-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Kupanua uhusiano na majirani ni sera ya uhakika ya Iran
Feb 19, 2025 23:36Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: kupanua uhusiano na majirani ni sera ya uhakika ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
IRGC ya Iran yavunja mitandao ya ujasusi ya Israel na Marekani
Feb 19, 2025 23:13Vikosi vya kiintelijensia vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) vimesambaratisha mitandao kadhaa ya kijasusi yenye mfungamano na Marekani na Israel katika mkoa wa Mazandaran, kaskazini mwa nchi.
-
Rais Pezeshkian: Iran, Qatar zinafungua njia mpya za ushirikiano
Feb 19, 2025 12:04Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema Tehran na Doha zimefanya maamuzi muhimu ili kuimarisha uhusiano na kufungua njia mpya za ushirikiano.
-
Abbas Araghchi na Katibu Mkuu wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi walijadili mambo gani?
Feb 19, 2025 08:57Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekumbusha kuhusu uungaji mkono ulioonyeshwa na nchi za Kiarabu na Kiislamu kwa hatua ya maana iliyochukuliwa na Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC ya kukabiliana na mpango wa pamoja wa Marekani na utawala wa Kizayuni unaolenga kuifuta Palestina, na akabainisha kwamba: "Ulimwengu wa Kiislamu unapaswa kuiunga mkono Palestina kwa msimamo thabiti."
-
Pezeshkian: Iran inakaribisha kuhuishwa uhusiano wake na Sudan
Feb 19, 2025 08:41Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema Jamhuri ya Kiislamu inakaribisha kwa mikono miwili kurejeshwa kwa uhusiano wa nchi hii na Sudan, akisisitiza kuwa nchi za Kiislamu zinapaswa kuepuka mivutano na kukata uhusiano baina yao.
-
Iran: Tunapinga mpango wowote wa kufukuzwa Wapalestina Gaza
Feb 19, 2025 08:37Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad Bagher Ghalibaf amesema kuwa Tehran inapinga vikali na kulaani mpango wowote unaokusudia kuwafurusha Wapalestina katika ardhi zao.
-
Kamanda wa IRGC: Operesheni ya Ahadi ya Kweli III dhidi ya Israel itatekelezwa karibuni hivi
Feb 19, 2025 03:25Kamanda wa ngazi za juu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema, Iran "lazima iwe tayari kwa vita, ili kusiwepo na vita".
-
Raia wa Uingereza waliokamatwa Iran washtakiwa kwa ujasusi
Feb 18, 2025 23:28Msemaji wa Idara ya Mahakama ya Iran amesema kuwa raia wawili wa Uingereza waliokamatwa hivi karibuni katika mji wa Kerman, kusini mashariki mwa nchi, wameshtakiwa kwa kufanya ujasusi kwa niaba ya mashirika ya kijasusi ya Magharibi.
-
Umuhimu wa maandamano makubwa ya Siku ya Kimataifa ya Quds
Feb 18, 2025 23:24Mkuu wa Makao Makuu ya Intifada na Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Iran, Brigedia Jenerali Ramezan Sharif, amesisitiza umuhimu wa kupanga na kufanya juhudi za kufanikisha maandamano makubwa katika Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka huu.
-
Kushiriki Iran katika "Mkutano wa Nchi za Bahari ya Hindi" kuna umuhimu gani?
Feb 18, 2025 23:05Duru ya Nane ya Mkutano wa Nchi za Bahari ya Hindi chini ya kauli mbiu "Kuelekea Upeo Mpya wa Ushirikiano wa Baharini" imefanyika tarehe 16 na 17 mwezi huu wa Februari huko Oman kwa kuhudhuriwa na viongozi wa ngazi ya juu wa nchi 20 wanachama. Oman, India na Singapore kwa pamoja zilikuwa wenyeji wa kongamano hilo.