-
Ayatullah Mojtaba Khamenei ni nani?
Mar 09, 2026 08:52Miongoni mwa maswali muhimu yanayoulizwa sana wakati huu kuhusu Iran ni kwamba, Ayatullah Mojtaba Husseini Khamenei ni nani? Na kwa nini Baraza la Wataalamu limemchagua kuongoza Iran? Ili kuelewa chaguo hili, lazima kwanza tuangalie utaratibu wa kisheria wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Araghchi: Trump amekiri kutenda jinai kwa kutishia kuwaua Wairani
Mar 09, 2026 07:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema vitisho vipya vilivyotolewa na Rais Donald Trump vya kuwashambulia na kuwaua wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ni kukiri wazi wazi kwa kiongozi huyo wa Marekani juu ya kufanya jinai za kivita na jinai dhidi ya binadamu.
-
Jeshi la IRGC latangaza utiifu kwa Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu
Mar 09, 2026 07:04Kufuatia kuchaguliwa kwa Ayatullah Seyed Mojtaba Khamenei kuwa Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema liko tayari kikamilifu kutekeleza amri zake.
-
Wall Street: Kuchaguliwa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kunaonyesha kushindwa juhudi za Trump za kuipigisha magoti Iran
Mar 09, 2026 03:46Vyombo vya habari duniani vimeakisi kwa mapana na marefu kuchaguliwa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kama kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran.
-
Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei achaguliwa kuwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Mar 08, 2026 22:32Baraza la Wanazuoni Wataalamu nchini Iran limemchagua Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kuwa Kiongozi Muadhamu mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Meja Jenerali Abdullahi: Uwezo wa makombora wa Iran ni zaidi ya mawazo ya adui
Mar 08, 2026 09:23Meja Jenerali Ali Abdullahi, amesema majeshi ya ulinzi ya Iran yamejitayarisha kikamilifu kuendeleza mapambano dhidi ya adui na kwamba adui atapata jibu la makosa yake uwanjani na kwenye medani ya vita.
-
Siku ya tisa ya vita; Iran yaendeleza mawimbi ya makombora na ndege zisizo na rubani
Mar 08, 2026 06:23Katika siku ya tisa ya uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran, Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) alfajiri ya leo limetangaza kutekelezwa kwa mawimbi mapya ya Operesheni ya kulipiza kisasi ya ‘Ahadi ya Kweli 4’
-
Majasusi wa US: Haiyumkiniki kubadilisha mfumo wa uongozi Iran
Mar 08, 2026 04:13Baraza la Ujasusi la Marekani limesema katika tathmini yake 'ya siri' kwamba, ni muhali kubadilisha mfumo uliokita mizizi wa kisiasa na kiusalama nchini Iran, hata kwa kutumia mashambulizi makali ya kijeshi yanayoendelea ya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Msemaji wa IRGC: Tunavisubiri kwa hamu kubwa vikosi vya US kwenye Lango-Bahari la Hormuz
Mar 07, 2026 14:18Msemaji wa Kamandi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC ya Khaatamul-Anbiyaa amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inakaribisha na kusubiri kwa hamu kubwa kuthibiti kwa madai ya vikosi vya jeshi la Marekani vya kusindikiza meli za mafuta na kujikita kwenye Lango-Bahari la Hormuz.
-
Iran: UN inabeba dhima ya kisheria na kimaadili ya vita haramu vya US, Israel
Mar 07, 2026 10:29Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei amejibu taarifa ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, ambaye bila kulaani uvamizi na mashambulizi ya kichokozi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, ameeleza wasiwasi wake juu ya vita hivyo kwa uchumi wa dunia.