Iran
  • Kiongozi wa Mapinduzi: Hatufurutu mpaka katika kuyatazama mazungumzo ya Oman kwa jicho zuri au baya

    Kiongozi wa Mapinduzi: Hatufurutu mpaka katika kuyatazama mazungumzo ya Oman kwa jicho zuri au baya

    Apr 15, 2025 09:40

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, ufuatiliaji ndicho kiungo kinachokosekana katika kufanikisha malengo ya nchi na akasisitiza kuwa ajenda ya pamoja ya mihimili mitatu ya dola ni kufanya jitihada za kufanikisha kaulimbiu ya mwaka huu.

  • Iran itawapokea wanafunzi na wasomi kutoka vyuo vikuu vya Gaza

    Iran itawapokea wanafunzi na wasomi kutoka vyuo vikuu vya Gaza

    Apr 15, 2025 06:46

    Iran itawapokea kwa mikono miwili wasomi na wanafunzi wa Kipalestina katika vyuo vikuu vya Iran kufuatia uharibifu mkubwa wa taasisi za elimu katika Ukanda wa Gaza kutokana na mashambulizi ya utawala haramu wa Israel.

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Saudia wajadili mazungumzo ya Oman

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Saudia wajadili mazungumzo ya Oman

    Apr 15, 2025 04:36

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Saudi Arabia wamefanya mazungumzo ya simu na kujadiliana kuhusu uhusiano wa pande mbili na maendeleo ya kikanda na kimataifa.

  • Wanachuo wa Iran waendeleza maandamano ya kuiunga mkono Palestina

    Wanachuo wa Iran waendeleza maandamano ya kuiunga mkono Palestina

    Apr 15, 2025 03:53

    Wanafunzi, maprofesa, wahadhiri na wafanyakazi wa Vyuo Vikuu vya mikoa ya Ardabil na Khorasan Kusini wamefanya maandamano ya kulaani ghasia na jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza.

  • Iran: Ufaransa itoe maelezo ya kukamatwa Muirani, mtetezi wa Palestina

    Iran: Ufaransa itoe maelezo ya kukamatwa Muirani, mtetezi wa Palestina

    Apr 14, 2025 23:45

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa vikali kitendo cha Ufaransa cha kukataa kutoa maelezo ya kukamatwa Mahdieh Esfandiari, raia wa Iran anayeishi katika mji wa Lyon, kaskazini mwa magharibi mwa Ufaransa, zaidi ya mwezi mmoja baada kutiwa kwake mbaroni na vyombo vya usalama vya nchi hiyo ya Ulaya.

  • Kazem Gharib Abadi: Rafael Grossi kuwasili Tehran Jumatano

    Kazem Gharib Abadi: Rafael Grossi kuwasili Tehran Jumatano

    Apr 14, 2025 09:52

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Masuala ya Kisheria na Kimataifa ametangaza kuwa, Rafael Grossi Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atiomiki (IAEA) atawasili Tehran Jumatano wiki hii na atakuwa na mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Nyuklia ya Iran.

  • Mawaziri wa mambo ya nje wa Misri na Kuwait wakaribisha mazungumzo kati ya Iran na Marekani

    Mawaziri wa mambo ya nje wa Misri na Kuwait wakaribisha mazungumzo kati ya Iran na Marekani

    Apr 14, 2025 03:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi amezungumza na mawaziri wenzake wa Misri na Kuwait na kuwaeleza kuhusu msimamo wa Tehran juu ya mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana iliyofanya na Marekani.

  • Kiongozi Muadhamu: Adui amekatishwa tamaa na ana hofu na maendeleo ya Jamhuri ya Kiislamu

    Kiongozi Muadhamu: Adui amekatishwa tamaa na ana hofu na maendeleo ya Jamhuri ya Kiislamu

    Apr 13, 2025 10:21

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Sayyid Ali Khamenei leo Jumapili mchana amekutana na baadhi ya makamanda wa jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mnasaba wa Mwaka Mpya wa Kiirani wa Hijria Shamsia na kusisitiza kuwa, adui amekata tamaa vibaya na amekasirishwa na maendeleo ya Jamhuri ya Kiislamu. Wakati huo huo amesisitiza kwamba, pamoja na kuwepo mapungufu, lakini kuna maendeleo pia yamepatikana, inabidi hayo nayo tuyaone.

  • Iran: Tunafanya mazungumzo na Marekani kuhusu kadhia ya nyuklia tu

    Iran: Tunafanya mazungumzo na Marekani kuhusu kadhia ya nyuklia tu

    Apr 13, 2025 10:21

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, tunapoangalia mawasiliano ya maandishi yaliyofanyika tangu mwanzo wa mchakato uliopelekea kufanyika mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati yetu na Marekani tutaona kuwa, msingi wa mawasiliano hayo haukuwa na chochote kingine ghairi ya suala la nyuklia.