-
Iran na Sudan zasisitiza kupanua ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara
Nov 07, 2024 23:07Waziri wa Uchumi na Fedha wa Iran na Waziri wa Fedha na Mipango ya Kiuchumi wa Sudan wamekutana na kujadili upanuzi wa uhusiano wa pande mbili na ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara.
-
Iran: Ushindi wa Trump ni fursa kwa Marekani kurekebisha 'sera zisizo sahihi'
Nov 07, 2024 23:06Iran inasema itaihukumu serikali mpya ya Marekani kwa misingi ya sera na mienendo yake baada ya Donald Trump kushinda uchaguzi wa rais siku ya Jumatano.
-
Imam Khamenei: Ushindi wa kambi ya Haki na ya Muqawama ni kitu kisichoepukika
Nov 07, 2024 07:43Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezungumzia jinsi harakati za Muqawama wa Kiislamu za Hizbullah na HAMAS zinavyoendelea na mapambano yao kwa nguvu zote licha ya misukosuko mikubwa iliyozikumba harakati hizo na kusisitiza kuwa, kama inavyoonesha ahadi ya Allah, ushindi wa kambi ya Muqawama ni kitu cha lazima kisichoepukika.
-
Uhusiano wa Iran na Tunisia wazidi kuimarika, Tunis yataka safari za moja kwa moja za ndege
Nov 07, 2024 06:25Balozi wa Tunisia mjini Tehran ametaka kuweko safari za moja kwa moja za ndege baina ya Tehran na Tunis hasa kwa vile uhusiano wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unazidi kuimarisha siku baada ya siku.
-
Mkuu wa IRGC: Hizbullah imenusurika kimiujiza
Nov 07, 2024 03:22Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema licha ya hasara na matukio ya kusikitisha, harakati ya Hizbullah ya Lebanon imejengwa upya kimiujiza.
-
Iran yalihimiza Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lisimamishe uwanachama wa Israel
Nov 07, 2024 00:01Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amelihimiza Baraza Kuu la umoja huo lisimamishe uwanachama wa utawala ghasibu wa Israel kutokana na jinai unazoendelea kufanya dhidi ya Wapalestina, ikiwa ni pamoja na kupiga marufuku shughuli za shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa Kipalestina.
-
Aragchi: Kuna uhusiano wa karibu kati ya kijikundi cha kigaidi cha Jaysh al-Dhulm na utawala wa Kizayuni
Nov 06, 2024 10:03Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Iran na Pakistan zinaamini kuna uhusiano wa karibu kati ya kundi kijikundi cha kigaidi cha Jaish al Dhulm na utawala wa Kizayuni na zinasisitiza juu ya kupigana na kukabiliana nalo.
-
Mafanikio mapya ya anga za mbali ya Iran: Kurushwa angani satelaiti mbili za Kowsar na Hod'hod
Nov 06, 2024 07:23Watafiti wa moja ya mashirika ya anga za juu ya Iran kwa kubuni na kutengeneza satelaiti mbili za Kowsar na Hod'hod wameweza kuziingiza kwa mafanikio satelaiti hizo mbili kwenye mzingo wa dunia wenye umbali wa kilomita 500 kwa kutumia roketi ya Soyuz kutokea kituo cha Vostochny nchini Russia, hapo siku ya Jumanne tarehe 5 Novemba.
-
Satalaiti za kwanza za sekta binafsi Iran zatuma ishara za awali
Nov 06, 2024 03:51Balozi wa Iran nchini Russia, Kazem Jalali, ameandika kwenye mtandao wa kijamii wa X kwamba: Ishara za kwanza za satalaiti mbili za "Kauthar na Hud-hud" zimepokewa kwenye kituo kilichoko ndani ya ardhi ya Iran, saa chache baada ya satalaiti hizo kuwekwa kwa ufanisi kwenye mzingo wa kilomita 500 wa dunia.
-
Araghchi: Iran inaitambua haki ya kujilinda kwa mujibu wa Hati ya Umoja wa Mataifa
Nov 05, 2024 10:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, Jamhuri ya Kiislamu haitaki kuzusha mivutano lakini inatambua haki yake ya kujilinda kwa mujibu wa Hati ya Umoja wa Mataifa.