-
Ulimwengu wa Spoti, Machi 3
Mar 03, 2025 09:29Hujambo mpenzi mwanaspoti. Karibu tuangazie japo kwa mukhtasari baadhi ya matukio yaliyogonga vichwa vya habari katika viwanja na kumbi mbalimbali za michezo ndani ya wiki moja iliyopita...
-
Ulimwengu wa Spoti, Feb 24
Feb 24, 2025 06:02Hujambo msikilizaji mpenzi na hasa mfuatiliaji wa matukio ya spoti. Karibu tuangazie baadhi ya matukio makubwa ya michezo yaliyoshuhudiwa ndani ya siku zilizopita katika kona mbali mbali za dunia.....
-
Mwana wa Nasrullah asema siku ya Jumapili ya mazishi ya baba yake ni "Siku ya Kutangaza Msimamo"
Feb 22, 2025 06:07Sayyid Muhammad Mahdi Nasrullah, mwana wa Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon aliyeuawa shahidi amesema katika hotuba ya kuwatolea mwito watu kuhudhuria mazishi ya baba yake kwamba: "kushiriki katika mazishi ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah kutakuwa ni kushiriki mtu katika siku ya kutangaza msimamo na kudhihirisha kivitendo mapenzi yake kwa Shahidi Nasrullah".
-
Kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina; Jinai mpya dhidi ya Wapalestina
Feb 20, 2025 08:10Leo tutaangazia jinai mpya ya Wazayuni na washirika wao ya kutaka kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina katika makazi na nchi yao.....
-
Deep Seek; Kuongezeka mchuano kati ya China na Marekani katika uga wa teknolojia
Feb 20, 2025 08:07Kuibuka na kupanuka kwa teknolojia ya hali ya juu katika nyanja mbalimbali, hasa katika uwanja wa akili mnemba (Artificial Intligence) kumesababisha mabadiliko makubwa duniani Katika miaka ya hivi karibuni.
-
Jumatano, Februari 19, 2025
Feb 19, 2025 02:59Leo ni Jumatano tarehe 20 Sha'ban 1446 Hijria sawa na tarehe 19 Februari mwaka 2025.
-
Jumatatu, 17 Februari, 2025
Feb 17, 2025 02:33Leo ni Jumatatu 18 Shaaban 1446 Hijria sawa na 17 Februari 2025.
-
Ulimwengu wa Spoti, Feb 17
Feb 17, 2025 06:36Hujambo mpenzi na ashiki wa spoti, natumai u mzima wa afya. Huu ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio makubwa ya spoti yaliyoshuhudiwa ndani ya siku zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa.
-
Magaidi wafanya shambulio jingine baya la kigaidi Mali + Video
Feb 09, 2025 02:24Takriban watu 40 wameuawa baada ya genge la kigaidi la Daesh (ISIS) kushambulia msafara wa usambazaji bidhaa katika nchi ya Kiafrika ya Mali.
-
Ulimwengu wa Spoti, Feb 3
Feb 03, 2025 07:00Mkusanyiko wa matukio makubwa ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, katika pembe mbali mbali za dunia….