-
Araghchi aonya UN: Kunyamazia kimya uvamizi wa US, Israel kutashadidisha taharuki katika eneo
Mar 12, 2026 03:23Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran amesema katika mazungumzo yake ya simu na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres kuwa, kufumbia macho au kutochukua hatua za maana mkabala wa vitendo vya kivamizi vya Marekani na Israel dhidi ya Iran kutafungua njia ya kushadidi ukosefu wa utulivu na taharuki katika eneo.
-
Iran yasema haitashiriki Kombe la Dunia la FIFA 2026
Mar 12, 2026 02:57Waziri wa Michezo wa Iran, Ahmad Donyamali amesema timu ya taifa ya soka ya Jamhuri ya Kiislamu haitashiriki katika fainali za Kombe la Dunia katika msimu ujao wa joto, licha ya Rais wa Shirikisho la Soka Duniani FIFA, Gianni Infantino kusisitiza kuwa amehakikishiwa na Rais Donald Trump wa Marekani kwamba Iran inakaribishwa kushiriki mashindano hayo makubwa zaidi ya soka duniani, pamoja na vita vinavyoendelea.
-
Kamanda Hatami: Tutalinda heshima na hadhi ya Iran ya Kiislamu hadi tone la mwisho la damu
Mar 11, 2026 22:57Kamanda Mkuu Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vijana wa ardhi hii takatifu watalinda heshima ya Iran kwa nguvu na azma hadi tone la mwisho la damu
-
Pezeshkian: Iran haina nia ya kuingia katika mzozo na nchi za eneo
Mar 11, 2026 22:54Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza kwamba Iran haitaki vita au uhasama na nchi za eneo, bali inalenga tu vituo vinavyotumiwa kama chanzo cha mashambulizi dhidi ya ardhi yake.
-
Ushiriki wa kihistoria wa wakazi wa Tehran katika mazishi ya Mashahidi wa Vita vya Ramadhani
Mar 11, 2026 09:59Hafla ya mazishi ya Mashahidi wa Vita vya Ramadhani imefanyika kuanzia Uwanja wa Mapinduzi (Maidan-e Enqelab) hadi Mi‘raj al-Shuhadaa jijini Tehran, ikiambatana na mahudhurio makubwa ya wananchi waliokuja kutoa heshima zao za mwisho.
-
Seneta wa Marekani akiri: Hatutafikia malengo yetu yoyote katika vita na Iran
Mar 11, 2026 09:13Chris Murphy, Seneta wa chama cha Democrat nchini Marekani, kufuatia kikao cha faragha na maafisa wa utawala wa Rais Donald Trump kuhusu uvamizi wa kijeshi dhidi ya Iran, amekosoa mtazamo wa utawala huo na kusema: "Hatutafikia malengo yoyote tuliyotangaza katika vita dhidi ya Iran."
-
Iran imeandaa maandamano makubwa ya Siku ya Kimataifa ya Quds
Mar 11, 2026 06:10Maandamano makubwa ya kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds yanatarajiwa kufanyika katika miji na maeneo yote ya Iran Ijumaa hii.
-
Pezeshkian amhutubu Trump: Wavamizi huja na kwenda, lakini Iran itabaki
Mar 11, 2026 04:34Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amekosoa vikali vitisho vya kukaririwa vya Rais wa Marekani, Donald Trump kwamba ataisambaratisha Iran, akisiitiza kuwa, wavamizi na waharibifu mithili Trump walikuja na wakaondoka, lakini Iran imeendeelea kubakia.
-
Rais Pezeshkian asisitiza ulazima wa kulaaniwa kwa uhalifu wa Marekani na utawala wa Kizayuni
Mar 11, 2026 04:28Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, katika mazungumzo ya simu na Rais wa Russia, amesisitiza ulazima wa kulaaniwa vitendo vya uhalifu vinavyofanywa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel katika majukwaa ya kimataifa.
-
Iravani alaani mauaji ya wanadiplomasia 4 wa Iran nchini Lebanon
Mar 11, 2026 04:18Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa ameyataja mauaji ya kigaidi ya wanadiplomasia wanne wa Jamhuri ya Kiislamu katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut kama 'jinai ya kihaini'.