la kawaida limeikumba Tunisia, na kusababisha viwango vya joto kupanda hadi karibu nyuzi joto 50 Selsiasi na kuvunja rekodi za kihistoria katika maeneo kadhaa nchini humo.
-
Ripoti: Watoto laki tano walio na umri chini ya miaka 5 nchini Madagascar wana utapiamlo
Jul 19, 2026 02:26Zaidi ya watu milioni 3.7 nchini Madagascar wanatarajiwa kukabiliwa na njaa kali huku hatari ya utapiamlo ikiongezeka miongoni mwa watoto na makundi yaliyo katika mazingira magumu.
-
UNICEF yahimiza ulinzi wa watoto wakati wa migogoro ya usalama na binadamu
Jul 18, 2026 11:51Mkuu wa Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) ametembelea kaskazini magharibi mwa Nigeria, wakati migogoro, umaskini na ukosefu wa usalama wa chakula vikiwalazimisha mamilioni ya watoto katika eneo hilo kuhitaji msaada ya dharura.
-
Khartoum yatoa ushahidi dhidi ya UAE na kuikosoa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai
Jul 18, 2026 09:07Waziri wa Sheria wa Sudan, Abdullah Darf, amewasilisha kifurushi cha njia za kisheria "zisizo za kawaida" ambazo serikali ya Khartoum inakusudia kuchukua ili kufungua mashtaka dhidi ya serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na kundi la waasi la Rapid Support Forces (RSF), akisisitiza kwamba Khartoum ina "ushahidi wa kutosha na data kamili" kuhusu "ushiriki wa Abu Dhabi katika vita na uhalifu uliofanywa na pande hizo mbili dhidi ya watu wa Sudan."
-
Vurugu uchaguzi mdogo Kenya zaibua wasiwasi kuelekea uchaguzi mkuu 2027
Jul 18, 2026 03:30Mashambulio dhidi ya wapiga kura wakati wa uchaguzi mdogo katika eneo bunge la Ol Kalou katika mkoa wa kati nchini Kenya, yameibua hofu kuhusu hali ya usalama kuelekea uchaguzi mkuu hapo mwakani 2027.
-
Ajali mbaya ya basi la shule Uganda yaua watoto 20
Jul 17, 2026 11:41Watoto wasiopungua 20 na mtu mmoja mzima wamefariki dunia baada ya basi la shule walilokuwa wakisafiria kupata ajali katika Wilaya ya Kapchorwa, mashariki mwa Uganda, polisi wamesema.