-
Spika wa Bunge Iran: Ni wajibu wa Kiislamu kusitisha ‘Mauaji Makubwa Zaidi ya Kimbari Katika Historia’
May 16, 2025 23:24Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ametoa wito kwa Waislamu kuimarisha umoja na kuwa sauti ya watu wa Palestina walioko Ukanda wa Gaza, ambao wanakumbwa na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Israel.
-
Azma ya Iran na nchi tatu za Ulaya kuhusu kutumia diplomasia ya nyuklia
May 16, 2025 23:20Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kazem Gharibabadi, amesema kuwa Iran na mataifa matatu ya Ulaya ambayo Uingereza, Ufaransa, na Ujerumani (yanayojulikana kama E3), wameazimia kutumia ipasavyo njia za kidiplomasia kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran.
-
Abu Turabi Fard: Marekani ndiyo sababu ya ukosefu wa usalama duniani, si Iran
May 16, 2025 06:55Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa ya hapa Tehran amesema: "Katika hali ambayo Israel inafanya mauaji ya kutisha zaidi kwa niaba ya Marekani, inazikalia kwa mabavu nchi za Kiislamu, na kukanyaga haki ya kujitawala kitaifa Lebanon, Syria na Yemen, rais wa Marekani anadai kiuongo kuwa eti Iran ndiyo tishio kwa usalama wa eneo, wakati ni Marekani ndiye tishio."
-
Iran: Israel iliundwa kwa damu; mauaji ya kimbari lazima yakomeshwe sasa
May 16, 2025 03:52Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa kwa mnasaba wa Siku ya Nakba na kusema kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel "uliasisiwa katika msingi wa umwagaji damu" na kwamba jamii ya kimataifa ina wajibu wa kukomesha mauaji ya kimbari yanayoendelea huko Gaza.
-
Trump azitaka kampuni za US zitengeneze droni kama za Iran
May 16, 2025 03:31Rais wa Marekani, Donald Trump amesema ameziomba kampuni za Marekani kutengeneza ndege zisizo na rubani zinazofanana na droni za Iran, ambazo si ghali sana bali zina kasi ya juu na hatari.
-
Spika Qalibaf: Iran, Algeria zinahitaji kufanya kazi kusaidia usambazaji wa misaada Gaza
May 15, 2025 08:31Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf amesema Iran na Algeria zinahitaji kufanya kazi ili kusaidia juhudi za kufikisha misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza uliokumbwa na vita.
-
Iran yahimiza kukomeshwa ghasia katika mji mkuu wa Libya, Tripoli
May 15, 2025 08:14Iran imeelezea wasiwasi wake kuhusu mapigano makali yanayoendelea kati ya makundi yenye silaha katika mji mkuu wa Libya Tripoli, ikitaka kusitishwa mara moja ghasia na umwagaji damu.
-
Umuhimu wa kufanyika Kongamano la 31 la Nyuklia la Iran
May 15, 2025 04:32Kongamano la 31 la Nyuklia la Iran linafanyika katika mji mtakatifu wa Mashhad, na kuhudhuriwa na wasomi wa kisayansi, sekta binafsi na wasomi vijana wa Iran.
-
Pezeshkian amjibu Trump: Inaonekana huwajui kabisa Wairani
May 15, 2025 04:09Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amejibu kauli za Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu Iran na kusema kuwa, inaonekiana kiongozi huyo wa Marekani hawafahamu wananchi wa Iran.
-
Spika Qalibaf: Maendeleo ya ulimwengu wa Kiislamu yanategemea ushirikiano wa Iran na Saudi Arabia
May 15, 2025 04:08Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya ulazima wa kuwepo umoja baina ya nchi za Kiislamu na kubainisha kwamba, Iran na Saudi Arabia zinapaswa kutumia fursa iliyojitokeza kuendeleza uhusiano wao sambamba na maendeleo ya Ulimwengu wa Kiislamu.