-
Kuendelea safari ya kieneo ya Araghchi; kutumia njia mbili za vita na za kidiplomasia
Oct 15, 2024 09:21Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran siku ya Jumatatu ya jana aliwasili Muscat, mji mkuu wa Oman katika muendelezo wa safari zake za kieneo.
-
Trump amsifu shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani
Oct 15, 2024 08:42Rais wa zamani wa Marekani na mgombeaji wa uchaguzi ujao wa rais wa nchi hiyo amesema kuwa, Luteni Jenerali Qassem Soleimani aliyeuawa shahidi, kamanda wa zamani wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu cha IRGC, alikuwa jenerali mkubwa sana wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Baada ya Wazayuni kueneza uvumi wa kipuuzi, hatimaye Jenerali Qaani ajitokeza hadharani
Oct 15, 2024 02:53Brigedia Jenerali Ismael Qaani, Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran SEPAH ameonekana hadharani katika mazishi ya Shahhid Abbas Nilforoushan na kubatilisha njama na uvumi wote wa Wazayuni dhidi ya Jenerali Qaani.
-
Iran: Tutaendeleza jitihada za kidiplomasia hadi Israel ikomeshe jinai zake
Oct 15, 2024 02:52Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, ataendelea kutembelea miji mikuu ya nchi mbalimbali na kuzungumza na viongozi wa nchi hizo hadi amani na utulivu upatikane katika eneo lote la Asia Magharibi.
-
Bloomberg: Mashambulio ya makombora ya Iran dhidi ya Israel yalisababisha uharibifu mkubwa
Oct 14, 2024 22:48Kituo cha habari cha Bloomberg kimekadiria uharibifu uliosababishwa wa nyumba na mali binafsi huko Israel wakati wa shambulio la hivi karibuni la makombora ya Iran kuwa ni karibu dola milioni 40 hadi 53.
-
Iran na Oman zasisitiza ulazima wa kusitishwa mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza na Lebanon
Oct 14, 2024 08:07Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Oman wamebadilishana mawazo kuhusu hali ya kutisha katika eneo na kutaka kusitishwa mara moja mauaji ya halaiki na uchokozi wa utawala ghasibu wa Israel katika Ukanda wa Gaza na Lebanon.
-
Iran kutumia diplomasia amilifu kukabiliana na vitisho vya utawala wa Kizayuni
Oct 14, 2024 07:30Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, diplomasia amilifu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko uwanjani kwa lengo la kunufaika na suhula na uwezo wote uliopo kwa ajili ya kukabiliana na vitisho hatari vya utawala ghasibu wa Israel.
-
Iran yatoa onyo: Marekani inahatarisha maisha ya askari wake kwa kuwapeleka Israel
Oct 14, 2024 02:15Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi ameionya Marekani dhidi ya kupeleka wanajeshi wake Israel kwa ajili ya kuendesha mitambo yake ya kutungulia makombora, akisisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haina "mistari myekundu" katika kulinda maslahi yake.
-
Ghalibaf: Ulimwengu wa Kiislamu unapaswa kusitisha ushirikiano wa kisiasa na kiuchumi na utawala wa Kizayuni
Oct 13, 2024 22:53Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Tunahitaji kukkomesha aina yoyote ya ushirikiano, msaada na mazungumzo na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusimamisha aina yoyote ya mpango wa kisiasa na kiuchumi unaousaidia utawala huo.
-
Araqchi akanusha Iran kuipatia Russia makombora ya balistiki
Oct 13, 2024 09:28Iran kwa mara nyingine tena imekadhibisha madai kuhusu kuipatia Russia makombora ya balistiki kufuatia ripoti kwamba Umoja wa Ulaya utatumia tuhuma hizo kama kisingizio cha kuwekea vikwazo Jamhuri ya Kiislamu.