-
Idadi ya vifo vya Kimbunga Gezani yapanda hadi 59 nchini Madagascar
Feb 17, 2026 07:11Idadi ya watu waliopoteza maisha kufuatia Kimbunga Gezani nchini Madagascar imeongezeka hadi 59, huku watu 804 wakijeruhiwa. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya hivi karibuni iliyotolewa na Ofisi ya Kitaifa ya Usimamizi wa Hatari na Maafa (BNGRC).
-
Mtaalamu: Sera ya biashara ya Marekani barani Afrika inaendeshwa kwa mabavu na ghiliba za kisiasa
Feb 17, 2026 07:10Marekani inajaribu kudumisha nafasi yake barani Afrika kupitia matumizi ya mabavu na ghiliba za kisiasa, huku ikizingatia zaidi nishati na madini muhimu, tofauti na ushirikiano mpana wa kiuchumi wa China katika bara hilo.
-
Viongozi wa Afrika watangaza mshikamano na watu wa Palestina
Feb 17, 2026 04:16Viongozi wa nchi za Afrika wametangaza mshikamano wao na watu wa Palestina na haki yao ya kujitawala.
-
Niger na Algeria zatangaza kuanza 'mchakato mpya' baada ya mazungumzo ya ujenzi wa bomba jipya la gesi mjini Algiers
Feb 17, 2026 03:44Rais wa Niger ametangaza kuanza kwa "mchakato mpya" kati ya nchi hiyo na Algeria.
-
Mawakili wa Morocco wahitimisha mgomo wao baada ya serikali kuunga mkono muswada wa marekebisho
Feb 17, 2026 03:33Mawakili nchini Morocco wamehitimisha mgomo wa wiki moja baada ya serikali kusimamisha muswada wa kudhibiti sekta ya sheria na kuunda tume iliyopewa jukumu la kuanzisha mazungumzo.
-
Wakenya: Mradi wa kilimo wa Israel Nakuru ni mwanzo wa unyakuzi wa ardhi zetu
Feb 17, 2026 02:52Mradi wa Israel wa kilimo na makazi wa ekari 520 huko Solai, Kaunti ya Nakuru nchini Kenya umezua mjadala mkali wa kitaifa. Wakenya wametumia mitandao ya kijamii kupinga mradi huo, wanaotaja kuwa mwanzo wa unyakuzi wa ardhi za nchi hiyo na utawala ghasibu wa Israel.
-
Idadi ya waliofariki dunia kutokana na kimbunga nchini Madagascar imefikia 59
Feb 16, 2026 22:58Idara yaMaafa ya Majanga ya Kimaumbile ya Madagascar imetangaza kuwa hadi sasa watu 59 wamefariki dunia kutokana na kimbunga cha Gezani kilichoathiri maeneo ya pwani ya mashariki mwa nchi hiyo tarehe 10 mwezi huu huku watu 15 hawajulikani walipo. Wakati huo huo watu zaidi ya 16,000 wamepoteza makazi yao kufuatia kimbunga hicho.
-
Watu 3 wameuawa na 7 kujeruhiwa katika shambulio la droni la RSF hospitalini katika jimbo la Sennar, Sudan
Feb 16, 2026 22:57Mashambulizi wa ndege zisizo na rubani (droni) ya wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF)yameuwa watu watatu na kuwajeruhi wengine saba katika Hospitali ya Al-Mazmoum katika jimbo la Sennar kusini mashariki mwa Sudan.
-
Waziri Mkuu wa Ethiopia: Hatuna nia ya kujitanua ili kuifikia bahari
Feb 16, 2026 22:56Waziri Mkuu wa Ethiopia jana alisema kuwa nchi yake "haina nia ya kujitanua" na haina lengo la kuwatishia majirani zake. Amesema vipaumbele muhimu vya kitaifa ni kufikia njia ya baharini na maendeleo ya maji ya Mto Nile.
-
Utumwa, ukoloni; Ghana yataka nchi za AU kuunga mkono Azimio la Algiers
Feb 16, 2026 06:44Rais wa Ghana ametoa wito kwa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kuunga mkono rasimu ya azimio lenye lengo la kutambua dhulma za kihistoria zilizosababishwa na biashara ya utumwa wa kuvuka Atlantiki.