-
Baqaei: Msaada wa kiufundi na uungaji mkono kwa mvamizi ni sawa na kushiriki katika uvamizi
Jun 28, 2026 09:57Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, utoaji wa huduma za "kiufundi na msaada" kwa pande zinazoshambulia nchi nyingine ni kushiriki moja kwa moja na waziwazi katika kupigana vita haramu vya hiari na ni ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa.
-
Gharibabadi: Sardasht, mhanga wa mabomu ya kemikali na undumakuwili wa Magharibi
Jun 28, 2026 09:52Kazem Gharibabadi Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Masuala ya Kisheria na Kimataifa amesisitiza kuwa, Tehran itafuatilia kwa uzito jukumu la wahusika wa uhalifu wa mashambulio ya mabomu ya kemikali yaliyofanywa na utawala wa zamani wa Iraq.
-
Jeshi la Iran lalenga vituo vya jeshi la Marekani kujibu uchokozi
Jun 28, 2026 04:34Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limeendesha oparesheni kubwa ya makombora na ndege zisizo na rubani (droni) dhidi ya vituo nane vya kijeshi vya Marekani katika kanda hii, likiitaja hatua hiyo kuwa “jibu madhubuti” dhidi ya uchokozi mpya wa Marekani kwenye ardhi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Meja Jenerali Rezaei: Kama adui ataanzisha vita vingine, atapata maafa na hasara kubwa
Jun 28, 2026 04:29Kamanda wa zamani wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema, "Iwapo adui atafanya kosa na kuanzisha vita vipya, vita hivyo havitakuwa tena kama vita vya tatu vya kulazimishwa, bali vitasababisha hasara na maafa makubwa ya kibinadamu.
-
Araqchi azungumzia makubaliano ya Islamabad na mawaziri wenzake wa mambo ya nje
Jun 27, 2026 11:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amefanya mfululizo wa mazungumzo kwa njia ya simu na mawaziri wa kutoka Pakistan, Misri, Falme za Kiarabu (UAE), Uingereza, na Romania, ambapo walijadili makubaliano ya Islamabad pamoja na maendeleo ya karibuni katika ukanda.
-
Iran yakemea hujuma ya Marekani kusini mwa nchi, yaitaja kuwa “ukiukaji wa wazi” wa MoU ya Islamabad
Jun 27, 2026 11:07Iran imekemea mashambulizi ya hivi karibuni ya anga ya Marekani dhidi ya maeneo kadhaa kando ya pwani za kusini mwa nchi, ikiyataja kuwa “ukiukaji wa wazi” wa hati ya makubaliano ya maelewano (MoU) iliyopatanishwa na Pakistan.
-
Kwa nini Mwavuli wa Usalama wa Marekani Umeshindwa Kufikia Malengo Yaliyokusudiwa?
Jun 27, 2026 10:21Katika taarifa yake, Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeelezea misimamo iliyotangazwa katika taarifa ya pamoja ya waziri wa mambo ya nje wa Marekani na mawaziri wenzake wa mambo ya nje wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi tarehe 25 Juni, kuwa ni ya uingiliaji, kutowajibika na ya kichochezi.
-
Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran
Jun 27, 2026 05:20J.D Vance, Makamu wa Rais Donald Trump wa Marekani, amedai kuwa malengo yote yaliyotangazwa na utawala wa nchi hiyo na hasa ya kijeshi na ya nyuklia katika vita vyake vya kichokozi dhidi ya Iran yamefikiwa. Vance amedai kuwa Marekani imefanikiwa kufikia yale yote iliyokuwa imepanga kuyafikia kwa kutumia uwezo wake wa kiuchumi, kidiplomasia na kijeshi.
-
IRGC yashambulia ngome za jeshi la Marekani kulipiza kisasi shambulio dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran
Jun 27, 2026 03:24Kikosi cha Wanamaji la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimeshambulia ngome za kijeshi za Marekani katika eneo la Magharibi mwa Asia kulipiza kisasi uchokozi wa awali dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran.
-
Majeshi ya Iran yaonya kuhusu jibu kwa tishio lolote la Israel
Jun 27, 2026 03:01Kamandi Kuu ya Majeshi ya Iran imeonya kwamba Jamhuri ya Kiislamu itajibu “hatua hatari” za Israel katika anga za baadhi ya nchi jirani.